06/06/2026
Nyota wa klabu ya Yanga raia wa Uganda Allan Okello ameeleza kuwa kabla ya kujiunga na Yanga aliwasiliana na Khalid Aucho kisha akafanya maamuzi ya kutua Jangwani.
"Kwanza ilinibidi niongee na Aucho (Khalid), tukajadiliana na baada ya hapo nikaongea na rais wa klabu yangu ya zamani, ili aweze kuniruhusu, hakuwa tayari kuniachia kuondoka wakati wa Januari, ilihitajika nifanye kazi ya ziada kumshawishi kukubali baadaye alikubali."
-Allan Okello, Mchezaji wa klabu ya Yanga.
✍️