KITAA RADIO FM

KITAA RADIO FM Bodaboda n Bajaj Music Entertainment Swali likaja kwangu nyimbo au video ambazo hazichezwi na ni nzuri
tufanye nazo nini ili na hawa wasanii wapate airtime?

TATIZO = FURSA
ukiijua hiyo hesabu vizuri maisha kwako yatakuwa bam bam

Wasanii wengi kwa kipindi kirefu tumekuwa tunalalamika kuwa tunabaniwa
kwenye MEDIA bila kuelewa kwa kifupi tu ukweli wa mambo. Kwa Uchunguzi nilioufanya kwa kipindi cha miaka mitatu hivi nimegundua
haya, Watayarishaji au watangazaji wa vipindi kwa siku wanapokea zaidi
ya nyimbo 30 kutoka kwenye studio mbalimbali hapa nchini,

kwao inakuwa
ni vigumu kucheza nyimbo zote kutokana either muda kuwa mdogo wa
vipindi vyao au kuwa na request nyingi za nyimbo ambazo wamekuwa
wanazicheza sana. SULUHISHO LA TATIZO
Baada ya kuliona tatizo nikapata idea ya kuzunguka kwanza Manispaa
zote ILALA, KINONDONI na TEMEKE kuangalia usajili wa vituo vya
bodaboda na bajaj zilizosajiriwa kwenye vituo ambazo pia wameweka
radio ambazo zinatumia flash na memory cards,
Huku nikapata idea ya kuanzisha KITAA RADIO FM ambayo itahusika na
kuwasambazia watu hapa muziki ule ambao ulishindwa kupenya radioni
muziki wa aina yeyote wa Kitanzania ambao mzuri kusikika na watu
wakaupenda. Pili, kwenye upande upande wa video napo nikajiuliza ni mabus mangapi
yaendayo mikoani ambayo ndani hutoa burudani ya movies , music video
nk nikakuta ni zaidi ya mabus 2000 ,ambapo kwa siku kila bus
linasafirisha si chini ya abiria 50
Huku nako nikapata idea ya kuanzisha BODA 2 BODA Television ambayo
itakuwa inatoa burudani ya music videos zile tu zilizokosa kupewa
Airtime kwa namna moja au nyingine

1997
17/07/2025

1997

Uncle I beg yoooo
17/07/2025

Uncle I beg yoooo

Naomba kura yako k**a rafiki, k**a ndugu, k**a Shabiki yangu Click link kwenye BIO then kwenye comment andika  inatosha
14/07/2025

Naomba kura yako k**a rafiki, k**a ndugu, k**a Shabiki yangu
Click link kwenye BIO then kwenye comment andika inatosha

Kazi ya ulimbo kwa Malimbukeni
12/07/2025

Kazi ya ulimbo kwa Malimbukeni

Tujifunze kushukuru kila siku
12/07/2025

Tujifunze kushukuru kila siku

mwaka 1992 alikuwa mwizi sana huyu jamaa
12/07/2025

mwaka 1992 alikuwa mwizi sana huyu jamaa

Ina ukweli ndani yake
12/07/2025

Ina ukweli ndani yake

I mean business
07/07/2025

I mean business

tambala hili wakati unaliona kwa mara ya kwanza ulikuwa darasa la ngapi?
06/07/2025

tambala hili wakati unaliona kwa mara ya kwanza ulikuwa darasa la ngapi?

Wanasema Kila Mtu Anaboda Boda Wake Anaemuamini,Ni KWELI?Yaani Huyu Boda Boda Ameshakuwa Familia Kabisa.Boda Wako Unaemt...
06/07/2025

Wanasema Kila Mtu Anaboda Boda Wake Anaemuamini,Ni KWELI?
Yaani Huyu Boda Boda Ameshakuwa Familia Kabisa.Boda Wako Unaemtuma Popote Kukupelekea Mzigo, Kukupeleka Wewe Mwenyewe, Kumpokea Hata Mgeni Wako.Kwa Nini Ni Yeye Na Sio Wengine Ana Sifa Zipi?
Anaitwa Nani?
Mpe Shout Out Basi Hapo Kwa Comment

which generation are you
06/07/2025

which generation are you

๐Ÿ”ฅ NEW MUSIC ALERT! ๐Ÿ”ฅMy brand new song   โ€“ Mike Tee Mnyalu feat. Banana Zorro is officially out now! ๐ŸŽถ๐Ÿ’ฐAvailable on ALL m...
04/07/2025

๐Ÿ”ฅ NEW MUSIC ALERT! ๐Ÿ”ฅ
My brand new song โ€“ Mike Tee Mnyalu feat. Banana Zorro is officially out now! ๐ŸŽถ๐Ÿ’ฐ
Available on ALL major streaming platforms โ€“ go stream, download, and vibe with us!

๐ŸŽง Letโ€™s run it up!
๐Ÿ“บ Subscribe to my YouTube channel ๐Ÿ‘‰ for more amazing content.



thank you the main engineer in this project under

Address

Kinondoni

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when KITAA RADIO FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to KITAA RADIO FM:

Share

Category