TZ Trends

TZ Trends Official Page for TZ Trends Media
For Reliable News, this is the perfect place

Ikiwa leo Oktoba 29 ni siku ya uchaguzi Mkuu nchini Tanzania ni siku ya Wananchi kwenda kuwachagua viongozi wanao wahita...
29/10/2025

Ikiwa leo Oktoba 29 ni siku ya uchaguzi Mkuu nchini Tanzania ni siku ya Wananchi kwenda kuwachagua viongozi wanao wahitaji katika uongozi

Tayari ushaenda kupiga kura na k**a bado unaenda kupiga kura kutokea wapi??

Timu ya Barcelona kutokea Hispain wanaongoza mbio za kumsaka mshambuliaji wa Marseille Muingereza Mason Greenwood, ingaw...
28/10/2025

Timu ya Barcelona kutokea Hispain wanaongoza mbio za kumsaka mshambuliaji wa Marseille Muingereza Mason Greenwood, ingawa Tottenham na West Ham pia wanamtaka mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24

Greenwood mpaka hivi sasa katika michezo 9 ya msimu huu aliyocheza katika timu ya Marseille amefunga mabao 7 na kutoa pasi za magori 3, inaonyesha jinsi gani nyota huyo wa uingereza ameuanza msimu wake vizuri

Producer  kupitia insta story yake ame-share ujumbe ambao umewagusa Watu wengi kuwa Tanzania kuna Watu wanatabia ya kuwa...
28/10/2025

Producer kupitia insta story yake ame-share ujumbe ambao umewagusa Watu wengi kuwa Tanzania kuna Watu wanatabia ya kuwashusha wenzao thamani kirahisi sana

Slide < < alichoandika T Touch

🎉 I earned the emerging talent badge this week, recognising me for creating engaging content that sparks an interest amo...
27/10/2025

🎉 I earned the emerging talent badge this week, recognising me for creating engaging content that sparks an interest among my fans!

Baada ya mchana wa leo kuenea kwa taarifa za kuk**atwa na Watu wasiojulikana Mfanyabiashara .niffer._ alipokuwa Dukani J...
27/10/2025

Baada ya mchana wa leo kuenea kwa taarifa za kuk**atwa na Watu wasiojulikana Mfanyabiashara .niffer._ alipokuwa Dukani

Jeshi la Polisi limetoa taarifa ya kumkata Mfanyabiashara na inafanya mahojiano nae kwa kuonekana alikuwa anahamasisha na kuharibu miundombinu katika kuelekea kwenye uchaguzi mkuu

Jeshi la Polisi limewatoa wasiwasi Watanzania waliokuwa wana hisi Mfanyabiashara huyo ametekwa na Watu wasiojulikana

27/10/2025

Katika Kongamano la amani la kitaifa kuelekea uchaguzi Mkuu 2025 linalofanyika hapa JNICC

Viongozi wa Dini wameendelea kuwasisitiza Watanzania umuhimu wa kuendelea kuitunza amani ya nchi kwani ndiyo jambo muhimu kwa sasa

27/10/2025

Katika Kongamano la amani la kitaifa kuelekea uchaguzi Mkuu 2025 linalofanyika hapa Sheikh Alhad M***a

Sheikh Alhad M***a amewataka Wazazi na viongozi kuendelea kuongea na vijana GEN Z kwani ndiyo wana kabiliwa na vishawishi vingi ambavyo vinaweza kupelekea kuvunja amani

27/10/2025

Katika Kongamano la amani la kitaifa kuelekea uchaguzi Mkuu 2025 linalofanyika hapa JNICC

Shekhe ameendelea kuwaimiza Watanzania umuhimu wa kuitunza amani ya nchi yetu

 baada ya ku-share video ya  akiwa ana enjoy wimbo wake wa ‘Friend Zone’ aliofanya na  Harmonize aliisindikiza video hiy...
27/10/2025

baada ya ku-share video ya akiwa ana enjoy wimbo wake wa ‘Friend Zone’ aliofanya na

Harmonize aliisindikiza video hiyo na ujumbe ambao unasema “inaonekana k**a wimbo wake anaoupenda kwa sasa, Tanzania one “

Hamisa nae alijibu kwa kuandika “wimbo bora kabisa”

Hii inaonyesha jinsi gani wimbo huo umemk**ata mrembo Hamisa kwa 2025

26/10/2025

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Segerea Agnesta Lambert Kaiza siku ya leo alikuwa anafunga kampeni kwa wagombea Ubunge na Udiwani kupitia chama cha

Agnesta ameendelea kuwataka wananchi wa Segerea kuwachagua wagombea wa chama hicho kwani wamekuja na nia ya kuleta maendeleo

Ulimwengu wa mitandao ya kijamii uko katika simanzi baada ya kifo cha nyota chipukizi wa TikTok, Emman Atienza, raia wa ...
25/10/2025

Ulimwengu wa mitandao ya kijamii uko katika simanzi baada ya kifo cha nyota chipukizi wa TikTok, Emman Atienza, raia wa Ufilipino, ambaye ameripotiwa kufariki dunia akiwa na umri wa miaka 19 tu.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyombo vya habari vya kimataifa k**a People na New York Post, Emman alifariki nyumbani kwake mjini Los Angeles, Marekani, kutokana na kujitoa uhai (su***de), tukio hilo limezua majonzi makubwa, hasa kwa mashabiki wake waliokuwa wakifuatilia video zake zenye ucheshi na ujumbe wa kuhamasisha vijana.

Emman, ambaye alikuwa pia mtoto wa mtangazaji maarufu wa televisheni Kim Atienza, alikuwa akipendwa kwa tabia yake ya unyenyekevu na ubunifu.

Familia yake imethibitisha taarifa za kifo chake na kuomba mashabiki kuheshimu faragha yao wakati huu mgumu wa maombolezo.

Mitandao ya kijamii imefurika jumbe za rambirambi, wengi wakimkumbuka Emman k**a kijana mwenye kipaji, aliyejua kuleta tabasamu kwa mamilioni ya watu duniani kupitia TikTok

24/10/2025

kupitia mahojiano aliyofanya na Iroc amefunguka kuwa Directors wengi wa Tanzania wamepitia mikononi mwake hivyo yeye ni k**a Baba wa Directors wengi hapa nchini

Hascana pia amesema hivi sasa amestafu kufanya kazi za kudirect video ameamua kuwekeza nguvu kwenye biashara zake binafsi

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TZ Trends posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to TZ Trends:

Share