Mk Mutalemwa

Mk Mutalemwa Graphics Designer na Mtayarishaji wa maudhui ya maisha halisi katika Maisha ya Kila siku.
❤️UPENDO, ✅UKWELI, 🤝UTU.

19/09/2025

“WANAWEZA KUNITESA, KUNIPIGA, KUNIVUNJA MIFUPA YANGU NA HATA KUCHUKUA UHAI WANGU, LAKINI HAWAWEZI KUCHUKUA MAPENZI YANGU KWA TAIFA HILI. DAMU YANGU IKIMWAGIKA, ITAANGUKA ARDHINI IKIWA MBEGU YA UHURU, HAKI NA UZALENDO.

SIKILIZENI WATANZANIA WENZANGU — SIKU MOJA JINA LANGU LITAANDIKWA KATIKA HISTORIA YA TAIFA, K**A KIJANA ALIYELIPENDA NA KULIPIGANIA KWA MOYO WOTE.

TAREHE 29 OKTOBA 2025 ISIMAME K**A SIKU YA VIJANA VIONGOZI WAZALENDO, SIKU YA KUAPA KUWA MASLAHI YA TAIFA LETU HAYATASALITIWA NA MASLAHI YA VIKUNDI BINAFSI.

NA K**A NITANGUKA, NITANGUKA NIKIWA NIMESIMAMA NA TAIFA LANGU. MWILI WANGU UTAISHA, LAKINI SAUTI YANGU ITABAKIA MILELE IKIPIGA YOWE KIJANA MWENYE KUPENDA AMANI ATAILINDA NA KUIFIA KWA FAIDA YA TAIFA NA YAKE MWENYEWE SIO KWA FAIDA YA MTU AU KIONGOZI BINAFSI 😍:

TAIFA LETU KWANZA, TAIFA LETU DAIMA!”

15/09/2025

HII IMENIUMA SANA KUMPIGA KICHWANI NI SAWA KUTAKA KUMUONDOA DUNIANI IMENIUMA SANA POLISI NI WATANZANIA ANAEPIGWA NI MTANZANIA MUNGU WETU NI MMOJA 😭

15/09/2025

HII IMENIUMA SANA KUMPIGA KICHWANI NI SAWA KUTAKA KUMUONDOA DUNIANI IMENIUMA SANA POLISI NI WATANZANIA ANAEPIGWA NI MTANZANIA MUNGU WETU NI MMOJA 😭

08/09/2025

SIMBA KUSUSIA DERBY/ KUGOMA KUFIKA UWANJANI NI KITENDO CHA KISHUJAA KWA WAPENZI WA MPIRA WA MIGUU.


🇹🇿

07/09/2025

A DAY WITH SINGLE MOTHERS TUKUTANE TAR 18-04-2025 PSSSF TOWER MWENGE..WOTE MNAKARIBISHWA.
🇹🇿 🇰🇪 #

06/09/2025

Thamani ya Mtu Si Mali Yake
✨ “Maisha hutufundisha kuwa mtu akionekana hana mchango wowote kwako, unaweza kuishi bila yeye. Lakini pale unapoanza kuhitaji pesa yake au kitu chake na siyo yeye, tambua kuwa huyo mtu ndiye alikuwa muhimu sana.
Heshima na upendo havipimwi kwa mali au vitu mtu alivyo navyo, bali kwa namna unavyothamini uwepo wake hata akiwa hana cha kutoa.
Mtu akikuonyesha moyo wake, usiupime kwa mfuko wake.” 🌍

OUTFITS NA SALAMBA Products

06/09/2025

MWALIKO KWA WAMAMA WOTE TANZANIA.
Kwa mawasiliano au kujiunga, tafadhali wasiliana na:
[+255 768514796] Gusa Link 👉 https://chat.whatsapp.com/FlbGt6KNBnF8OpsNyPQtkX

Habari Mama Mpambanaji,

Napenda kukukaribisha kwa moyo mkunjufu katika kundi letu jipya lenye malengo makubwa ya kuunganisha wamama wote wanaolea watoto peke yao (single mothers) kutoka kila kona ya Tanzania.

Tunakusudia ku:

Kutokomeza dharau, kejeli, na matusi kutoka kwa wanaume wanaotuita “laana.”

Kutoa msaada wa hali na mali kwa shida ndogo ndogo zinazowakumba wamama wenzetu.

Kuweka mazingira salama ya upendo, mshikamano, na mshikamano wa kweli.

Kujifunza na kusaidiana kukuza maisha yetu kiuchumi, kiafya na kiroho.

K**a wewe ni mama mlezi peke yako, huu ni wakati wako wa kuinuka na kuungana na wenzako.

Sheria/Miongozo ya Kundi:

Heshima ni msingi: Mwanakundi yeyote anatakiwa kuheshimu maoni, maisha na hali ya kila mama bila matusi wala dharau.

Siri zetu ni siri zetu: Taarifa zozote binafsi zinazoshirikiwa kwenye kundi haziruhusiwi kutolewa nje ya kundi.

Usaidizi ni wa kweli: Tunajitahidi kusaidiana kwa uwezo wetu – iwe ni chakula, ushauri, au hata kutiana moyo tu.

Hakuna siasa wala ubaguzi: Kundi halitahusisha masuala ya kisiasa, kidini au ukanda.

Uongozi wa upendo: Kiongozi wa kundi na wasaidizi wake watachaguliwa kwa uwazi na kwa misingi ya upendo na kujitolea.

Kila mwanamama ni sauti: Kila mwanachama ana haki ya kutoa maoni na kushiriki katika maamuzi ya kundi.

Tunajijenga, hatubomoi: Hakuna kushusha wenzetu – tunajengeana, tunainuana.

Jiunge nasi leo – tuwe sauti moja, nguvu moja, familia moja.

Kwa mawasiliano au kujiunga, tafadhali wasiliana na:
[+255 768514796] Gusa Link 👉 https://chat.whatsapp.com/FlbGt6KNBnF8OpsNyPQtkX

🇰🇪 🇹🇿

05/09/2025

WADADA! MWANAUME ASIYE NA STALEE, HATUMII KILEVI CHOCHOTE, ANAFUATILIA KILA KITU UNACHOFANYA – HUYO NDIYE MWANAUME WA KUTENGENEZA NAYE MAISHA.

04/09/2025

💪🇹🇿🌹🇹🇿🇹🇿🇹🇿

03/09/2025

KICHWA KINACHO ZALISHA UMEME 🤔

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255768514796

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mk Mutalemwa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mk Mutalemwa:

Share