Rick Media

Rick Media Founded by Fredrick Kisalala (Rick) in 2017

Welcome to Rick Media
Rick Media is a dynamic digital media brand that specializes in engaging storytelling, high-quality visual content, and impactful digital campaigns.

Man United anazidi kuchapika. Man City 3-0 Man United. Unaumia ukiwa wapi?
14/09/2025

Man United anazidi kuchapika. Man City 3-0 Man United. Unaumia ukiwa wapi?

  Usiku wa jana   wamezindua jezi zao ambazo watazitumia kwenye msimu mpya wa 2025/26. Kati ya jezi za rangi hizi mbili ...
01/09/2025

Usiku wa jana wamezindua jezi zao ambazo watazitumia kwenye msimu mpya wa 2025/26. Kati ya jezi za rangi hizi mbili ipi ambayo kwako ni kali zaidi?

08/08/2025

MWIJAKU Amchana PASTOR TONNY KAPOLA/Amtaka Aombe Msamaha/Afichua huwa anawatumia

04/08/2025

Mwanamke asiye Bikra hatakiwi kulipiwa Mahari/Ni adhabu kubwa kwa mwanaume

Dj wa Staa wa Muziki kutoka Nchini Nigeria  ,   Amefunguka kuhusu Upendo na Heshima aliyonayo kwa Staa huyo Akisema kuwa...
04/08/2025

Dj wa Staa wa Muziki kutoka Nchini Nigeria , Amefunguka kuhusu Upendo na Heshima aliyonayo kwa Staa huyo Akisema kuwa hakuna pesa inaweza kununua Ukaribu wao.
Akiwa kwenye mahojiano Amedai kuwa hata apewe $10M (Tsh.Bilioni 26) hawezi kumsaliti .

Ujumbe wa Staa wa Muziki   baada ya Mafanikio ya Ep yake ya  “Msanii Namba 1 Kwa Sasa Kwenye Digital Platforms hadi Mtaa...
04/08/2025

Ujumbe wa Staa wa Muziki baada ya Mafanikio ya Ep yake ya

“Msanii Namba 1 Kwa Sasa Kwenye Digital Platforms hadi Mtaani na Mawe Yote ya Ep Yanalia ..
Wimbo Namba 1 Kwa Sasa na ndo wimbo unaopendwa mno kati ya nyimbo zote zilizotoka Mwaka huu “ Mtaani hadi Speed ya namba zake Kwenye Digital Platforms zote .” na ndo huo unaelekea kuwa Wimbo Bora
Wa Mwaka ....
Ep / Album Bora Kwa Sasa Kwenye Digital Platforms hadi
Mtaani
K**a kuna mtu anabisha Mwambie “ Ku** Mbosso
Atazoa”

Huyu hapa Mkenya ambaye ametrend mtandaoni baada ya kudai kuwa ni mtoto wa bilionea wa teknolojia,  .Anasema mama yake a...
04/08/2025

Huyu hapa Mkenya ambaye ametrend mtandaoni baada ya kudai kuwa ni mtoto wa bilionea wa teknolojia, .

Anasema mama yake alikutana na alipokuwa akifanya kazi kwenye hoteli katika eneo la Masai Mara mapema miaka ya 90.

Ingawa hadithi hii imevutia umakini mtandaoni, hakuna ushahidi wowote unaounga mkono madai ya mwanaume huyu.

04/08/2025

MWIJAKU Awachana wanawake Walevi/Wavuta Bangi/Adai hawatoolewa kamwe

04/08/2025

Mbosso adai yeye ndiye msanii namba moja kwa sasa Tanzania/Watoe wote unaowajua wewe

02/08/2025

MARIOO kufunga NDOA na PAULA mwakani/Paula ameanika kila kitu hapa

02/08/2025

Mtoto wa MAGULI na RAIS SAMIA watoboa UBUNGE VITI maalumu UVCCM-DODOM.

02/08/2025

ZUCHU Awanyea wanaoponda wimbo wake wa AMANDA/Achoshwa na Mashabiki wajuaji. Tazama Video hii

Address

Sinza Madukani
Dar Es Salaam
1411

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Rick Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Rick Media:

Share

Category