Pesa Tu

Pesa Tu Habari zinazozalisha uwekezaji, kutengeneza fedha kwa ajili ya watanzania. Tanzania ya Viwanda!

Viwango vya kubadili fedha leo July 14, 2025 kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania.
14/07/2025

Viwango vya kubadili fedha leo July 14, 2025 kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania.

Benki ya NMB kwa kushirikiana na Soko la Hisa la Dar es Salaam wamezindua rasmi upatikanaji wa huduma ya kununua na kuuz...
10/07/2025

Benki ya NMB kwa kushirikiana na Soko la Hisa la Dar es Salaam wamezindua rasmi upatikanaji wa huduma ya kununua na kuuza Hisa za Makampuni mbalimbali yaliyoorodheshwa kwenye soko la hisa la Dar es Salaam, kupitia NMB Mkononi.

Taarifa ya NMB inasema kupitia NMB Mkononi, mteja ataweza kujisajili, kununua hisa, kuuza hisa na kuangalia mwenendo wa soko.

Uzinduzi huo umefanyika mbele ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji - Prof. Kitila Alexander Mkumbo, aliyeongozana na Afisa Mtendaji Mkuu wetu Ruth Zaipuna pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) Peter Situmbeko Nalitolela.



Viwango vya kubadili fedha leo July 04, 2025 kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania.                                       ...
04/07/2025

Viwango vya kubadili fedha leo July 04, 2025 kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania.

Tunakutakia Sikukuu njema ya Eid Al-Adha
07/06/2025

Tunakutakia Sikukuu njema ya Eid Al-Adha

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Pesa Tu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Pesa Tu:

Share