Afya_plus

Afya_plus Kwa Tiba na ushauri +255714695406

06/03/2025

πŸ”₯ VIJANA WENGI WANATAFUTA NJIA ZA KUJIPATIA KIPATO – JE, WEWE NI MMOJA WAO? πŸ”₯

K**a unatafuta njia ya kujiimarisha kiuchumi na kujenga maisha yako, basi ningependa kuzungumza na wewe. Ufanisi hauji kwa kusubiri ajira pekee – unahitaji uthubutu na hamu ya mafanikio!

NITAKUSAIDIA KUFIKIA NDOTO ZAKO KWA:

βœ… Kubadili fikra zako – Kataa kuwa wa kawaida! Jifunze kufikiria kwa kiwango cha juu na kuwa na ndoto kubwa za biashara.
βœ… Kukupa wazo la biashara – Wazo sahihi linaweza kuwa mwanzo wa safari yako ya mafanikio.
βœ… Kukuonyesha mbinu za mauzo – Biashara haifanikiwi kwa kuwa na bidhaa pekee, unahitaji kujua jinsi ya kuuza!
βœ… Kukufundisha kutafuta masoko – Sio kila mtu ni mteja wako, jifunze ni nani atakayenunua bidhaa zako.
βœ… Kukusaidia kujenga brand yako – Watu wakufahamu na wakumbuke biashara yako.
βœ… Kukutumia mitandao ya kijamii kwa mafanikio – Jifunze jinsi ya kuwafikia wateja sahihi mtandaoni.
βœ… Kukufundisha uthabiti (Consistency) – Usikimbilie kila wazo jipya, jifunze kung’ang’ania jambo moja mpaka ufanikiwe.
βœ… Kukutengenezea connection sahihi – Fahamu watu watakaokushika mkono na kukupeleka juu.
βœ… Kukufundisha nidhamu ya kifedha – Jifunze kutumia pesa kwa mpangilio sahihi ili zikusaidie kukua kiuchumi.
βœ… Kuondoa hofu, uvivu na kuahirisha mambo – Hatua unazochukua leo ndizo zitakazoamua maisha yako ya kesho!

πŸ’° PESA NI HESHIMA – WATU WATAKUHESHIMU UKIWA NAZO!

DARASA LA BURE LA KUINUKA KIUCHUMI

Nimeandaa darasa maalum kwa ajili yako, ambapo nitakusaidia kutatua changamoto zako za kifedha na kibiashara.

Ikiwa unataka kuhudhuria darasa hili la bure:
πŸ‘‡ BONYEZA KITUFE CHA WHATSAPP HAPO CHINI ILI UJIUNGE NA GROUP LA MAFUNZO! πŸ‘‡

πŸ“’ KARIBU SANA, TUANZE SAFARI YA MAFANIKIO PAMOJA! πŸš€

*DALILI 15 ZA HATARI KWA MWANAMKE:* Kuna baadhi ya dalili ambazo wanawake *huziona ni za kawaida* na kuzipuuza lakini ba...
05/01/2025

*DALILI 15 ZA HATARI KWA MWANAMKE:*

Kuna baadhi ya dalili ambazo wanawake *huziona ni za kawaida* na kuzipuuza lakini baada ya muda huona *madhara makubwa* yanayogharimu afya zao za uzazi.

Hapa nimekuwekea baadhi ya dalili ambazo *hupaswi kuzipuuza* pale zinapokutokea.πŸ‘‡

1. Kupata Maumivu makali chini ya
kitovu yanayo ambatana na maumivu
ya kiuno,

2. Kuhisi maumivu na hali ya
kuchomachoma wakati wa haja
ndogo,

3. Miwasho sehemu za siri ndani au nje
ya uke,

4. Kutokwa na ute ukeni usio wa
kawaida, ute huu unaweza kuwa wa
njano, mweupe, kijani, kahawia, au
uliochanganyika na damu hizi ni dalili
za maambukizi katika via vya uzazi,

5. Kupata maumivu makali wakati wa
tendo la ndoa,

6. Kuhisi k**a kuna kitu kinasukumwa
kinachouma wakati wa tendo la ndoa,

7. Kutokwa na hedhi bila mpangilio,

8. Kupata maumivu makali sana wakati
wa hedhi,

9. Kutokwa na damu ya hedhi yenye
mabonge au nyeusi sana,

10. Kutokwa na damu ya hedhi mfurulizo
bila kukata zaidi ya siku 7 na
kuendelea,

11. Hedhi kujirudia ndani ya mwezi
mmoja zaidi ya mara mbili au tatu,

12. Kutopata hedhi kwa muda mrefu
wakati si mjamzito na bado
hajafikia umri wa kukoma hedhi,

13. Kupata vipele vinavyouma na
kuwasha sehemu za siri,

14. Kuvimba na kuwa mwekundu kati
midomo ya nje ya uke,

15. Uke kuwaka Moto.

*Ujumbe muhimu kwa wanawake wote*Wanawake wengi wamekuwa wakisumbuliwa na PID,UTI,Fungus Sugu ,wengine kukosa mimba na k...
18/09/2024

*Ujumbe muhimu kwa wanawake wote*

Wanawake wengi wamekuwa wakisumbuliwa na PID,UTI,Fungus Sugu ,wengine kukosa mimba na kuwa na uvimbe pamoja na saratani kwenye kizazi

K**a wewe ni mmoja wao, ningependa kuongea na wewe.

Kwa jina naitwa Vero

Ninawasaidia wanawake kutatua changamoto zote tajwa hapo awali bila ya kutumia madawa ya hospital bali kupitia virutubisho maalumu

Wiki hii nataka kuandaa darasa la bure kwa ajili yako la Namna ya kutatua changamoto uliyonayo katika via vya uzazi

Kisha nitawasiliana na wewe ili kuelewa vizuri kuhusu changamoto uliyokuwa nayo nipate kukuandalia (wewe pamoja na wenzako)
Bonyeza button ya WhatsApp apo chini

Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako,

Wasiliana nasi Whatsapp: +255 784 913 464

Mkurugenzi

Kwa Tiba Na Ushauri +255714695406
05/10/2023

Kwa Tiba Na Ushauri +255714695406

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya_plus posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Afya_plus:

Share