12/10/2025
Naona hujipendi, Kaza komeo la Mlango hujui wanaweza kuingia ndani watekaji !
Tuendele kukuwa, kwa pamoja kiroho na kiafya Follow me na Utabarikiwa kwa Neema ya Mungu_Dr William U.S.A
(3)
�Hey Follow Hii Page
Dar Es Salaam
WATUZAIDI17,928,000WANAFATILIAKURASAHII
Be the first to know and let us send you an email when Dr William Mtanzania Wa USA America posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.
Send a message to Dr William Mtanzania Wa USA America:
Uonapo dalili hizi - Kukojoa Mara kwa Mara - Kukojoa huku unahisi maumivu kwa ndani. - kukojoa huku unahisi K**a bado mkojo hujamalizika - Kukojoa mkojo ambao unatoa harufu kali. - Ukiona kwenye ume/uke wako kunatoka maji maji rangi ya mawingi. - Kuhisi kauwasho katamu kwenye njia ya mkojo. - Maumivu ya kiuno. - Kichefuchefu kikiambatana na homa. - Kukojoa mkojo mwekundu au majano nyeusi. Dalili hizo zinaashiria kuwa umeathiliwa na ugonjwa (hali) ya njia ya mkojo. Nitapendekeza utumie kijiko ½ cha uga wa chapa maandazi (barking soda) changanya kwenye maji ya uvugu vugu kikombe kimoja kunywa 1*2, Pia vyema ukazingatia kunywa maji mengi ya kutosha baada ya kunywa mchanganyo huu. Dawa zingine za U.T.I ni pamoja na :- -Tangawizi + Kitungu swaumu - Majani ya Machungwa + Soup ya Mchicha - Majani ya mwembe + Mizizi ya mgomba #Ujumbe huu umeletwa kwenu Kwa msaada wa shida zote za kiroho na kimwili wasiliana na Dr Saga wa Njombe namba za WhatsApp au piga +255 765 65 86 06 Hebu Share& Comment