15/01/2026
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amezitaka wizara zinazohusika na ajira kusimamia kikamilifu sheria zinazozuia wageni kufanya kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania.
Dkt. Nchemba amesema hayo wakati wa kikao cha viongozi wa wizara za kisekta kuhusu ajira, Dkt. Nchemba amesema wageni wanapaswa kufanya kazi za kitaalamu pekee ambazo nchi ina uhaba wa wataalam.
Mhariri