Mwalimu Blasio Foundation

Mwalimu Blasio Foundation OTHER FUNCTIONS OF THE PAGE. This is the president of Anti corruption Platform working to rise awareness to mass on efforts to eradicate corruption.

MWALIMU BLASIO FOUNDATION works across Tanzania to rescue, nurture, and empower vulnerable children through education, health, and sustainable community development. Anectus Online is online platform for empowerment which is operating globally currently in more than 11 nations in partnership with page administrators from different nations.

believe on empowering others for rising the future.

are in progress to partner with inter national high profile online personnel's to collaborate on the efforts to ensure our programs get to be of impact to many. Serving to the University of Dar es salaam in Tanzania/ East Africa and General Public around Tanzania communities. we are passionately standing and working as the team to ensure fairly equal society that respects human dignity and right, rising spirit of concern to others and their right. we work to rise voice to the voiceless.

23/09/2025

Mwanariadha Alphonce Felix Simbu wa Tanzania amepewa mapokezi ya kishujaa katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Septemba 23, 2025 baada ya kuitoa kimasomaso nchi yake katika mashindano ya dunia yaliyofanyika Tokyo, Japan.

Shujaa huyo, alitwaa medali ya dhahabu baada ya kushika nafasi ya kwanza katika mbio za marathon za wanaume zilizofanyika usiku wa kuamkia Septemba 15, 2025 jijini Tokyo.

Simbu alishinda mbio hizo za kilomita 42 ndani ya muda wa 2:09.48, akimaliza mbele ya Amanal Petros wa Ujerumani.

Abiria wanaotumia usafiri wa Mwendokasi wameshuka kupitia madirishani katika Kituo cha Magomeni Mwembechai, jijini Dar e...
23/09/2025

Abiria wanaotumia usafiri wa Mwendokasi wameshuka kupitia madirishani katika Kituo cha Magomeni Mwembechai, jijini Dar es Salaam, baada ya basi walilokuwa wakisafiria kusimamishwa na polisi kwa madai ya kuzidisha abiria kupita kiasi.

Tukio hilo lilitokea leo asubuhi, majira ya 08:25, ambapo abiria hao walikuwa wakitokea Kimara kuelekea katikati ya jiji.

Baadhi ya abiria walikuwa wametokeza vichwa na sehemu za miili yao nje ya madirisha na wengine kukaa juu ya basi hilo huku wakiimba nyimbo mbalimbali, zikiwemo zenye maneno ya malalamiko k**a vile "hatumtaki!"

Chanzo cha hali hiyo kinadaiwa kuwa ni changamoto kubwa ya usafiri katika maeneo ya Kimara na Mbezi, ambapo abiria wanasema wamekuwa wakikaa vituoni kwa muda mrefu tangu alfajiri bila kupata magari ya kutosha kuwapeleka mjini.

Chanzo Nipashe

Kocha Hemed Suleiman kuwa kocha wa muda.
22/09/2025

Kocha Hemed Suleiman kuwa kocha wa muda.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amemkabidhi gari mpya aina ya Crown kipa wa klabu ya Simba na timu ya Tai...
22/09/2025

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amemkabidhi gari mpya aina ya Crown kipa wa klabu ya Simba na timu ya Taifa ha Tanzania (Taifa Stars) k**a alivyoahidi hapo awali wakati wa michuano ya CHAN.

“Nimetimiza ahadi yangu ya kumzawadia Crown mpya kabisa mlinda mlango wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Ndg Yakoub Suleiman kufuatia juhudi kubwa aliyoinyesha katika kipindi chote cha mtanange wa CHAN”___ Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mwalimu Blasio Foundation posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mwalimu Blasio Foundation:

Share