07/06/2026
Prof Kitila: ‘Sisi k**a nchi hatutachaguliwa marafiki gani tufanye nao kazi’
Haya yamesemwa leo Juni 7, 2026, na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji) nchini Tanzania, Prof Kitila Mkumbo katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jijini Dar es Salaam, ukilenga kuzungumzia ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Urusi iliyofanyika Juni 2, 2026.
Subscribe kwenye YouTube Channel yetu kwa habari motomoto>>>https://www.youtube.com/