ITV Tanzania

ITV Tanzania ITV- Independent Television Limited (ITV) associate company of IPP Limited. Tel:+255 22 2775914/6
E-mail:[email protected]

Tanzania · http://www.ippmedia.com
(283)

ITV-Independent Television Ltd,
Mikocheni Light Industrial Area
P.O.Box 4374, Dar Es Salaam,
Tanzania.

30/10/2025

: Mgombea Ubunge Jimbo la Mkuranga Abdallah Ulega amepiga kura yake, katika Kituo cha kupiga kura cha Ofisi ya Kijiji cha Mwanambaya na kuwataka wananchi kujitokeza kutimiza haki yao ya kimsingi katika maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya utekelezaji wa tukio hilo.

Powered by

JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:
-
📱Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 📱kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.


30/10/2025

: Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Oktoba 29, 2025 ametimiza haki yake ya kikatiba ya kupiga kura katika eneo la Chamwino jijini Dodoma.

Powered by

JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:
-
📱Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 📱kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.


 :Watu wenye ulemavu katika Wilaya ya Tandaimba mkoani Mtwara, wamepewa kipaumbele kupiga kura kumchagua Rais, Wabunge n...
29/10/2025

:Watu wenye ulemavu katika Wilaya ya Tandaimba mkoani Mtwara, wamepewa kipaumbele kupiga kura kumchagua Rais, Wabunge na Madiwani.
Powered by

JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:
-
📱Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 📱kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.


 : Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akishiriki zoezi la kupiga kura ya kuchagua...
29/10/2025

: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akishiriki zoezi la kupiga kura ya kuchagua Rais, Mbunge na Diwani akiwa katika Kijiji cha Kasumo, Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma leo Oktoba 29, 2025.

Powered by

JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:
-
📱Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 📱kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.


29/10/2025

: Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha UPDP Mhe. Twalib Kadege, ametafuta jina lake kwenye vituo 13 vya kupigia kura, japo hakutoa ushirikiano kwa kuzungumza na Vyombo vya Habari, ila taarifa zinaeleza kuwa jina lake limepatikana kituo cha Mabibo Mzambarauni.

Powered by

JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:
-
📱Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 📱kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.


29/10/2025

: Mgombea ubunge wa Jimbo la Uyole kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Tulia Ackson, amezungumza na wanahabari mara baada ya kupiga kura mapema hii leo Oktoba 29, 2025.

Powered by

JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:
-
📱Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 📱kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.


29/10/2025

: Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Hussein Ali Mwinyi na Mama Mariam Mwinyi wamepiga kura katika eneo la Kariakoo Visiwani Zanzibar, kuwachagua viongozi wanaowataka.

Powered by

JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:
-
📱Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 📱kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.


 : Mgombea ubunge Viti Maalumu kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Naibu Waziri Tawala za Mikoa na Serikali za Mi...
29/10/2025

: Mgombea ubunge Viti Maalumu kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Naibu Waziri Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Zainabu Katimba amepiga kura katika kituo cha Shule ya Msingi Kilimahewa Manispaa ya Kigoma Ujiji katika hali ya utulivu na amani.

Akizungumza mara baada ya kupiga kura, Katimba amesema amewataka wapiga kura kujitokeza kwa wingi na kupiga kura katika hali ya usalama.

Mpaka sasa mkoani Kigoma zoezi la kupiga kura linaendelea katika maeneo mbalimbali na kwa usalama na utulivu.

Powered by

JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:
-
📱Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 📱kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.


29/10/2025

UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI ....OKTOBA 29, 2025

29/10/2025

: Kampuni ya ndege ya Mombasa Air Safaris, imethibitisha kuwa raia kumi wa kigeni kutoka Hungary na Ujerumani na Mkenya mmoja ambaye alikuwa Rubani, wamefariki dunia katika ajali ya ndege katika Kaunti ya Kwale, wakati wakiwa safarini kutoka Diani hadi mbuga ya Masai Mara.

Powered by

JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:
-
📱Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 📱kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.


29/10/2025

🔴 : SIKU YA UAMUZI / CAMARA AIINGIZA SIMBA SOKONI -- 29 OKTOBA 2025

29/10/2025

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI ...OKTOBA 29, 2025

Address

Mikocheni
Dar Es Salaam
14111

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ITV Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to ITV Tanzania:

Share