JUGO MEDIA

JUGO MEDIA Every moment matters

17/01/2026

Mwenyekiti wa WAWATA Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Mama Stella Rwegasira akiongea na Mamia ya WAWATA Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam waliofika katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Shukrani ya WAWATA wa Jimbo hilo.
Misa Takatifu ya Shukrani ya WAWATA Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam. Misa imeadhimishwa katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu Posta Dar es Salaam na Mhashamu Henry Mchamungu, Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.

Sambamba na Adhimisho hilo, WAWATA Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam wametoa Matoleo yao katika kituo cha kulelea watoto wenye mazingira magumu Msimbazi Center Jimboni humo, ikiwa ni Ishara ya Shukrani kwa Mwenyezi Mungu kwa makuu anayowajaalia katika Utume wao.
:
:



www.jugomedia.net

17/01/2026

AKAWANYESHEA MANA - Na Deo Ng'atigwa | Kwaya ya WAWATA Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.
Misa Takatifu ya Shukrani ya WAWATA Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam. Misa imeadhimishwa katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu Posta Dar es Salaam na Mhashamu Henry Mchamungu, Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.

Sambamba na Adhimisho hilo, WAWATA Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam wametoa Matoleo yao katika kituo cha kulelea watoto wenye mazingira magumu Msimbazi Center Jimboni humo, ikiwa ni Ishara ya Shukrani kwa Mwenyezi Mungu kwa makuu anayowajaalia katika Utume wao.
:
:



www.jugomedia.net

17/01/2026

Mhashamu Henry Mchamungu, Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, amewapongeza WAWATA Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam kwa mchango wao mkubwa katika kuwezesha uenezaji wa Habari njema.
Misa Takatifu ya Shukrani ya WAWATA Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam. Misa imeadhimishwa katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu Posta Dar es Salaam na Mhashamu Henry Mchamungu, Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.

Sambamba na Adhimisho hilo, WAWATA Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam wametoa Matoleo yao katika kituo cha kulelea watoto wenye mazingira magumu Msimbazi Center Jimboni humo, ikiwa ni Ishara ya Shukrani kwa Mwenyezi Mungu kwa makuu anayowajaalia katika Utume wao.
:
:



www.jugomedia.net

17/01/2026

POKEENI BARAKA ZA MWENYEZI MUNGU NA ZIKAE NANYI MAISHANI MWENU SASA NA DAIMA.
Misa Takatifu ya Shukrani ya WAWATA Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam. Misa imeadhimishwa katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu Posta Dar es Salaam na Mhashamu Henry Mchamungu, Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.

Sambamba na Adhimisho hilo, WAWATA Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam wametoa Matoleo yao katika kituo cha kulelea watoto wenye mazingira magumu Msimbazi Center Jimboni humo, ikiwa ni Ishara ya Shukrani kwa Mwenyezi Mungu kwa makuu anayowajaalia katika Utume wao.
:
:



www.jugomedia.net

17/01/2026

"Akina Mama mnapokutana punguzeni Umbea,ongeeni juu ya Malezi ya Watoto." - Padre Denis Wigira | Paroko wa Kanisa Kuu la Mt. Yosefu, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.
Misa Takatifu ya Shukrani ya WAWATA Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam. Misa imeadhimishwa katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu Posta Dar es Salaam na Mhashamu Henry Mchamungu, Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.

Sambamba na Adhimisho hilo, WAWATA Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam wametoa Matoleo yao katika kituo cha kulelea watoto wenye mazingira magumu Msimbazi Center Jimboni humo, ikiwa ni Ishara ya Shukrani kwa Mwenyezi Mungu kwa makuu anayowajaalia katika Utume wao.
:
:



www.jugomedia.net

17/01/2026

WAWATA Jimbo Kuu la Dar es Salaam Wafanya Matendo ya Huruma kwa kutembelea kituo cha Watoto Yatima kilichopo Msimbazi Center na kutoa Baadhi ya Mahitaji muhimu.

Hayo yamefanyika mara baada ya Kuadhimisha
Misa Takatifu ya Shukrani kwa kumaliza salama mwaka 2025 na kuomba Neema na Baraka ya Mwaka Mpya 2026.
Mada na Misa hiyo imefanyika katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu Jimbo Kuu la Dar es Salaam na kuongozwa na Mhashamu Henry Mchamungu, Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam leo Jumamosi 17 January 2026.

www.jugomedia.net

17/01/2026

Ni moja ni moja Jana ni moja leo, ni moja Asili yake ni Yesu Kristo ........

Mada na Misa Takatifu ya Shukrani ya WAWATA kwa kumaliza salama mwaka 2025 na kuomba Neema na Baraka ya Mwaka Mpya 2026.
Mada na Misa hiyo imefanyika katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu Jimbo Kuu la Dar es Salaam na kuongozwa na Mhashamu Henry Mchamungu, Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam leo Jumamosi 17 January 2026.

www.jugomedia.net

17/01/2026

Ninayo Kila Sababu ya Kumshukuru Mungu, ninayo sababu ya kumwambia Mungu Asante.

Mada na Misa Takatifu ya Shukrani ya WAWATA kwa kumaliza salama mwaka 2025 na kuomba Neema na Baraka ya Mwaka Mpya 2026.
Mada na Misa hiyo imefanyika katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu Jimbo Kuu la Dar es Salaam na kuongozwa na Mhashamu Henry Mchamungu, Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam leo Jumamosi 17 January 2026.

www.jugomedia.net

17/01/2026

Tupeleke Vipaji Madhabahuni mwa Bwana, Akina Mama wafurika mbele ya Altare
Mada na Misa Takatifu ya Shukrani ya WAWATA kwa kumaliza salama mwaka 2025 na kuomba Neema na Baraka ya Mwaka Mpya 2026.
Mada na Misa hiyo imefanyika katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu Jimbo Kuu la Dar es Salaam na kuongozwa na Mhashamu Henry Mchamungu, Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam leo Jumamosi 17 January 2026.

www.jugomedia.net

17/01/2026

Hiki Kidogo Kikakuoendeze, ni matoleo ya wana wako.

Mada na Misa Takatifu ya Shukrani ya WAWATA kwa kumaliza salama mwaka 2025 na kuomba Neema na Baraka ya Mwaka Mpya 2026.
Mada na Misa hiyo imefanyika katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu Jimbo Kuu la Dar es Salaam na kuongozwa na Mhashamu Henry Mchamungu, Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam leo Jumamosi 17 January 2026.

www.jugomedia.net

17/01/2026

Leteni Ndama walionona Madhabuni kwa Bwana, toeni bila ya kinyongo ndipo mtabarikiwa naye.

Watiribu wetu wa Leo walikuwa Hawa. MATUKIO KATIKA PICHA: Mada na Misa Takatifu ya Shukrani ya WAWATA kwa kumaliza salam...
17/01/2026

Watiribu wetu wa Leo walikuwa Hawa.
MATUKIO KATIKA PICHA: Mada na Misa Takatifu ya Shukrani ya WAWATA kwa kumaliza salama mwaka 2025 na kuomba Neema na Baraka ya Mwaka Mpya 2026.
Mada na Misa hiyo imefanyika katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu Jimbo Kuu la Dar es Salaam na kuongozwa na Mhashamu Henry Mchamungu, Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam leo Jumamosi 17 January 2026.

www.jugomedia.net

Address

St. Joseph's Cathedral, Sokoine Drive
Dar Es Salaam
11104

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255757560764

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JUGO MEDIA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to JUGO MEDIA:

Share