KITAA RADIO FM

KITAA RADIO FM Bodaboda n Bajaj Music Entertainment Swali likaja kwangu nyimbo au video ambazo hazichezwi na ni nzuri
tufanye nazo nini ili na hawa wasanii wapate airtime?

TATIZO = FURSA
ukiijua hiyo hesabu vizuri maisha kwako yatakuwa bam bam

Wasanii wengi kwa kipindi kirefu tumekuwa tunalalamika kuwa tunabaniwa
kwenye MEDIA bila kuelewa kwa kifupi tu ukweli wa mambo. Kwa Uchunguzi nilioufanya kwa kipindi cha miaka mitatu hivi nimegundua
haya, Watayarishaji au watangazaji wa vipindi kwa siku wanapokea zaidi
ya nyimbo 30 kutoka kwenye studio mbalimbali hapa nchini,

kwao inakuwa
ni vigumu kucheza nyimbo zote kutokana either muda kuwa mdogo wa
vipindi vyao au kuwa na request nyingi za nyimbo ambazo wamekuwa
wanazicheza sana. SULUHISHO LA TATIZO
Baada ya kuliona tatizo nikapata idea ya kuzunguka kwanza Manispaa
zote ILALA, KINONDONI na TEMEKE kuangalia usajili wa vituo vya
bodaboda na bajaj zilizosajiriwa kwenye vituo ambazo pia wameweka
radio ambazo zinatumia flash na memory cards,
Huku nikapata idea ya kuanzisha KITAA RADIO FM ambayo itahusika na
kuwasambazia watu hapa muziki ule ambao ulishindwa kupenya radioni
muziki wa aina yeyote wa Kitanzania ambao mzuri kusikika na watu
wakaupenda. Pili, kwenye upande upande wa video napo nikajiuliza ni mabus mangapi
yaendayo mikoani ambayo ndani hutoa burudani ya movies , music video
nk nikakuta ni zaidi ya mabus 2000 ,ambapo kwa siku kila bus
linasafirisha si chini ya abiria 50
Huku nako nikapata idea ya kuanzisha BODA 2 BODA Television ambayo
itakuwa inatoa burudani ya music videos zile tu zilizokosa kupewa
Airtime kwa namna moja au nyingine

K**a Unahitaji Mahusiano Yako Yadumu, Acha Kuomba Ushauri Kwa Hawa Watu 6 — Hasa Huyo Wa 3Kuna Watu Wanaweza Kuvuruga Pe...
10/01/2026

K**a Unahitaji Mahusiano Yako Yadumu, Acha Kuomba Ushauri Kwa Hawa Watu 6 — Hasa Huyo Wa 3

Kuna Watu Wanaweza Kuvuruga Penzi Lako Bila Kuligusa Moja Kwa Moja — Wanaliharibu Kupitia "Ushauri".

Sio Kila Anaeitwa Rafiki Anafaa Kuwa Mshauri Wa Mahusiano Yako.

Kuna Wengine Wanatoa Ushauri Kutokana Na Maumivu Yao Binafsi, Uchungu Wa Moyo, Hofu Zao Na Wengine Hata Bila Kuwa Na Maarifa Ya Mahusiano.

1. Mtu Aliyekubuhu Kuwa Single
Sio kwamba hana mtu kwa sasa — ni kwamba amejenga imani kuwa mahusiano si ya maana.

Anaweza kukuaminisha kuwa kuwa peke yako ni njia bora zaidi, hata k**a wewe unahitaji ndoa na utulivu.

2. Ambae Huyatazama Mahusiano K**a Ushindani
Huyu ni hatari. Anakuona k**a mpinzani badala ya rafiki.

Akiona unapendwa au unatunzwa, anapata hofu kuwa "umemzidi". Ushauri wake utakuwa ni wa kukuondoa hapo mfanane ili roho yake ipone.

3. Watu Ambao Wana Uchungu Juu Ya Mapenzi
Ukipokea Ushauri Kwao, Utachukiwa Na Mapenzi Bila Kujua.

Watakuambia "wanaume wote ni waongo" au "wanawake hawana shukrani", kumbe wanapozungumza si wao, ni majeraha yao yanaongea.

4. Ambae Mahusiano Yake Hayakuvutii
Kuna Msemo Unasema "Dont Tale Advice From Someone Who Is Not Where You Want To Be"

Usichikue Ushauri Kutoka Kwa Mtu Ambae Hayupo Unapotaka Kuwa.

Maana Yake Ni Kwamba, K**a Hana Mahusiano Au Ndoa Ambayo Unaitamani Anaweza Asifae Kumuomba Ushauri...Ni Muhimu Kuangalia Yule Ambae Ana Hagua Ambazo Unazitamani Ili Akusaidie Kuzifikia.

5. Mwenzi Uliyewahi Kuwa Nae Mkaachana
Ushauri wake si bure. Kuna hisia hazijamalizika.

Wengine hutoa ushauri ili wakudhoofishe, wengine ili wakurudishe. Wewe uko mbele kutafuta uzima wa Ndoa Au Mahusiano Yako, yeye anarudi nyuma kutafuta nafasi.

6. Mtu Anaeichukia Jinsia Nyingine
Ukikutana na mtu mwenye chuki za ndani dhidi ya jinsia ya mwenzi wako, atakufanya uone kila kitu kibaya hata k**a ni kizuri.
Atasema Hiki Kuhusu Wanaume Au Atasema Kile Kuhusu Wanawake, Lengo Ni Kukuonesha Kuwa Hakuna Mtu Mzuri.
Chuki zake zitakuwa mizizi ya ushauri wake.

"Cousins by blood, sisters by bond. Wishing my soul sister the happiest birthday!".
10/01/2026

"Cousins by blood, sisters by bond. Wishing my soul sister the happiest birthday!".

Leo ikatokea umepata msala wa ghafla iwe ajali, ugonjwa, umeshindwa kulipa bill sehemu au umek**atwa na njagu watu watan...
08/01/2026

Leo ikatokea umepata msala wa ghafla iwe ajali, ugonjwa, umeshindwa kulipa bill sehemu au umek**atwa na njagu watu watano wa haraka utakaowapigia

Yaani ukimkosa huyu umempigia huyu mtag hapa

me mavura,

When I'm loud, people tell me to be quiet. But when I'm quiet , people ask me what's wrong with me.Nauliza mnataka niwej...
06/01/2026

When I'm loud, people tell me to be quiet. But when I'm quiet , people ask me what's wrong with me.

Nauliza mnataka niweje?

Relationship does not involve two perfect people.Such people do not exist in this world.Therefore, forgiveness is needed...
06/01/2026

Relationship does not involve two perfect people.

Such people do not exist in this world.
Therefore, forgiveness is needed whenever your partner does wrong to you.

Cause you too you need to be forgiven!
Forgive and Forget. Let love lead!!

Niko mimi Mwakatundu , yupo Mwakagali na Mzee Mwakalinga wote tumetokea Mbeya sasa Mwaka Mpya ametokea mkoa gani?
06/01/2026

Niko mimi Mwakatundu , yupo Mwakagali na Mzee Mwakalinga wote tumetokea Mbeya sasa Mwaka Mpya ametokea mkoa gani?

Forget what hurt you in the past but never forget what it taught you.
04/01/2026

Forget what hurt you in the past but never forget what it taught you.

Mfanye Mungu awe msiri wa matatizo yako yooote yanayokukabili itabaki siri ya watu wawili si mwanadamu mtaa mzima wataju...
04/01/2026

Mfanye Mungu awe msiri wa matatizo yako yooote yanayokukabili itabaki siri ya watu wawili si mwanadamu mtaa mzima watajua

MY FOCUS 2026 Pruning unnecessary friends who r with me coz of their personal interests not for friendship
04/01/2026

MY FOCUS 2026
Pruning unnecessary friends who r with me coz of their personal interests not for friendship

USHAURI KWA WATU WOTE WALIOAJIRIWA:1. Jenga nyumba mapema. Iwe kijijini kwenu au mjini. Kujenga nyumba ukiwa na miaka 50...
01/01/2026

USHAURI KWA WATU WOTE WALIOAJIRIWA:
1. Jenga nyumba mapema. Iwe kijijini kwenu au mjini. Kujenga nyumba ukiwa na miaka 50 sio mafanikio. Usizoee nyumba za serikali. Faraja hii ni hatari sana. Hebu familia yako yote iwe na wakati mzuri ktk nyumba yako mwenyewe.

2. Nenda nyumbani. Usiishie kazini mwaka mzima. Wewe si nguzo ya idara yako. Ikiwa utakufa leo, nafasi yako atapewa mwingine bila kuchelewa na shughuli zitaendelea k**a kawaida. Ifanye familia yako kuwa kipaumbele

3. Usifukuzie kupandishwa cheo. Boresha ujuzi wako na uwe bora katika kile unachokifanya. Ikiwa wanataka kukupandisha ni sawa ikiwa hawatafanya hivyo sawa tu, wewe zingatia maendeleo yako binafsi.

4. Epuka porojo za ofisini au kazini. Epuka mambo yanayochafua jina au sifa yako. Usijiunge na genge la kejeli kwa wakuu wako na wenzako. Kaa mbali na mikusanyiko hasi ambayo ajenda yao ni kujadili watu tu.

5. Kamwe usishindane na mabosi zako. Utachoma vidole vyako wala usishindane na wafanyakazi wenzako, utakaanga ubongo wako.

6. Hakikisha una biashara ya kando. Mshahara wako hautakidhi mahitaji yako kwa muda mrefu.

7. Kopa mkopo kuwekeza katika biashara au kubadilisha mazingira ya kipato siyo kwa ajili ya kutumia ktk mambo ya anasa. Tumia faida kufanya starehe zako.

8. Hebu fanya maisha yako ya ndoa na familia kuwa ya faragha(siri). Waache wanafamilia wakae mbali na masuala yako ya kazi. Hii ni muhimu sana.

9. Uwe mwaminifu kwako mwenyewe na uamini katika kazi yako. Kukaa karibu sana na bosi wako kutakufitinisha na wenzako na bosi wako hatimaye anaweza kukustukia na kukutenga.

10. Jitahidi kustaafu mapema. Njia bora ya kupanga kuondoka kwako ilikuwa wakati ulipokea barua ya ajira. Wakati mwingine mzuri ni leo. Ktk umri wa miaka 40 hadi 50 uwe umestaafu.

11. Jiunge na Taasisi ya Ustawi wa kazi na uwe mwanachama hai kila wakati. Itakusaidia sana wakati tukio lolote litatokea.

12.Siku za likizo zitumie kwa kuendeleza nyumba au miradi ya siku zijazo, kwa kawaida unachofanya wakati wa siku za likizo ya mwaka huakisi jinsi utakavyoishi baada ya kustaafu.

Happy New Year 2026

Niliyo jifunza mwaka 👉🏽2025 1. Sio kila mahali panastahili kukaaNilijifunza mapema kusoma mazingira. Nikatambua kuwa hek...
01/01/2026

Niliyo jifunza mwaka 👉🏽2025

1. Sio kila mahali panastahili kukaa
Nilijifunza mapema kusoma mazingira. Nikatambua kuwa hekima si kuvumilia kila kitu au kila mtu, bali ni kuondoka mahali panaponinyima amani

2. Mipaka ni kinga, si ubinafsi
Nilijifunza kusema hapana bila hatia. Nikafahamu kuwa kujilinda si kosa, na kuridhisha kila mtu si wajibu wangu.

3. Sio kila mtu ana nia njema
Nilijifunza kutofautisha kati ya anayenijali kwa dhati na anayenitumia kwa maslahi yake. Si kila tabasamu ni upendo wa kweli.

4. Upendo usio na usawa huacha majeraha na maumivu
Nilijifunza kujipenda kwanza. Kwa sababu huwezi kumpa mtu kile ambacho hujajipa mwenyewe.

5. Afya ya akili ni kipaumbele
Nilijifunza kupumzika bila kujilaumu, kujipa nafasi ya kupumua, na kuomba msaada pale ninapohitaji.

6. Makosa si mwisho wa safari
Nilijifunza kuwa makosa ni masomo ya kunijenga, si hukumu ya kunivunja. Kila kuanguka kulinifundisha namna ya kusimama tena.

7. Nguvu si kujifanya uko sawa
Nilijifunza kuwa ni sawa kuonekana dhaifu, ni sawa kusema ninaumia. Ujasiri wa kweli ni kuwa mkweli na nafsi yako

. Siku Moja Utastaafu.Hautakua ukienda kazini, hautakua na madaraka tena, hautakua na nguvu ya ushawishi, mzunguko wako ...
01/01/2026

. Siku Moja Utastaafu.
Hautakua ukienda kazini, hautakua na madaraka tena, hautakua na nguvu ya ushawishi, mzunguko wako wa pesa utapungua kabisa!

Chunguza/fuatilia tarehe yako ya kustaafu kwenye risiti yako ya malipo ya mshahara.

2. Tumia Vizuri Siku Zako za Likizo ya Mwaka.

Chochote utakachokifanya Likizo ndio utakachokifanya ukistaafu.K**a unatumia likizo kulala au kuagalia Luninga ndicho utakachokifanya ukistaafu.Tumia wakati wako wa ziada kujifunza kitu, kitakuja kuwa na manufaa ukistaafu.

3. Wekeza Kwa Ajili ya Kustaafu Kwako.

Watoto wako sio uwekezaji kwa ajili ya kustaafu kwako. Usiwategemee watoto, ndugu, au marafiki k**a benki yako. Utapoteza heshima na utu wako.

4. Tafuta Shughuli Unayoipenda/Unayoifurahia wakati bado upo kazini ikuongozee katika kustaafu kwako mfano kufuga kuku au miliki duka pata ujuzi unaojiuza (sio vyeti visivyo na matumizi)

5. Utastaafia Wapi?.

Jijengee nyumba. Usistaafu ukiwa bado unapanga nyumba.
Usigome kutoka kwenye nyumba ya serikali.

Address

Kijitonyama
Dar Es Salaam
1259

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when KITAA RADIO FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to KITAA RADIO FM:

Share

Category