28/11/2025
MAVUNO JIMBO KATOLIKI BAGAMOYO 22/11/2025.
Matukio ya Picha Sherehe za Mavuno Jimbo Katoliki la Bagamoyo.
Ikiwa ni mara ya kwanza kufanya Sherehe hizo angali bado ni Jimbo Jipya linaloongozwa na Askofu Stephano Lameck Musomba OSA kwa ushirikiano mkubwa Waamini wa Jimbo hilo wamejitoa sana kulitegemeza Jimbo lao lenye Dekania Tano tu.
Majumuisho ya Mavuno yamesomwa na Padre Edward Sabbas, Msaidizi wa Askofu Jimbo Katoliki Bagamoyo amewasilisha k**a Ifuatavyo:
1,083,830,000 - Kila Parokia
26,991,000 - Vyama vya Kitume
4,060,000 - Taasisi na Mashirika
1,120,970,000 - JUMLA KUU
www.jugomedia.net