
04/09/2025
Kampuni za Ericsson, Siemens za sweden kuongeza uwekezaji Tanzania
https://pesatu.com/viwanda/nishati/kampuni-za-ericsson-siemens-za-sweden-kuongeza-uwekezaji-tanzania/
Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mobhare Matinyi, amefanya ziara katika makao makuu ya kampuni za Ericsson na Siemens Energy za Sweden.