ITV Tanzania

ITV Tanzania ITV- Independent Television Limited (ITV) associate company of IPP Limited. Tel:+255 22 2775914/6
E-mail:[email protected]

Tanzania · http://www.ippmedia.com
(283)

ITV-Independent Television Ltd,
Mikocheni Light Industrial Area
P.O.Box 4374, Dar Es Salaam,
Tanzania.

26/07/2025

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI - JULAI 26, 2025

 : Siku ya mashujaa nchini. Je, Kizazi cha sasa kinawaenzi kwa kulinda amani iliyopo kwa manufaa ya sasa na vizazi vijav...
26/07/2025

: Siku ya mashujaa nchini. Je, Kizazi cha sasa kinawaenzi kwa kulinda amani iliyopo kwa manufaa ya sasa na vizazi vijavyo?

26/07/2025

🔴KUMEKUCHA: NISHATI NA DIRA YA TAIFA 2050....JULAI 26, 2025

26/07/2025

🔴MAGAZETI: UAMUZI MGUMU CCM KUKIFUKUTA.... JULAI 26, 2025

25/07/2025

: Wananchi Kijiji cha Mawelu, Kata ya Kasanga, Wilaya ya Chunya, mkoani Mbeya, ambao hawajawahi kupata huduma ya maji safi na salama tangu dunia iumbwe na kukumbana na adha ya kuamka usiku wa manane kwenda mtoni kutafuta maji na baadhi ya shughuli za kiuchumi kukwama, sasa mradi wa maji katika kijiji hicho uliogharimu zaidi ya milioni mia mbili umemaliza changamoto hiyo.



25/07/2025

: Tume huru ya ya uchaguzi Burundi CENI, imetangaza matokeo ya muda ya uchaguzi wa Wajumbe wa Baraza la Seneti, uliofanyika Julai 23 2025 ambapo matokeo hayo yameonyesha kuwa Chama Tawala CNDD - FDD kimeshinda viti vyote 10 vilivyo kuwa vikigombewa.



25/07/2025

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 25, JULAI 2025

25/07/2025

🔴MCHEZO SUPA...JULAI 25, 2025

25/07/2025

: Wakati hofu ikiendelea kutanda nchini Kenya juu ya wimbi jipya la vifo vya waumini wa mafunzo ya dini potovu, katika eneo la Shakahola Kaunti ya Kilifi, Jeshi la Polisi nchini humo wamepata miili 6 ya waumini wa mafunzo potovu iliyokuwa imezikwa katika makaburi huku wengine 4 wakiokolewa ingawa wamedhoofika kwa kukosa chakula.

Hata hivyo, Mhubiri Paul Mackenzie ambaye yuko gerezani amekanusha kuhusika na vifo hivyo.

Wakati makumi ya familia zikiwatafuta wapendwa wao wanaominika kuwa wafuasi wa kanisa lililofungwa la Good News International linalotuhumiwa kwa kutoa mafunzo potovu yanayowataka waumini wake kufunga hadi kufa ili wauone ufalme wa Mungu.

Wanaharakati wa kupigania haki za kibinadamu wakitishia kuishtaki Serikali mahak**ani kwa kile wanachokitaja k**a kuzembea kwake kuokoa maisha ya watu katika Kijiji cha Bi Nzaro, kaunti ndogo ya Malindi, kaunti ya Kilifi.



RadioOneStereo

25/07/2025

KIPIMAJOTO:DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050. JE, IMEKIDHI MATARAJIO YA WATANZANIA WENGI?

25/07/2025

: Mali ghafi zenye thamani ya mabilioni ya shilingi, zimeteketea kwa moto, katikia kiwanda cha Mamujee, kilichopo eneo la Gofu jijini Tanga, ambapo unaendelea kuwaka kwa zaidi ya muda wa saa 18, hatua iliyosababisha kikosi cha Zimamoto na uokoaji kutumia maji lita zaidi ya 500,000 lakini bado mto hadi jioni hii bado unaendelea.



RadioOneStereo

 :Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Je, imekidhi matarajio ya Watanzania wengi?
25/07/2025

:Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Je, imekidhi matarajio ya Watanzania wengi?

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ITV Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to ITV Tanzania:

Share