28/08/2024
Siku mkiona natumia GOOGLE PIXEL Tafadhali nik**ateni nipelekeni polisi.. hizi sio simu ni ugonjwa wa moyo. K**a unatumia na haijakusumbua heri yako.
Hizi simu hazina tofauti na wanaotumia Dualis, kila kukicha zinaungua barabarani haimaanishi hakuna aliyeitumia mpaka zikachakaa..
k**a umenitafuta kwa wiki mbili hujanitapata tafadhali tuwasiliane muda huu..