JUGO MEDIA

JUGO MEDIA Injili Kiganjani Mwako

MATUKIO KATIKA PICHA: Mkurugenzi wetu wa Jugo Media Network ndugu Ibrahim Gores  akishiriki Kikao Maalum na Muhimu Katik...
10/06/2026

MATUKIO KATIKA PICHA: Mkurugenzi wetu wa Jugo Media Network ndugu Ibrahim Gores akishiriki Kikao Maalum na Muhimu Katika Ubalozi wa Vatican Mapema Leo Jumatano 10 June 2026 katika Ofisi ya Ubalozi huo iliyopo Oysterbay Dar es Salaam.

Kikao hicho ni Mwaliko Kutoka kwa Mkurugenzi wa Idara ya Theorojia ya Kurugenzi ya Mawasiliano Kutoka Vatican (Theorogical Director of the Dicastery for Communication at the Vatican) kwa ajili ya Kujadiliana kuhusu Mambo mbalimbali yanayohusu Media ndani ya Kanisa pamoja na kupeana Fursa mbalimbali zinazoandaliwa na Vatican.

Tunatoa Shukrani kwa Kurugenzi ya Mawasiliano TEC kwa kuendelea kushirikiana nasi katika Uinjilishaji kupitia Vyombo vya habari.

09/06/2026

"Daima tumtegemee Mungu anayetoa vitu; Tusitegemee vitu ambavyo vina mwisho."
Misa Takatifu (Misa za Kila siku) Jumanne ya 10 ya Mwaka | Parokia ya Mt. Petro Oysrer Bay Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.
:
:



www.jugomedia.net

09/06/2026

TAFAKARI YA LEO:
Misa Takatifu (Misa za Kila siku) Jumanne ya 10 ya Mwaka | Parokia ya Mt. Petro Oysrer Bay Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.
:
:



www.jugomedia.net

09/06/2026

SOMO LA KWANZA:
Misa Takatifu (Misa za Kila siku) Jumanne ya 10 ya Mwaka | Parokia ya Mt. Petro Oysrer Bay Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.
:
:



www.jugomedia.net

09/06/2026

"NAMUUNGAMIA MUNGU MWENYEZI..."
Misa Takatifu (Misa za Kila siku) Jumanne ya 10 ya Mwaka | Parokia ya Mt. Petro Oysrer Bay Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.
:
:



www.jugomedia.net

09/06/2026

INJILI:
Misa Takatifu (Misa za Kila siku) Jumanne ya 10 ya Mwaka | Parokia ya Mt. Petro Oysrer Bay Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.
:
:



www.jugomedia.net

09/06/2026

Usikose kutazama kazi hii mpya kutoka kwa Wanakwaya wa Kwaya ya Mt. Don Bosco, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)

WIMBO: Yesu Mwema Njoo Kwangu
MTUNZI: Joseph Makoye (R.I.P)

Wimbo huu utapatikana katika Chaneli ya Tanzania Organist Society (TOS) & Jugo Media siku ya Alhamisi ya Tarehe 11/06/2026.
:
:



www.jugomedia.net

09/06/2026

SHIRIKA LA WAMISIONARI WA DAMU AZIZI YA YESU KANDA YA TANZANIA, KUELEKEA MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA UTUME WAMEANDAA KONGAMANO LA DAMU TAKATIFU YA YESU LITAKALOFANYIKA TAREHE 15 - 21 JUNE, 2026 KUANZIA SAA 8:00 MCHANA - 12:00 JIONI KATIKA KANISA LA HIJA LA MT. GASPAR MBEZI BEACH, JIMBO KUU LA DAR ES SALAAM.
;
Katika Kongamano hilo Mada mbalimbali zitatolewa
-Kilio cha Damu Katika Agano la Kale
-Kilio cha Damu Katika Agano Jipya
-Kilio cha Damu Katika Familia
- Mwenyeheri Yohane Merin na Kilio cha Damu

Mada hizo zitatolewa na
- Padre Chrisogon Vulstan C.PPS, wa Jimbo Kuu la Dodoma
- Padre Abel Misanga C.PPS, wa Jimbo Kuu la Dodoma
- Padre Evarist Lafio, wa Jimbo Kuu la DSM
- Padre Bonaventure Mushi, wa Jimbo Kuu la DSM

NYOTE MNAKARIBISHWA



www.jugomedia.net

09/06/2026

WAKRISTO WOTE LEO TUTOE HESHIMA | UKWAKATA Parokia ya Bikira Maria Imakulata Upanga, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam
Misa Takatifu, Sherehe ya Mwili na damu ya Bwana Wetu Yesu Kristo (Ekaristi Takatifu) | Parokia ya Bikira Maria Imakulata Upanga, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.
:
:



www.jugomedia.net

Address

St. Joseph's Cathedral, Sokoine Drive
Dar Es Salaam
11104

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255757560764

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JUGO MEDIA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to JUGO MEDIA:

Share