KITAA RADIO FM

KITAA RADIO FM Bodaboda n Bajaj Music Entertainment Swali likaja kwangu nyimbo au video ambazo hazichezwi na ni nzuri
tufanye nazo nini ili na hawa wasanii wapate airtime?

TATIZO = FURSA
ukiijua hiyo hesabu vizuri maisha kwako yatakuwa bam bam

Wasanii wengi kwa kipindi kirefu tumekuwa tunalalamika kuwa tunabaniwa
kwenye MEDIA bila kuelewa kwa kifupi tu ukweli wa mambo. Kwa Uchunguzi nilioufanya kwa kipindi cha miaka mitatu hivi nimegundua
haya, Watayarishaji au watangazaji wa vipindi kwa siku wanapokea zaidi
ya nyimbo 30 kutoka kwenye studio mbalimbali hapa nchini,

kwao inakuwa
ni vigumu kucheza nyimbo zote kutokana either muda kuwa mdogo wa
vipindi vyao au kuwa na request nyingi za nyimbo ambazo wamekuwa
wanazicheza sana. SULUHISHO LA TATIZO
Baada ya kuliona tatizo nikapata idea ya kuzunguka kwanza Manispaa
zote ILALA, KINONDONI na TEMEKE kuangalia usajili wa vituo vya
bodaboda na bajaj zilizosajiriwa kwenye vituo ambazo pia wameweka
radio ambazo zinatumia flash na memory cards,
Huku nikapata idea ya kuanzisha KITAA RADIO FM ambayo itahusika na
kuwasambazia watu hapa muziki ule ambao ulishindwa kupenya radioni
muziki wa aina yeyote wa Kitanzania ambao mzuri kusikika na watu
wakaupenda. Pili, kwenye upande upande wa video napo nikajiuliza ni mabus mangapi
yaendayo mikoani ambayo ndani hutoa burudani ya movies , music video
nk nikakuta ni zaidi ya mabus 2000 ,ambapo kwa siku kila bus
linasafirisha si chini ya abiria 50
Huku nako nikapata idea ya kuanzisha BODA 2 BODA Television ambayo
itakuwa inatoa burudani ya music videos zile tu zilizokosa kupewa
Airtime kwa namna moja au nyingine

When your mother asks, ‘Do you want a piece of advice?’ it is a mere formality. It doesn’t matter if you answer yes or n...
13/09/2025

When your mother asks,
‘Do you want a piece of advice?’
it is a mere formality.
It doesn’t matter if you answer yes or no. You’re going to get it anyway.

Dear God, I wanna take a minute, not to ask for anything from you, but simply to say thank you, for all I have.
13/09/2025

Dear God, I wanna take a minute, not to ask for anything from you, but simply to say thank you, for all I have.

You see a lot of smart guys with dumb women, but you hardly ever see a smart woman with a dumb guy.
13/09/2025

You see a lot of smart guys with dumb women, but you hardly ever see a smart woman with a dumb guy.

Imagine if trees gave off Wi-Fi signals. We would be planting so many trees, and we'd probably save the planet too. Too ...
11/09/2025

Imagine if trees gave off Wi-Fi signals. We would be planting so many trees, and we'd probably save the planet too. Too bad they only produce the oxygen we breathe.

je ni ngoma gani kati ya hizi unatamani niirudie na producer gani wa kizazi hiki na nimshirikishe artist gani wa gen z i...
11/09/2025

je ni ngoma gani kati ya hizi unatamani niirudie na producer gani wa kizazi hiki na nimshirikishe artist gani wa gen z itakuwa kali sana
1. sintobadilika
2. k**a
3. nampenda nani
4. je utanipenda
5. nibeep
6. niacheni
7. sivainogela
8. Nyaluland / Hali Halisi
9. Hodi
10. Kimya Changu

Tajiri hutumia fedha zake kuwekeza ili azidi kuwa tajiri, ila hohehae aka Masikini hutumia fedha zake kuwekeza ili aonek...
11/09/2025

Tajiri hutumia fedha zake kuwekeza ili azidi kuwa tajiri, ila hohehae aka Masikini hutumia fedha zake kuwekeza ili aonekane tajiri

Temeke Mikoroshi my new playground, ila bado natafuta nyumba niliyohamia jana
10/09/2025

Temeke Mikoroshi my new playground, ila bado natafuta nyumba niliyohamia jana

Amani ya Moyo
10/09/2025

Amani ya Moyo

shtuka chukua hatua
10/09/2025

shtuka chukua hatua

Mapenzi bana
10/09/2025

Mapenzi bana

wit my brother
06/09/2025

wit my brother

Maisha hayapimwi kwa kile tulichonacho bali lwa jinsi tunavyogusa Mioyo ya wengine
31/08/2025

Maisha hayapimwi kwa kile tulichonacho bali lwa jinsi tunavyogusa Mioyo ya wengine

Address

Kijitonyama
Dar Es Salaam
1259

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when KITAA RADIO FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to KITAA RADIO FM:

Share

Category