Dar24 DAR24 Media ni kituo cha habari kinachorusha maudhui yake kwa njia ya mitandao ya kijamii ya Facebook, Instagram, YouTube, Website na Twitter.

bofya https://youtube.com/c/Dar24Media Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbalimbali tembelea www.dar24.com

⸻🔥 BONGO CITY imewasili! 🔥Konekt Series chini ya Konekt Limited () inaketa ubora na upekee – Ili kuhakikisha ubora tuapo...
16/09/2025



🔥 BONGO CITY imewasili! 🔥
Konekt Series chini ya Konekt Limited () inaketa ubora na upekee – Ili kuhakikisha ubora tuapokea oda 99 pekee na hakuna marudio. Safari hii tunakuletea BONGO CITY – hoodies, t-shirt na kofia, zikitengenezwa kwa rangi yoyote unayotaka 🎨✨

Miliki mtaa. Miliki vibe. Miliki Bongo City 🏙️

Episode ya 7 ya "Usiku wa Mwisho" ipo kwenye YouTube Channel ya Dar24 Media sasa - Hii sio ya kukosa
01/09/2025

Episode ya 7 ya "Usiku wa Mwisho" ipo kwenye YouTube Channel ya Dar24 Media sasa - Hii sio ya kukosa

Usiku wa tarehe 8 Machi 2014, ndege ya Malaysia Airlines MH370 ilipaa angani kutoka Kuala Lumpur kuelekea Beijing. Ndani...
25/08/2025

Usiku wa tarehe 8 Machi 2014, ndege ya Malaysia Airlines MH370 ilipaa angani kutoka Kuala Lumpur kuelekea Beijing. Ndani ya chumba cha marubani walikuwapo watu wawili—Kapteni Zaharie Ahmad Shah, rubani mkongwe mwenye uzoefu wa miongo kadhaa na zaidi ya saa 18,000 za kurusha ndege, na Fariq Abdul Hamid, kijana mwenye ndoto kubwa, akiwa kwenye safari za mwisho za mafunzo yake ya kurusha Boeing 777.

Dakika chache baada ya kupaa, mawasiliano ya kawaida yalifanyika. Sauti ya taratibu ikasikika: “Good night, Malaysian three-seven-zero.” Ilikuwa ndiyo mara ya mwisho dunia kumsikia mmoja wa marubani hao. Baada ya hapo, ndege ikapotea kwenye rada—kama kivuli kilichomezwa na usiku wa anga.

Mpaka leo, jina la Zaharie na Fariq linatajwa kwa sauti ya mashaka na maswali yasiyo na majibu. Wao ndio walioshika usukani wa safari ya anga iliyoanza kwa kawaida, lakini ikamalizika kuwa moja ya siri kubwa zaidi katika historia ya usafiri wa ndege.

Haya yote yapo kwenye THE VAULT kwenye Dar24 Media pekee

Je, rubani msaidizi alihusika? Fariq Abdul Hamid alikuwa kopiloti mchanga wa ndege ya MH370, akiwa na takribani saa 2,70...
25/08/2025

Je, rubani msaidizi alihusika? Fariq Abdul Hamid alikuwa kopiloti mchanga wa ndege ya MH370, akiwa na takribani saa 2,700 za kurusha ndege. Baada ya kutoweka kwa ndege hiyo, kulikuwa na mashaka madogo kumhusu kutokana na historia yake ya mara moja kuruhusu abiria kuingia kwenye chumba cha rubani,

Fuatilia tukio hili kupitia THE VAULT ndani ya Dar24 pekee

Je, unajua kuwa ndege ya MH370 ya Malaysia Airlines ilipotea tarehe 8 Machi 2014 ikisafiri kutoka Kuala Lumpur kuelekea ...
25/08/2025

Je, unajua kuwa ndege ya MH370 ya Malaysia Airlines ilipotea tarehe 8 Machi 2014 ikisafiri kutoka Kuala Lumpur kuelekea Beijing, ikiwa na abiria 239. Baada ya kupotea kwenye rada, mashaka yalizuka kwamba huenda iligeuzwa kwa makusudi kutoka njia yake ya kawaida, jambo lililopelekea nadharia nyingi kuhusu kilichotokea.

Fuatilia THE VAULT - ili ujue undani wa tukio hili

Baada ya kutoweka kwa ndege ya MH370, kulikuwa na mashaka kutoka kwa wachunguzi na vyombo vya habari kuwa huenda Kapteni...
25/08/2025

Baada ya kutoweka kwa ndege ya MH370, kulikuwa na mashaka kutoka kwa wachunguzi na vyombo vya habari kuwa huenda Kapteni Zaharie Ahmad Shah alikuwa na uhusiano na tukio hilo, kwa sababu rekodi za simu na mazoezi ya ndege ya mfano (flight simulator) nyumbani kwake zilionyesha njia zinazofanana na ile ndege ilipopotea.

Je unahisi Zaharie alihusika?

Endelea kuangalia THE VAULT kujua zaidi.

Dar24 Media imefanikisha muunganiko wa kibiashara na unkutvsn - kiwanda cha kutengeneza aina mbalimbali za mavazi kinach...
18/07/2025

Dar24 Media imefanikisha muunganiko wa kibiashara na unkutvsn - kiwanda cha kutengeneza aina mbalimbali za mavazi kinachofanya shughuli zake Italia. Muunganiko huu ni katika moja ya njia ya unkutvsn kuwaza kufika katika nchi za Afrika na kuhakikisha kueneza ubora wa mavazi katika maeneo hayo. Kwa niaba ya Dar24 Media - tunayo furaha kubwa sana kuwaza kuwafikishia wadau wetu nafasi hii na tutahakikisha kuwa kila mdau ataweza kuvaa aina mbalimbali za mavazi kutoka unkutvsn

Jikoni mambo yananukia - Mbanga ipo njianj kuja kwenye kisinia! Kaa mkao wa kula
18/07/2025

Jikoni mambo yananukia - Mbanga ipo njianj kuja kwenye kisinia! Kaa mkao wa kula

18/07/2025

Address

Garden Road
Dar Es Salaam
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dar24 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dar24:

Share