East Africa TV

  • Home
  • East Africa TV

East Africa TV Official EastAfricaTV page
(875)

28/07/2025

Watumiaji wa intaneti ya bure katika baadhi ya maeneo nchini wameonesha kutokua na ufahamu juu ya faida au madhara ya kutumumia wifi za bure katika maeneo zinakopatikana huku pia wakilazimika kutumia vya bure kutokana na gharama kubwa za inateti ya kulipia.

28/07/2025

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Loveness Adimini maarufu Fungambele (23) mkazi wa Itumbi Wilayani Chunya mkoani Mbeya kwa tuhuma za kumuua kwa kumchoma kisu mpenzi wake aliyefahamika kwa jina la Mboma Makenzi (22) mchimbaji wa madini na mkazi wa Itumbi kata ya matundasi wilaya ya chunya mkoani Mbeya.

28/07/2025

Baadhi ya Waandishi wa habari wakiwa katika ukumbi wa Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jijini Dodoma, wakimsubiri Katibu wa Itikadi, Siasa na Uenezi, CPA Amos Makalla, kuzungumzia hatma ya majina ya wagombea wa nafasi za Ubunge na Madiwani kupitia Chama hicho

28/07/2025

Jaji Hamidu Mwanga wa Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, amekataa kujitoa kusikiliza kesi ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

28/07/2025

LIVE: KIPENGA EXTRA

28/07/2025

Wanafunzi wa Shule ya Kitunda Sekondari wanajua vitu vingi sana 😀hapa wanaongea lugha ya Kichina na ikitafsiriwa na Mkalimani wake.

Itazame ya kila siku ya Ijumaa saa 12:30 jioni na

28/07/2025

Tatizo la abiria wasiotoa taarifa ya upungufu wa nauli walizonazo kasha kuingia kwenye daladala na kugombana na makondakta bado lipo, kwa mujibu wa madera na amkodnakta wa daladala waliozunguza na EATV.

Wameelezea hali hiyo kusababishwa na ugumu wa maisha ambapo wakati mwingine abiria hupanda daladala akiwa na nauli pungufu , huku makondakta wakijifunza kuzuia mizozo inayoweza kupelekea ugomvi mbaya na kuharibu siku yao kazini.

28/07/2025

Wananchi wilayani Kiteto mkoani Manyara, wameomba kupatiwa elimu ya kilimo cha matunda na mboga mboga kufuatia kutumia gharama kubwa kupata huduma hiyo wilaya na mikoa ya jirani.

Wakizungumza na KURASA baadhi ya wafanya biashara wa soko la Kibaya na wananchi wilayani humo wametaja baadhi ya sababu za wao kutopata matunda.

28/07/2025

Selekta wetu wa wanatuambia utofauti uliopo kati ya Uwinga na Udalali!

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when East Africa TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to East Africa TV:

Shortcuts

  • Address
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share