D media tz

D media tz Subscribe to our YouTube channel
https://www.youtube.com/

Mnyama Lionel Messi mechi 5 zilizopita kaweka mabao 10 na kila mechi amefunga mabao mawili bila ya Penalti.King Leo sasa...
13/07/2025

Mnyama Lionel Messi mechi 5 zilizopita kaweka mabao 10 na kila mechi amefunga mabao mawili bila ya Penalti.

King Leo sasa amefikiasha michezo 1112 katika safari yake ya soka akifunga jumla ya mabao 872 na kutoa pasi za mabao 385 jumla amehusukia katika mabao 1257.

Amefunga mabao ya Freekick 69 akitwaa jumla ya Makombe 46 na Ballon d’Ors 8.

Thank you kwa KIJILI
13/07/2025

Thank you kwa KIJILI

🖐️🖐️🖐️
13/07/2025

🖐️🖐️🖐️

Thank you kwa Master pass
12/07/2025

Thank you kwa Master pass

12/07/2025
Thank you kwa Valentin Nouma
12/07/2025

Thank you kwa Valentin Nouma

Luis Enrique's PSG at CWC:🔥 Defeated Diego Simeone's Atlético Madrid 4-0.🔥 Defeated Vincent Kompany's Bayern Munich 2-0....
12/07/2025

Luis Enrique's PSG at CWC:

🔥 Defeated Diego Simeone's Atlético Madrid 4-0.
🔥 Defeated Vincent Kompany's Bayern Munich 2-0.
🔥 Defeated Xabi Alonso's Real Madrid 4-0.

10 goals scored against these giants. 0 goals conceded. 😲

Wapenzi wa Simba,Najua mioyo yenu imebeba maswali mengi. K**a Rais wenu, msione nimekaa kimya wakati tumepitia kipindi h...
11/07/2025

Wapenzi wa Simba,

Najua mioyo yenu imebeba maswali mengi. K**a Rais wenu, msione nimekaa kimya wakati tumepitia kipindi hiki kigumu. Kupambania Simba ni wajibu wangu.

Huu siyo wakati wa lawama — ni wakati wa kusimama imara, kuwa kitu kimoja, na kuchukua hatua sahihi za kuleta mabadiliko chanya.

Katika siku chache zijazo, nitazungumza na nyie moja kwa moja. Kuna kazi kubwa inaendelea, na kuna matumaini ya kweli.

Simba haijapotea. Tumekuwa kwenye kipindi cha mpito — tumejenga kikosi kipya, tumeimarisha benchi la ufundi, na tumeweka msingi wa mwelekeo mpya. Msimu huu tumefika mbali zaidi ya matarajio, na msimu ujao tunarudi kwa nguvu mpya.

Naomba tuendelee kuwa wavumilivu. Tunahitaji kufanya marekebisho makubwa. Tuendelee kusimama pamoja k**a familia moja.

Mbele yetu kuna mwanga. Na kwa pamoja, tutarudi tukiwa imara zaidi, wenye njaa zaidi, na wa kishujaa zaidi.

Aishi Manula sasa ni mali halali ya Azam fc
10/07/2025

Aishi Manula sasa ni mali halali ya Azam fc

🥶 Luis Díaz agreed personal terms with Bayern, according to BILD. Negotiations between the clubs still pending ⏳
07/07/2025

🥶 Luis Díaz agreed personal terms with Bayern, according to BILD. Negotiations between the clubs still pending ⏳

Idadi ya watu waliokufa kufuatia mafuriko makubwa yaliyoyakumba maeneo ya kati mwa jimbo la Texas, Marekani, imefikia wa...
07/07/2025

Idadi ya watu waliokufa kufuatia mafuriko makubwa yaliyoyakumba maeneo ya kati mwa jimbo la Texas, Marekani, imefikia watu 78, wakiwemo watoto 28.

Akizungumza na waandishi wa habari gavana wa Texas, Greg Abbott ametangaza rasmi hali ya maafa, akilitaja tukio hilo kuwa ni “janga lisilo la kawaida.

Mafuriko hayo yalitokea baada ya kukatika kwa kingo za Mto Guadalupe baada ya mvua kubwa kunyesha katika jimbo hilo siku ya Ijumaa wiki iliyopita.

Ni rasmi sasa kiungo wa Real Sociadad na timu ya taifa ya Spain, Martin Zubimendi amejiunga na Arsenal kwa ada ya uhamis...
07/07/2025

Ni rasmi sasa kiungo wa Real Sociadad na timu ya taifa ya Spain, Martin Zubimendi amejiunga na Arsenal kwa ada ya uhamisho ya €65M

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when D media tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share