19/04/2023
NINACHOKIJUA KUHUSU ALIKAMWE NA HAJI MANARA
kwanza kabisa manara hajawahi kumkubali kamwe na kamwe hajawahi kumkubali manara hii ni tangu manara yupo simba na kamwe yupo azam tv , hawa hawajawahi kukubaliana wala kuongea wala kupiga picha ya pamoja hawajawahi na huwa hawaongei kabisa ni salamu tu kiufupi hawapatani
Haji manara ni miongoni mwa watu waliokuwa wanapinga sana ally kamwe kuwa afisa habari wa yanga sc kwasababu alimjua uwezo wake toka yupo azam tv , na hapa manara akiwekaga uzwazwa wake pembeni huwa ni mtu mzuri sana kumkadiria mtu upeo wake
Chukua haya ninayo kwambia ally kamwe k**a manara ataendelea hivi hivu kumuingilia basi ally kamwe atajiuzulu hii nafasi , ally kamwe hana uvumilivu na pia mtu anayemuingilia kwenye haya majukumu hampendi kwahiyo hawezi kuvumilia maneno yake
Kuna vita ya ally kamwe na haj manara hawa kila mmoja anaamini kivyake , kila mmoja hana time na mwenzake , imagine manara anamkebei ally kamwe kwa kusema kanaongea sana , na yeye huwa haongei sana b4 match
Kiufupi ni kwamba hili zege halitolala tutegemee kuona mgogoro muda wowote kuanzia sasa kati ya wao kwa wao kamwe na manara , na priva kwani kitengo kizima cha mawasiliano , digital yanga hawamkubali manara na hawajawahi kumsikiliza so mgogoro unaweza kuzuka muda wowote
Manara amefika mbali na kusema et match ijayo dhidi ya rivers watadhalilika 🤔 yaani wenzako wanataka waanze hamasa ya mchezo wewe unasema watadhalilika wachukue tahadhari 🤔🤔🤔 sawa nasubiri vina muda basiiiiii
Ameandika Sanitizertz ✍️
mediaUpdate