JUGO MEDIA

JUGO MEDIA Every moment matters

09/10/2025

Askofu Henry Mchamungu anatukaribisha, Ni Kesho

Tiketi Mlangoni.

Bei za Tiketi:
Normal: Tshs. 20,000/=
VIP: Tshs. 50,000/=
VVIP: Tshs. 100,000/=

Mahali: Cardinal Rugambwa Social Center, Oysterbay
Muda: 11:00 Jioni - 04:00 Usiku
Tarehe: 10, Oktoba. 2025 Ijumaa.

Mawasiliano: +255 766 057 022 - Daniel Ling'wentu | Msimamizi wa Marian Concert
+255786612569 - Hilda Leba | Katibu Msaidizi WAWATA DSM

    Hiyo siku ni Kesho Tutamsifu Mama Maria  kwa Vipaji na Talanta alizotujalia Mwenyezi Mungu.Jipatie Tiketi yako Mapem...
09/10/2025



Hiyo siku ni Kesho Tutamsifu Mama Maria kwa Vipaji na Talanta alizotujalia Mwenyezi Mungu.

Jipatie Tiketi yako Mapema.

Bei za Tiketi:
Normal: Tshs. 20,000/=
VIP: Tshs. 50,000/=
VVIP: Tshs. 100,000/=

Mahali: Cardinal Rugambwa Social Center, Oysterbay
Muda: 11:00 Jioni - 04:00 Usiku
Tarehe: 10, Oktoba. 2025 Ijumaa.

Mawasiliano: +255 766 057 022 - Daniel Ling'wentu | Msimamizi wa Marian Concert
+255786612569 - Hilda Leba | Katibu Msaidizi WAWATA DSM

     Kama hujawahi sikia Vocal ya huyu Dada basi usipange kuhadithiwa kusikia, fika kushuhudia. Hiyo siku Tutamsifu Mama...
09/10/2025


Kama hujawahi sikia Vocal ya huyu Dada basi usipange kuhadithiwa kusikia, fika kushuhudia.
Hiyo siku Tutamsifu Mama Maria kwa Vipaji na Talanta alizotujalia Mwenyezi Mungu.

Jipatie Tiketi yako Mapema.

Bei za Tiketi:
Normal: Tshs. 20,000/=
VIP: Tshs. 50,000/=
VVIP: Tshs. 100,000/=

Mahali: Cardinal Rugambwa Social Center, Oysterbay
Muda: 11:00 Jioni - 04:00 Usiku
Tarehe: 10, Oktoba. 2025 Ijumaa.

Mawasiliano: +255 766 057 022 - Daniel Ling'wentu | Msimamizi wa Marian Concert
+255786612569 - Hilda Leba | Katibu Msaidizi WAWATA DSM

      Hiyo siku Tutamsifu Mama Maria  kwa Vipaji na Talanta alizotujalia Mwenyezi Mungu.Jipatie Tiketi yako Mapema.Bei z...
08/10/2025


Hiyo siku Tutamsifu Mama Maria kwa Vipaji na Talanta alizotujalia Mwenyezi Mungu.

Jipatie Tiketi yako Mapema.

Bei za Tiketi:
Normal: Tshs. 20,000/=
VIP: Tshs. 50,000/=
VVIP: Tshs. 100,000/=

Mahali: Cardinal Rugambwa Social Center, Oysterbay
Muda: 11:00 Jioni - 04:00 Usiku
Tarehe: 10, Oktoba. 2025 Ijumaa.

Mawasiliano: +255 766 057 022 - Daniel Ling'wentu | Msimamizi wa Marian Concert
+255786612569 - Hilda Leba | Katibu Msaidizi WAWATA DSM

05/10/2025

IJUMAA HII TAR. 10/10/2025 HII SI YA KUKOSA, NJOONI TUMSIFU MAMA MARIA KATIKA MATUMAINI.

Jipatie Tiketi yako Mapema.

Bei za Tiketi:
Normal: Tshs. 20,000/=
VIP: Tshs. 50,000/=
VVIP: Tshs. 100,000/=

Mahali: Cardinal Rugambwa Social Center, Oysterbay
Muda: 11:00 Jioni - 04:00 Usiku
Tarehe: 10, Oktoba. 2025 Ijumaa.

Mawasiliano: +255 766 057 022 - Daniel Ling'wentu | Msimamizi wa Marian Concert
+255786612569 - Hilda Leba | Katibu Msaidizi WAWATA DSM

      Hawa mnawajua Wanaitwa Mt. Secilia - Makuburi.Hili ndilo Kanisa Moja, Takatifu, Katoliki la Mitume. Ni moja jana, ...
05/10/2025


Hawa mnawajua Wanaitwa Mt. Secilia - Makuburi.
Hili ndilo Kanisa Moja, Takatifu, Katoliki la Mitume. Ni moja jana, ni moja leo, ni moja asili yake ni Yesu Kristo. Ibada Moja, sheria moja, mapokeo yale yale; limeenea pande zote, Ulimwengu mzima. Usikose Tar. 10/10/2025 katika Ukumbi wa Kardinali Rugambwa, Oysterbay; Tutajivunia kuwa Wakatoliki, Tukimsifu Mama Maria katika Matumaini.

Jipatie Tiketi yako Mapema.

Bei za Tiketi:
Normal: Tshs. 20,000/=
VIP: Tshs. 50,000/=
VVIP: Tshs. 100,000/=

Mahali: Cardinal Rugambwa Social Center, Oysterbay
Muda: 11:00 Jioni - 04:00 Usiku
Tarehe: 10, Oktoba. 2025 Ijumaa.

Mawasiliano: +255 766 057 022 - Daniel Ling'wentu | Msimamizi wa Marian Concert
+255786612569 - Hilda Leba | Katibu Msaidizi WAWATA DSM

Matukio katika Picha Ufunguzi wa Mwezi wa Rozari Takatifu, Shirikisho la Vyama vya Kitume vya Kimaria vimeungana pamoja ...
04/10/2025

Matukio katika Picha Ufunguzi wa Mwezi wa Rozari Takatifu, Shirikisho la Vyama vya Kitume vya Kimaria vimeungana pamoja kwa Maandamano kutokea Parokia ya Mashahidi wa Uganda, Magomeni mpaka Kanisa la Hija la Parokia ya Bikira Maria Mama wa Fatima, Msimbazi Center Jimbo Kuu la Dar es Salaam.
Vyama hivyo ni; Utume wa Fatima, Legio Maria, Shujaa wa Imaculatha, Mama wa Mataifa yote, Rozari Hai na Chama cha Mt. Anna.

Tukiwa mwezi Oktoba, Mwezi wa Rozari Takatifu sote tunaalikwa kusali Rozari Takatifu kuombea Amani nchi yetu ya Tanzania na Ulimwengu mzima.
"Sisi wana wa Dunia tukumbuke Maneno aliyosema Bikira Maria, alipowatokea Watoto wa Fatima, Alisema tusali Rozari,tupate na Amani."

Address

St. Joseph's Cathedral, Sokoine Drive
Dar Es Salaam
11104

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255757560764

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JUGO MEDIA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to JUGO MEDIA:

Share