IkWeekly

IkWeekly Welcome to IkWeekly,
For Information & Inspiration!

Selena Gomez sasa anaweza kuongeza kuwa bilionea kwenye orodha ndefu ya mafanikio yake.Mwigizaji huyo mwenye umri wa mia...
06/09/2024

Selena Gomez sasa anaweza kuongeza kuwa bilionea kwenye orodha ndefu ya mafanikio yake.

Mwigizaji huyo mwenye umri wa miaka 32, mwimbaji, mwekezaji na mjasiriamali amefanikiwa kufikia hatua hiyo ya kifedha na hivyo kumfanya kuwa mmoja wa mabilionea wachanga zaidi nchini Marekani, kulingana na Bloomberg, ambayo imeripoti kuwa utajiri wake wa dola bilioni 1.3.

Baadhi ya utajiri wa nyota huyo unatokana na uimbaji, ushirikiano wa chapa na uigizaji, lakini wingi wa utajiri wake unatokana na biashara yake ya Rare Beauty.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia Viongozi mbalimbali kwenye Mkutano wa J...
05/09/2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia Viongozi mbalimbali kwenye Mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) uliofanyika katika ukumbi wa The Great Hall of the People Jijini Beijing nchini China tarehe 05 Septemba, 2024.

Anza hapo ulipo, tumia ulichonacho, fanya unachoweza, Kila safari inaanza na hatua!
03/09/2024

Anza hapo ulipo, tumia ulichonacho, fanya unachoweza, Kila safari inaanza na hatua!

Hello Monday!Ukawe Na Wiki Njema Yenye Baraka Na Mafanikio Mengi Kwako Na Familia Yako! πŸ™πŸ½πŸ“·:
02/09/2024

Hello Monday!

Ukawe Na Wiki Njema Yenye Baraka Na Mafanikio Mengi Kwako Na Familia Yako! πŸ™πŸ½

πŸ“·:

Hello September!September Ukawe Mwezi Wa Baraka Na Mafanikio Kwako Na Familia Yako! πŸ™πŸ½
01/09/2024

Hello September!

September Ukawe Mwezi Wa Baraka Na Mafanikio Kwako Na Familia Yako! πŸ™πŸ½

Mbunge wa Kigamboni, Dkt. Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afr...
28/08/2024

Mbunge wa Kigamboni, Dkt. Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika katika uchaguzi uliofanyika leo Jumanne, Agosti 27, 2024 mjini Brazzaville, Jamhuri ya Congo.

Dkt. Ndugulile amewashinda wagombea wengine watatu kutoka Senegal, Niger na Rwanda.

Kwenye harakati za kutafuta mafanikio, endelea kujaribu hata mambo kuna muda unaona hayaendi, endelea kujaribu ipo siku ...
20/08/2024

Kwenye harakati za kutafuta mafanikio, endelea kujaribu hata mambo kuna muda unaona hayaendi, endelea kujaribu ipo siku utafikia malengo yako!

NBC Wakala Pesa inatoa fursa kwa wateja wasio na akaunti ya Benki ya NBC au Benki nyingine kuweza kufanya miamala ya kif...
15/08/2024

NBC Wakala Pesa inatoa fursa kwa wateja wasio na akaunti ya Benki ya NBC au Benki nyingine kuweza kufanya miamala ya kifedha kwa kutumia vitambulisho vyao vya taifa tu.

β€œTunatambua kuwa upatikanaji wa huduma za kifedha ni haki ya msingi ya kila Manzania bila kujali hadhi zao za kijamii na kuchumi... huduma yetu ya β€˜NBC Wakala Pesa’ imebuniwa kuvuka vikwazo ambavyo kwa muda mrefu vimekuwa vikizuia maelfu ya wananchi kutumia mfumo rasmi wa kifedha,”-amesema Mkurugenzi wa idara ya wateja wadogo na wakubwa wa benki hiyo, Elibariki Masuke.

Amesema pamoja na kurahisisha mchakato wa miamala pia huduma hiyo inachochea idadi kubwa ya wananchi kushiriki kwenye huduma rasmi za kifedha.

Usikate tamaa siku moja utafikia ndoto zako na utafurahi kwanini haukukata tamaa!
13/08/2024

Usikate tamaa siku moja utafikia ndoto zako na utafurahi kwanini haukukata tamaa!

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IkWeekly posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share