
02/12/2023
Kutumia dawa za antibayotiki mara kwa mara kwa muda mrefu husababisha fangasi kwani dawa hizo huua wadudu wote wanaolinda mwili na kuacha uke ukiwa hauna kinga. Dawa za antibayotiki ni pamoja na Ciprofloxacin, Doxycycline, Erythromycin, Gentamicin, Ampicillin na Amoxicillin