Gazeti la Championi

  • Home
  • Gazeti la Championi

Gazeti la Championi Sports Newspaper

Marcus Rashford amekataa  ofa ya kusajiliwa ya pesa nyingi kutoka  moja ya klabu ya Saudia ikidaiwa moyo wake uko Barcel...
14/07/2025

Marcus Rashford amekataa ofa ya kusajiliwa ya pesa nyingi kutoka moja ya klabu ya Saudia ikidaiwa moyo wake uko Barcelona.

Mchezaji huyo wa Manchester United anaripotiwa kugomea ofa ya pauni milioni 34 kutoka kwa klabu moja ya Saudi Pro League, Kwa mujibu wa chombo cha habari cha Hispania, Mundo Deportivo.

Rashford, 26, anasemekana kusitasita kuhamia Nou Camp, huku Barca wakiaminika kuwa tayari kumnasa winga huyo iwe kwa mkopo au kwa mkataba wa kudumu.

🚨❌ BREAKING: Hansi Flick ameripotiwa kumfahamisha Marc-André ter Stegen kwamba yeye si kipa chaguo la kwanza - na hata s...
12/07/2025

🚨❌ BREAKING: Hansi Flick ameripotiwa kumfahamisha Marc-André ter Stegen kwamba yeye si kipa chaguo la kwanza - na hata sio chaguo la pili Kwa mujibu wa COPE. 🧤🇩🇪

Uamuzi wa kijasiri na wa kushtua kutoka kwa meneja mpya wa Barca. 😳

Liverpool wako sokoni wakiitaka saini ya straika wa Newcastle, Alexander Isak lakini k**a dili likifeli watamsajili Hugo...
11/07/2025

Liverpool wako sokoni wakiitaka saini ya straika wa Newcastle, Alexander Isak lakini k**a dili likifeli watamsajili Hugo Ekitiké mshambuliaji wa Frankfurt raia wa Ufaransa.

Darwin Nunez atauzwa Ili pesa zitakazotumika kwenye mauzo yake ziongezwe na nyingine kwa ajili ya kumpata Ekitiké.

Source: [Givemesport]

Klabu ya Arsenal imekamilisha usajili wa Noni Madueke kwa dau la pauni 50m kutoka Chelsea FC.Noni Madueke atasaini mkata...
11/07/2025

Klabu ya Arsenal imekamilisha usajili wa Noni Madueke kwa dau la pauni 50m kutoka Chelsea FC.

Noni Madueke atasaini mkataba wa miaka 5 mpaka 2030.

Tottenham Hotspur wamemtambulisha rasmi mchezaji wao mpya raia wa Ghana  Mohammed Kudus waliomsajili kutokea West Ham Un...
11/07/2025

Tottenham Hotspur wamemtambulisha rasmi mchezaji wao mpya raia wa Ghana Mohammed Kudus waliomsajili kutokea West Ham United Kwa dau la pauni 55m.

Source: [ Tottenham Hotspur ]

Fiorentina wamemsajili mshambuliaji Edin Džeko kwa uhamisho huru akitokea Fenerbahçe kwa mkataba wa mwaka mmoja.Mkongwe ...
10/07/2025

Fiorentina wamemsajili mshambuliaji Edin Džeko kwa uhamisho huru akitokea Fenerbahçe kwa mkataba wa mwaka mmoja.

Mkongwe huyo wa Bosnia sasa atavaa jezi ya La Viola baada ya kuhitimisha muda wake Super Lig ya Uturuki.

Kocha mkuu wa Manchester United, Ruben Amorim amepanga kumsajili beki kitasa wa Sporting CP, Gonçalo Inacio katika diris...
10/07/2025

Kocha mkuu wa Manchester United, Ruben Amorim amepanga kumsajili beki kitasa wa Sporting CP, Gonçalo Inacio katika dirisha hili la usajili.

Source: [ Transfer News Live ]

Mabingwa wa Ligi Kuu ya Italia Serie A wamerejea tena kwenye mbio za kuwania saini ya mshambuliaji wa Man United, Alejan...
10/07/2025

Mabingwa wa Ligi Kuu ya Italia Serie A wamerejea tena kwenye mbio za kuwania saini ya mshambuliaji wa Man United, Alejandro Garnacho raia wa Argentina.

- Safari hii SSC Napoli wanaanda ofa ya Pauni million 45 Kwa ajili ya nyota huyo.

-Chelsea na Atletico Madrid wanatajwa pia kumhitaji winga huyo.

-United walishamwambia atafute timu ya kucheza msimu ujao.

KLABU ya Manchester United imeweka wazi dau wanalolihitaji ikiwa kuna klabu inatata kumng'oa golikipa wao namba moja And...
09/07/2025

KLABU ya Manchester United imeweka wazi dau wanalolihitaji ikiwa kuna klabu inatata kumng'oa golikipa wao namba moja Andre Onana kunako viunga vya Old Trafford kuwa ni pauni mil 30.

Kocha Ruben Amorim, haridhishwi na kiwango chake kikiambatana na makosa mengi binafsi yanayoigharimu timu hiyo mara nyingi.

Ripoti zinadai kuwa klabu ya AS Monaco ingetamani sana kupata huduma ya Onana lakini bei hiyo iliyowekwa na vigogo wa United inakuwa kikwazo kikubwa kwa klabu hiyo ya Ligue 1.

Al-Ahli wamefanya mazungumzo na Leo Messi kuhusu dili la kumsaini mwezi Desemba, mkataba wake wa Inter Miami utakapoisha...
07/07/2025

Al-Ahli wamefanya mazungumzo na Leo Messi kuhusu dili la kumsaini mwezi Desemba, mkataba wake wa Inter Miami utakapoisha.

(Chanzo: L'EQUIPE

🚨🇭🇷 Ivan Rakitić(37) ametangaza kustaafu soka rasmi!Ameacha historia ya kipekee kwenye ulimwengu wa kandanda 👏  ◼️ Mechi...
07/07/2025

🚨🇭🇷 Ivan Rakitić(37) ametangaza kustaafu soka rasmi!

Ameacha historia ya kipekee kwenye ulimwengu wa kandanda 👏
◼️ Mechi 993
◼️ Magoli 140
◼️ Asisti 157
◼️ Makombe 17

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Gazeti la Championi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Gazeti la Championi:

Shortcuts

  • Address
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share