09/01/2026
š„SEHEMU YA KWANZA
DIWANI LWAKOMEZI AMSHUKRU DKT RWEIKIZA KWA KUMWAMINI MIAKA 10 K**A KATIBU WAKE.
Diwani wa kata ya Kaibanja Mhe,Jasson Lwankomezi amemshukru mbunge wa Jimbo la Bukoba Vijijini Dkt Jasson Rweikiza kwa kumwamini na kufanya nae kazi k**a katibu wake kwa kipindi cha miaka kumi.
Mhe,Lwankomezi ametoa shukrani hizo katika Mkutano wa hadhara wa Dkt Rweikiza wa kuwashukru wananchi waliompigia kura za ushindi uliofanyika kijiji Nyakigando kata Kaibanja
Mbali na kushukru Mhe,Lwankomezi amebainisha kuwa yupo tayari kutoa ushirikiano wa kutosha kwa Katibu mpya alieaminiwa kwa kipindi hiki.