08/06/2026
Klub ya Azam fc imeanza kuboresha kikosi chake kwa kuwaongezea mikataba wachezaji wake Muhimu. Baada ya wiki iliyopita kumuongezea mktaba kocha Ibenge, tayari wiki hii wamemsainisha mkataba mpya winga wa Idi seleman nado.
Nado ameongeza mkataba wa miaka miwili kuitumikia klub ya Azam fc, mkataba wa nado ulikuwa unaisha mwishoni mwa mwezi huu wa sita.
Kwa mujibu wa Taarifa za ndani ya Azam fc tayari CEO wa azam fc yupo mezani na wachezaji kadhaa ikiwemo fei toto katika mkakati wa kumuongezea mkataba mwengine.