
24/04/2025
6. Uongozi wa Idara ya Ustawi wa Jamii inatoa wito kwa kila Mtanzania Shia Ithna’ashariyyah anayetaka Kitambulisho cha TIC anaweza kutuma Taarifa zake kwa Naibu Katibu Mkuu Ustawi wa Jamii TIC Taifa kwa Namba 0765851747, *Hakuna Gharama*, Taarifa zitawasilishwa kwa Ngazi husika, *Gharama zitakuwa kwa ngazi ya Mkoa au Ngazi husika*.