KITAA RADIO FM

KITAA RADIO FM Bodaboda n Bajaj Music Entertainment Swali likaja kwangu nyimbo au video ambazo hazichezwi na ni nzuri
tufanye nazo nini ili na hawa wasanii wapate airtime?

TATIZO = FURSA
ukiijua hiyo hesabu vizuri maisha kwako yatakuwa bam bam

Wasanii wengi kwa kipindi kirefu tumekuwa tunalalamika kuwa tunabaniwa
kwenye MEDIA bila kuelewa kwa kifupi tu ukweli wa mambo. Kwa Uchunguzi nilioufanya kwa kipindi cha miaka mitatu hivi nimegundua
haya, Watayarishaji au watangazaji wa vipindi kwa siku wanapokea zaidi
ya nyimbo 30 kutoka kwenye studio mbalimbali hapa nchini,

kwao inakuwa
ni vigumu kucheza nyimbo zote kutokana either muda kuwa mdogo wa
vipindi vyao au kuwa na request nyingi za nyimbo ambazo wamekuwa
wanazicheza sana. SULUHISHO LA TATIZO
Baada ya kuliona tatizo nikapata idea ya kuzunguka kwanza Manispaa
zote ILALA, KINONDONI na TEMEKE kuangalia usajili wa vituo vya
bodaboda na bajaj zilizosajiriwa kwenye vituo ambazo pia wameweka
radio ambazo zinatumia flash na memory cards,
Huku nikapata idea ya kuanzisha KITAA RADIO FM ambayo itahusika na
kuwasambazia watu hapa muziki ule ambao ulishindwa kupenya radioni
muziki wa aina yeyote wa Kitanzania ambao mzuri kusikika na watu
wakaupenda. Pili, kwenye upande upande wa video napo nikajiuliza ni mabus mangapi
yaendayo mikoani ambayo ndani hutoa burudani ya movies , music video
nk nikakuta ni zaidi ya mabus 2000 ,ambapo kwa siku kila bus
linasafirisha si chini ya abiria 50
Huku nako nikapata idea ya kuanzisha BODA 2 BODA Television ambayo
itakuwa inatoa burudani ya music videos zile tu zilizokosa kupewa
Airtime kwa namna moja au nyingine

12/05/2026

sitaki ushahidi

12/05/2026

Life is not fair

10/05/2026

Mkiendelea kusherehekea kuna kaujumbe kenu hapo toka kwa madam

25/04/2026

Mnyalukolo

14/04/2026

GenZ mtatuua sasa, hii nini

13/04/2026

Na wengine mnajiiya fatty kumbe fatuma mzazi wako anakuombea huko kwa jina la fatuma maombi hayafiki kumbe unajiita fatty

10/04/2026

Uko tayari???

07/04/2026

🙏 It’s more than music… it’s a prayer from the heart.
Sala ya Toba by Mike Tee Mnyalu ft. Goodluck Momburi is OUT NOW!
Let this song guide you back to grace.
🎧 Available everywhere, you stream music.

06/04/2026

🔥 When lyrics meet purpose… greatness is born.
Mike Tee Mnyalu ft. Goodluck Momburi — Sala ya Toba
Produced by Gachi B (BlackDot Studios)
🎧 Out now on all platforms.

Don’t just listen… feel it.

06/04/2026

🔥 When lyrics meet purpose… greatness is born.
Mike Tee Mnyalu ft. Goodluck Momburi — Sala ya Toba
Produced by Gachi B (BlackDot Studios)
🎧 Out now on all platforms. Don’t just listen… feel it.

Address

Kijitonyama
Dar Es Salaam
1259

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when KITAA RADIO FM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to KITAA RADIO FM:

Share

Category