Studio19

Studio19 Studio 19 Limited is a creative media company that is focused on telling African stories, with the emphasis on using creative media and technology.

Studio 19 Limited was born in 2015 as a creative media company
that is focused on telling Africa's stories, with the emphasis on using creative media and technology, to express what is inherent in the African continent. Our Team loves to tell stories, make amazing film, create and run engaging communication strategies. We combine a creative passion for our craft with an intellectual thirst for exploring the most challenging issues of our time.

Timu ambayo imefanikisha siku ya Leo kuonekana na kuwa Bora kutoka  i tukutane baadae wapendwa tuhakikishe tunakuja kwa ...
14/08/2025

Timu ambayo imefanikisha siku ya Leo kuonekana na kuwa Bora kutoka i tukutane baadae wapendwa tuhakikishe tunakuja kwa wingi sana.

Tunazidi kuwashukuru washirika wetu wote kwa kufanikisha, Tamasha hili

























Timu ya  wakiwa wanajadiliana wapi wa boresge zaidi I'll kutoa kitu kizuri na wadau wetu wa Filamu wazidi kuburudika na ...
14/08/2025

Timu ya wakiwa wanajadiliana wapi wa boresge zaidi I'll kutoa kitu kizuri na wadau wetu wa Filamu wazidi kuburudika na tuko tiari kuwa wadau wetu tukutane baadae.

Tunazidi kuwashukuru washirika wetu wote kwa kufanikisha, Tamasha hili

























Mkurugenzi wa  akiwa anafanya mahojiano na Vyombo vya habari kuhusu Tamasha la Filamu Ambalo litaendelea hapa Mlimani Ci...
14/08/2025

Mkurugenzi wa akiwa anafanya mahojiano na Vyombo vya habari kuhusu Tamasha la Filamu Ambalo litaendelea hapa Mlimani City.

Karibuni Sana!

























Kuna kupungua kweli hapa Mbona k**a kuna mtu ana bifu na Mimi
09/08/2025

Kuna kupungua kweli hapa

Mbona k**a kuna mtu ana bifu na Mimi

Asante  kwa kuungana na Tamasha na Tuzo za Filamu Tanzania uwepo wako ni chachu ya ukuaji wa Filamu Tanzania.Pia Agosti ...
08/08/2025

Asante kwa kuungana na Tamasha na Tuzo za Filamu Tanzania uwepo wako ni chachu ya ukuaji wa Filamu Tanzania.

Pia Agosti 14-16 pale mlimani City kutakuwa na Tamasha kubwa la Filamu hivyo tusipange kukosa.





















Studio 19 tupo ndani ya Kijiji cha Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo SABASABA!Tunaendelea na mazungumzo na w...
07/07/2025

Studio 19 tupo ndani ya Kijiji cha Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo SABASABA!

Tunaendelea na mazungumzo na wadau mbalimbali kuhusu nafasi ya filamu k**a chombo chenye nguvu katika kuleta maendeleo ya kijamii na kiuchumi.

Tunatoa shukrani za dhati kwa Bodi ya Filamu Tanzania na kwa kutoa jukwaa hili linalowezesha taasisi na wabunifu kuonyesha mchango wao katika sekta ya filamu.

Wadau wote mnakaribishwa kutembelea banda letu katika Kijiji cha Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo tujadiliane na tujifunze pamoja



Kwa weledi na umakini wa hali ya juu, timu ya uzalishaji imesimama imara kuhakikisha kila hatua ya tukio la Directing th...
03/07/2025

Kwa weledi na umakini wa hali ya juu, timu ya uzalishaji imesimama imara kuhakikisha kila hatua ya tukio la Directing the Future linafanikishwa kwa ubora unaostahili.

Hii ndiyo nguzo ya mafanikio ya TAFFA 2025.









22/04/2024

Address

Kiko Avenue
Dar Es Salaam
585

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00

Telephone

+255766493339

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Studio19 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Studio19:

Share