Data Sports Tv

Data Sports Tv DATA SPORTS TV
⚑ Where Sports Come to Life
πŸ“Ί Game Highlights |Expert Analysis
πŸ€βš½ Stay updated and Exclusive Interviews
🎬 Follow for Nonstop Action

AMEANDIKA MOHAMED HUSSEIN ✍️ "Takribani miaka 11 ya Furaha, uzuni, Shangwe, vifijo, nderemo na masikitiko ndani ya Mbuga...
19/07/2025

AMEANDIKA MOHAMED HUSSEIN

✍️ "Takribani miaka 11 ya Furaha, uzuni, Shangwe, vifijo, nderemo na masikitiko ndani ya Mbuga.

Kwa uaminifu mkubwa, weledi wa kiwango cha juu, Kuvuja jasho kuipigania nembo ya klabu ndio ulikuwa msingi na malengo.

Wahenga walisema kila lenye mwanzo halikosi mwisho na leo nawaaga rasmi.

Haya ni maamuzi yaliyolenga Maendeleo yangu binafsi, maslahi yangu binafsi na weledi wangu uliotukuka.

Nichukue fursa hii kuwashukuru viongozi, benchi la ufundi na operation staffs wote wa klabu ya Simba SC kwa kipindi chote cha kuhudumu ndani ya klabu. V

Kipekee niwashukuru mashabiki kwa kuwa nami kipindi chote, k**a mnavyonipenda na mimi nawapenda pia na nina imani mtaendelea kuniunga mkono.

Naishukuru Management Yangu ikiongozwa na Carlos Carlos kwa ushirikiano mkubwa wa kipindi chote."

🚨 Kiungo Deborah Fernandez Mavambo ameaga rasmi ndani ya Simba Sports Club."Asante sana familia ya Simba SC kwa sapoti y...
19/07/2025

🚨 Kiungo Deborah Fernandez Mavambo ameaga rasmi ndani ya Simba Sports Club.

"Asante sana familia ya Simba SC kwa sapoti yao katika kipindi chote nilichokuwa ndani ya klabu hii, hakika nitaikumbuka klabu hii, mashabiki na viongozi wote wa Simba Sport Club."

πŸ”Deborah Fernandez Mavambo aliyekuwa mchezaji wa Simba Sports Club.

🚨 Taarifa Mbali Mbali zinaripoti kwamba beki wa kati wa Simba Che Malone Fondoh πŸ‡¨πŸ‡² ameondoka Simba πŸ‡ΉπŸ‡Ώ baada ya kuitumiki...
19/07/2025

🚨 Taarifa Mbali Mbali zinaripoti kwamba beki wa kati wa Simba Che Malone Fondoh πŸ‡¨πŸ‡² ameondoka Simba πŸ‡ΉπŸ‡Ώ baada ya kuitumikia timu hiyo misimu miwili.

- Simba na USM Alger πŸ‡©πŸ‡Ώ wamefanya biashara katika mkataba wa mwaka mmoja uliosalia.

Klabu ya Arsenal imetangaza kukamilisha usajili wa winga Noni Madueke kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni 52 akitokea C...
18/07/2025

Klabu ya Arsenal imetangaza kukamilisha usajili wa winga Noni Madueke kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni 52 akitokea Chelsea.

Madueke, 23, anakuwa mchezaji wa 6 kusajiliwa na Arteta akitokea Chelsea HAVERTZ, WILLIAN, JORGINHO,RAHEEM STERLING, KEPA ARRIZABALAGA na sasa ni NONI MADUEKE

Ahmed Ally baada ya Yanga kumtambulisha Balla ConteπŸ—£οΈWana Simba hakuna sababu ya kujisikia unyonge hakuna tulichopoteza ...
18/07/2025

Ahmed Ally baada ya Yanga kumtambulisha Balla Conte
πŸ—£οΈWana Simba hakuna sababu ya kujisikia unyonge hakuna tulichopoteza na wala tusijitie presha

Hii sio hadithi ya sizitaki mbichi hizi bali uhalisia wa jambo lenyewe.

Iko hivi kwenye ripoti za Makocha hua kuna orodha ya majina mengi ya Wachezaji wanaopendekezwa

Ni kweli jina la mchezaji huyo lilikuwa kwenye orodha ya Kocha wetu k**a yalivyokua majina mengine mengi Afrika nzima

Wakati tunashiriki mashindano ya kimataifa kila mchezaji mzuri Mwalimu aliorodhesha jina lake na baadae kuyapanga kulingana na ubora wa mchezaji husika.

Bahati mbaya au nzuri katika majina yote pendekezwa jina la mchezaji huyu ndio limekua maarufu baada ya kuzungumzwa sana kwenye mitandao.

Umaarufu huo ukapelekea interest ya vyombo vya habari, na kuteka hisia za mashabiki.

Lakini kiufundi hakuna tulichopoteza kwa sababu kweye orodha yetu wapo wachezaji bora sana kwenye eneo hilo tena waliopendekezwa na Mwalimu mwenyewe ambao ni chaguo la kwanza la pili na la tatu

Wana Simba tusitetereke ngome yetu ya usajili haijatikiswa hata kidogo

Muda wa utambulisho mtanielewa na kazi watakazofanya mtafurahi na mtakubali

Amna noma wanetu .... πŸ˜ƒ
18/07/2025

Amna noma wanetu .... πŸ˜ƒ

BALLA CONTE NI MWANANCHI RASMI βœ…πŸ”°
18/07/2025

BALLA CONTE NI MWANANCHI RASMI βœ…πŸ”°

Nini kinaendelea wakuu...πŸ€”
18/07/2025

Nini kinaendelea wakuu...πŸ€”

🚨 Simba imekamilisha usajili wa kiungo Mshambuliaji Morice Abraham (21) πŸ‡ΉπŸ‡Ώ  baada ya kuachana na FK Spartak Subotica ya ...
18/07/2025

🚨 Simba imekamilisha usajili wa kiungo Mshambuliaji Morice Abraham (21) πŸ‡ΉπŸ‡Ώ baada ya kuachana na FK Spartak Subotica ya Serbia πŸ‡·πŸ‡Έ

- Kocha Fadlu Davids πŸ‡ΏπŸ‡¦ ameridhishwa na ubora wake katika kipindi chote alichofanya nao mazoezi.

DEAL DONE βœ…

πŸ—£οΈ "Yanga SC bado mchezaji mmoja tu kwenye zile target ambazo tuko nazo tuweze kumalizana nae na tufunge usajili Uzuri t...
17/07/2025

πŸ—£οΈ "Yanga SC bado mchezaji mmoja tu kwenye zile target ambazo tuko nazo tuweze kumalizana nae na tufunge usajili

Uzuri tumeshatoa taarifa rasmi kuwa kuanzia tarehe 20 mwezi huu tutaanza kutoa taarifa kocha mpya ni nani benchi la ufundi liko vipi, baada ya hapo tutaeleza wachezaji waliomaliza mikataba Yao na tuliyoivunja kwa makubaliano ya pande zote mbili na wachezaji ambao tumewasajili

Nimeona kuna mtu mmoja kaandika kwamba Dube anataka kuvunja mkataba, mara Dube ana dai eti Dube ameishtaki Yanga FIFA

Niwaambie tu Wana Yanga watu wanatafuta namna ya kutuzungumzia vibaya ni uzushi tu kwa asilimia 100, Prince Dube ni mchezaji ambae bado ana mkataba na Yanga wa mwaka mmoja"

πŸ” Meneja wa habari na mawasiliano wa Yanga SC Ally Kamwe akizungumza kupitia EFM.

πŸ—£οΈ ".. k**a kweli Viongozi wangu watafanya maamuzi ya kumsajili Mohamed Hussein Zimbwe Jr walifanya hayo maamuzi ,nitaku...
17/07/2025

πŸ—£οΈ ".. k**a kweli Viongozi wangu watafanya maamuzi ya kumsajili Mohamed Hussein Zimbwe Jr walifanya hayo maamuzi ,nitakuwa kiumbe wa kwanza mwenye furaha kuliko wote Duniani.."

πŸ” Afisa habari wa Yanga Via EFM.

Umewaona.... Na ukawatambua .... πŸ˜ƒπŸ™Œ
17/07/2025

Umewaona.... Na ukawatambua .... πŸ˜ƒπŸ™Œ

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Data Sports Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Data Sports Tv:

Share

Category