10/06/2026
MATUKIO KATIKA PICHA: Mkurugenzi wetu wa Jugo Media Network ndugu Ibrahim Gores akishiriki Kikao Maalum na Muhimu Katika Ubalozi wa Vatican Mapema Leo Jumatano 10 June 2026 katika Ofisi ya Ubalozi huo iliyopo Oysterbay Dar es Salaam.
Kikao hicho ni Mwaliko Kutoka kwa Mkurugenzi wa Idara ya Theorojia ya Kurugenzi ya Mawasiliano Kutoka Vatican (Theorogical Director of the Dicastery for Communication at the Vatican) kwa ajili ya Kujadiliana kuhusu Mambo mbalimbali yanayohusu Media ndani ya Kanisa pamoja na kupeana Fursa mbalimbali zinazoandaliwa na Vatican.
Tunatoa Shukrani kwa Kurugenzi ya Mawasiliano TEC kwa kuendelea kushirikiana nasi katika Uinjilishaji kupitia Vyombo vya habari.