22/08/2025
Kituo cha kumbukumbu cha Dkt. David Livingstone kilichopo Ujiji, mkoani Kigoma, kimeendelea kuwa kivutio muhimu cha utalii wa kihistoria kutokana na mchango wa mmisionari huyo katika kupinga biashara ya utumwa barani Afrika katika karne ya 19.
Kupitia kituo cha kumbukumbu ya Dkt. Livingstone watalii wamekuwa wakizuru na kujifunza namna jitihada zake zilivyoweza kuibua mjadala mpana wa haki za binadamu na mabadiliko ya kijamii.
Ramadhani Mvungi ana undani zaidi
Imehaririwa na