Fanani MPOLE

Fanani MPOLE kurasa ya hadithi za kusisimua njoo usome uburudike

28/08/2024

Siku mkiona natumia GOOGLE PIXEL Tafadhali nik**ateni nipelekeni polisi.. hizi sio simu ni ugonjwa wa moyo. K**a unatumia na haijakusumbua heri yako.

Hizi simu hazina tofauti na wanaotumia Dualis, kila kukicha zinaungua barabarani haimaanishi hakuna aliyeitumia mpaka zikachakaa..

k**a umenitafuta kwa wiki mbili hujanitapata tafadhali tuwasiliane muda huu..

Watu watakupenda, watakusaidia k**a kuna faida wataipata kwako; kwako ndio hivyo ilivyo dunia ya sasa. sio kila mtu atak...
24/08/2024

Watu watakupenda, watakusaidia k**a kuna faida wataipata kwako; kwako ndio hivyo ilivyo dunia ya sasa. sio kila mtu atakuwa hivyo lakini, ukipata mmoja katika elfu mmoja mlinde na umuombee aishi zaidi.

unaweza ukawa na idadi kubwa ya watu unaowafahamu lakini ukiwa na tatizo dogo ukabaki peke yako.

16/08/2024

Unahitaji kusikiliza hadithi za kusisimua zaidi za kweli na za kubuni? Channel hii ya Youtube ni kwa ajili yako
Bonyeza kiungo hiki https://youtube.com/ kisha utakutana na simulizi k**a
Lupita
Niliongea na shetani ili niwe tajiri
Hatma
Dubwasha

Stallone Joyfully
0654846084

Unapenda kusikiliza simulizi za sauti? Karibu kwneYbe Channel ya fanani mpole
24/12/2019

Unapenda kusikiliza simulizi za sauti? Karibu kwneYbe Channel ya fanani mpole

Hii ni ya maisha ya dada k**a Ilivyoandikwa na na kusimuliwa na Nyanzala. Ukihitaji kumpata George Iron Mosenya ...

01 October, 2019 kitabu kitakuwa tayari. Hiki ni kitabu cha kipekee mno kinachoelezea visa na mikasa aliyokutana nayo Ro...
14/09/2019

01 October, 2019 kitabu kitakuwa tayari.

Hiki ni kitabu cha kipekee mno kinachoelezea visa na mikasa aliyokutana nayo Rozary baada ya kuingia katika penzi la Nicholaus.

Weka Tsh 10,000 kibindoni kikitoka usipitwe na nakala 50 zitakazoanza kutoka k**a ofa. Kitabu changu cha kwanza chenye kurasa 200, ajabu mno

+255 654 846 084
Fananimpole Media
The Author

Vitu vyote aliviona k**a mkanda wa filamu na yeye alikuwa muhusika katika kipande chote cha utengenezaji wa filamu hiyo....
06/09/2019

Vitu vyote aliviona k**a mkanda wa filamu na yeye alikuwa muhusika katika kipande chote cha utengenezaji wa filamu hiyo.
Aliushusha mwili, na kuingia shimoni kuongeza kidogo urefu wa shimo kwa chepeo. Aliporidhika alitupa chepeo lile juu, kisha alipanda kuufuata mwili ule ambao alikuja nao.
Alipousogelea ule mwili na kuiona sura ya maiti yale, alish*tuka.
Sura ya mwili ule uliopoteza uhai, ilikuwa ikifanana sawa sawia na sura yake mweyewe. Ilikuwa ni sambamba na sura ya mkoloni katika sarafu ya fedha ya kwanza ya Tanganyika iliyolingana na sarafu ya pili.
Wakati ambao akiendelea kubaki katika mastaajabu hayo akiutazama mwili ule, kwa muda ule ule, uso ule ulitabasamu.
Ni hapo wakati huo uso ule ulipokuwa ukitabasamu, macho ya uso ule yalitoa machozi. Machozi yaliyofanana na uji uji mzito wa damu.

PRESS YOU ARE ORDER +255 654 846 084
[email protected]

BIG ANNOUNCEMENT Tarehe 1 October, kitatoka rasmi. Popote ulipo kitakufikia. Press your order +255 654 846 084
03/09/2019

BIG ANNOUNCEMENT

Tarehe 1 October, kitatoka rasmi. Popote ulipo kitakufikia.

Press your order +255 654 846 084

AMEEN KASHMIRI, MWANAJESHI MZALENDO WA TANZANIA ALIYEPITIA MENGI .Historia ya Tanzania ina mengi na ina wengi ambao hawa...
18/08/2019

AMEEN KASHMIRI, MWANAJESHI MZALENDO WA TANZANIA ALIYEPITIA MENGI .
Historia ya Tanzania ina mengi na ina wengi ambao hawajazungumzwa, kiasi ambacho kuna mambo yakizungumzwa basi yanaweza kukusisimua na kukufanya ujisikie fahari sana kuwa Mtanzania.

Leo tunamzungumza Mzee wetu Mashuhuri Ameen Kashmiri. Askari Mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ambaye historia ya maisha yake inatupa mafunzo na kutufahamisha mengi sana ambayo hatukuwa tukiyajua.

Ameen Kashmiri alizaliwa tarehe 31 mwezi Oktoba mwaka 1935 huko Mjini Tabora wakati huo kukijulikana k**a Jimbo la Magharibi, sehemu kubwa ya maisha yake ya utotoni ameyatumia huko wakati Baba yake ambaye alikuwa Mfanyakazi wa Shirika la Reli la Tanganyika alipokuwa kwenye Tawi hilo la Tabora.

Maisha ya Wafanyakazi wa wakati huo yalikuwa ya kuhamahama sana jambo ambalo lilimfanya Mzee Kashmiri asikae sana Tabora. Alihamishiwa Mkoani Dodoma, kisha Dar es salaam ambako nako hakukaa sana kabla ya kuhamishiwa Jimboni Tanga ambako ndipo sehemu alitumia sehemu kubwa ya maisha yake na ndipo Elimu na Mafunzo ya Mwanawe Ameen yalipopatikana.

Mwaka 1956 Bwana Ameen Kashmiri alihitimu Elimu yake ya Upili (Sekondari) katika Shule maarufu Jijini Tanga iliyojulikana kwa jina la Shule ya Karimjee (Sasa hivi ikijulikana k**a Shule ya Sekondari Usagara), ambapo kwa wakati wake alikuwa mmoja wa wanafunzi wenye uelewa mkubwa sana.

Tokea Shuleni yeye na baadhi ya Wenzake walivutiwa sana na habari na masimulizi ya Ushujaa, Ujasiri ya kusisimua ya wazee wengi wa Tanga ambao walikuwa Sehemu ya Jeshi la Wakoloni wa Kiingereza lililokwenda Burma na Somalia wakati ule wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia, na hivyo kuwafanya wavutiwe sana na wawe na wito wa kuwa maaskari Jeshi.

Mara tu alipomaliza Shule alifanya jitihada mbalimbali za kuomba kujiunga na Jeshi lakini mara zote alikataliwa. Pamoja na kuwa alionekana mweupe kwa rangi tofauti na Watanganyika wengine lakini bado alibaguliwa na Maofisa wa Kikoloni

>>ITAENDELEA

Address

Temeke
Dar Es Salaam

Telephone

+255654846084

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Fanani MPOLE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Fanani MPOLE:

Share

Category