
26/09/2025
Wakazi wa Kijiji cha Nyasamba, Wilaya ya Kishapu, sasa wamepata afueni baada ya Wakala wa Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kutatua tatizo la maji lililosababishwa na kuharibika kwa pampu ya kisima kirefu. Huduma hiyo ilikuwa imesimama kwa zaidi ya siku mbili.https://www.ippmedia.co.tz/nipashe/habari/kitaifa/read/ruwasa-yarejesha-huduma-ya-maji-nyasamba-2025-09-26-195133