17/01/2026
Kabila nyingi za Afrika zimekuwa na mila na desturi zake ambazo zimekuwa utambulisho wa jamii nyingi za bara hilo.
Miongoni mwa tamaduni ya kale ni ‘Jando na Unyago’ kwa makabila ya Tanzania likiwemo kabila la Makonde ambalo wenyeji wake huitwa ‘Wamakonde’.
Hata hivyo kunadaiwa kuwepo kwa dalili za kupotea kwa ‘Jando na Unyago’ katika kabila hilo hali iliyomsukuma mwandishi wetu, John Kasembe kufuatilia.
Mhariri