JUGO MEDIA

JUGO MEDIA Every moment matters

MAVUNO JIMBO KATOLIKI BAGAMOYO 22/11/2025.Matukio ya Picha Sherehe za Mavuno Jimbo Katoliki la Bagamoyo.Ikiwa ni mara ya...
28/11/2025

MAVUNO JIMBO KATOLIKI BAGAMOYO 22/11/2025.
Matukio ya Picha Sherehe za Mavuno Jimbo Katoliki la Bagamoyo.
Ikiwa ni mara ya kwanza kufanya Sherehe hizo angali bado ni Jimbo Jipya linaloongozwa na Askofu Stephano Lameck Musomba OSA kwa ushirikiano mkubwa Waamini wa Jimbo hilo wamejitoa sana kulitegemeza Jimbo lao lenye Dekania Tano tu.

Majumuisho ya Mavuno yamesomwa na Padre Edward Sabbas, Msaidizi wa Askofu Jimbo Katoliki Bagamoyo amewasilisha k**a Ifuatavyo:
1,083,830,000 - Kila Parokia
26,991,000 - Vyama vya Kitume
4,060,000 - Taasisi na Mashirika
1,120,970,000 - JUMLA KUU




www.jugomedia.net

Tunakimbilia - ulinzi wako, Mzazi Mtakatifu wa MunguUsitunyime tukiomba katika shida zetuUtuopoe siku zote kila tuingiap...
28/11/2025

Tunakimbilia - ulinzi wako, Mzazi Mtakatifu wa Mungu
Usitunyime tukiomba katika shida zetu
Utuopoe siku zote kila tuingiapo hatarini
Ewe Bikira mtukufu uliye Barakiwa.

27/11/2025

"Asingekuwa Mama yangu Mzazi nahisi ningeharibikiwa kimasomo na katika Utume wa Uimbaji." - Beatrice Gwitaba | Solo Artist & Mwimbaji wa Kwaya Katoliki Tanzania.
Tembelea Chaneli yetu ya Jugo Media, Injili Kigajani Mwako ili uweze kutazama Mahojiano haya yote katika ukamilifu wake. Ni Katika Kipindi cha Maisha na Muziki (S09EP05).

Host:
:
:




www.jugomedia.net

27/11/2025

YESU ASANTE SANA - Na. Stanslaus Mujwahuki (R.I.P) | Kwaya ya Kigango cha Mt. Maria Magdalena, Kifuru Ikwiriri - Pwani, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.
Misa Takatifu ya Uwekaji Jiwe la Msingi katika Kanisa la Kigango cha Mt. Maria Magdalena Kifuru Ikwiriri - Pwani, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salalam. Kanisa ambalo linajengwa na kusimamiwa na WAWATA Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam. Misa iliadhimishwa na Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.
:
:



www.jugomedia.net

27/11/2025

VIPAJI HIVI NI K**A DHABIHU - Na. Charles Saasita (R.I.P) | Kwaya ya Kigango cha Mt. Maria Magdalena, Kifuru Ikwiriri - Pwani, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.
Misa Takatifu ya Uwekaji Jiwe la Msingi katika Kanisa la Kigango cha Mt. Maria Magdalena Kifuru Ikwiriri - Pwani, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salalam. Kanisa ambalo linajengwa na kusimamiwa na WAWATA Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam. Misa iliadhimishwa na Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.
:
:



www.jugomedia.net

27/11/2025

UTUKUFU - (Misa ya IX) - Na. F.A. Nyundo | Kwaya ya Kigango cha Mt. Maria Magdalena, Kifuru Ikwiriri - Pwani, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.
Misa Takatifu ya Uwekaji Jiwe la Msingi katika Kanisa la Kigango cha Mt. Maria Magdalena Kifuru Ikwiriri - Pwani, Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salalam. Kanisa ambalo linajengwa na kusimamiwa na WAWATA Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam. Misa iliadhimishwa na Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam.
:
:



www.jugomedia.net

Address

St. Joseph's Cathedral, Sokoine Drive
Dar Es Salaam
11104

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255757560764

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JUGO MEDIA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to JUGO MEDIA:

Share