Data Sports Tv

Data Sports Tv DATA SPORTS TV
⚑ Where Sports Come to Life
πŸ“Ί Game Highlights |Expert Analysis
πŸ€βš½ Stay updated and Exclusive Interviews
🎬 Follow for Nonstop Action
(1)

πŸ“Œ Mwamuzi Ahmed Arajiga Apewa Dabi ya Kariakoo Kesho k**a Mwamuzi wa Kati, Atasaisiwa na Mohamed Mkono, Kasim Mpanga na ...
15/09/2025

πŸ“Œ Mwamuzi Ahmed Arajiga Apewa Dabi ya Kariakoo Kesho k**a Mwamuzi wa Kati, Atasaisiwa na Mohamed Mkono, Kasim Mpanga na Ramadhan Kayoko.

Klabu ya Simba licha ya kufungiwa kuingiza mashabiki kwenye mchezo mmoja wa CAF Champions League ila pia imetozwa faini ...
15/09/2025

Klabu ya Simba licha ya kufungiwa kuingiza mashabiki kwenye mchezo mmoja wa CAF Champions League ila pia imetozwa faini ya Dollars Elfu 50 ( zaidi ya Tsh. 130,000,000/=).

Simba SC imefungiwa kuingiza mashabiki mchezo mmoja na kutozwa faini ya Dollars Elfu 50.

MUDAA ⌚
14/09/2025

MUDAA ⌚

KESHO KUTWA TU πŸ˜ƒ
14/09/2025

KESHO KUTWA TU πŸ˜ƒ

"Nimeiona timu yetu kwenye Simba Day na Nimeona  watani wetu kwenye tamasha lao la jana, nikiangalia naona kuna kila sab...
13/09/2025

"Nimeiona timu yetu kwenye Simba Day na Nimeona watani wetu kwenye tamasha lao la jana, nikiangalia naona kuna kila sababu ya Simba kufanya vizuri.

Simba ikishinda tar 16, sisi k**a Jayrutty tutatoa Milioni 100 na Golikipa akitoka na Clean Sheet atapata 10m"

πŸ—£οΈ Joel Rwegasira

FEI MPYA YANGA..!
13/09/2025

FEI MPYA YANGA..!

FULL TIME YANGA SC - 1BANDARI FC -0
12/09/2025

FULL TIME

YANGA SC - 1

BANDARI FC -0

MAPUMZIKO YANGA SC - 1BANDARI FC - 0
12/09/2025

MAPUMZIKO

YANGA SC - 1
BANDARI FC - 0

Yanga  imekabidhiwa Rasmi hati ya ujenzi wa uwanja wao na GSM atakuwa mwekezaji wa uwanja huo
12/09/2025

Yanga imekabidhiwa Rasmi hati ya ujenzi wa uwanja wao na GSM atakuwa mwekezaji wa uwanja huo

Haji Manara Anatambulisha wachezaji wa Yanga!!
12/09/2025

Haji Manara Anatambulisha wachezaji wa Yanga!!

NI FULL HOUSE KWA MKAPA 🟒🟑
12/09/2025

NI FULL HOUSE KWA MKAPA 🟒🟑

ROTTERDAM NETHERLANDS πŸ‡³πŸ‡± 🚨Timu ya Wananchi Yanga imeingia mkataba na kampuni ya BLACKBIRD kutoka nchini Uholanzi. Mkatab...
11/09/2025

ROTTERDAM NETHERLANDS πŸ‡³πŸ‡±

🚨Timu ya Wananchi Yanga imeingia mkataba na kampuni ya BLACKBIRD kutoka nchini Uholanzi.

Mkataba huu ni kwa ajili ya Teknolojia ya ARTIFICAL INTELLIGENCE (AI).Mfumo huu utasaidia kukusanya taarifa za wachezaji wetu.Klabu ya Yanga ndio klabu ya kwanza kuingia mkataba huu Afrika mashariki na kati.

Address

Mabibo External
Dar Es Salaam
NON

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Data Sports Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Data Sports Tv:

Share

Category