Soka la Bongo

Soka la Bongo Taarifa zote za Habari za Michezo Bongo , jiunge NAMI hapa.

FEI TOTO ACHOMOLEWA STARS, MAJERAHA YATAJWA KIUNGO mshambuliaji wa Taifa Stars, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ameondolewa kati...
01/06/2026

FEI TOTO ACHOMOLEWA STARS, MAJERAHA YATAJWA
KIUNGO mshambuliaji wa Taifa Stars, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ameondolewa katika kikosi cha timu hiyo kinachojiandaa na mechi mbili za kirafiki za kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), dhidi ya Uganda na Rwanda baada ya kupata majeraha. Akizungumza na Soka la Bongo, Ofisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Cliford […]

The post FEI TOTO ACHOMOLEWA STARS, MAJERAHA YATAJWA appeared first on Soka La Bongo.

👉 Soma Zaidi

Azam FC

Kwa mujibu wa Taarifa ni kuwa ndoa ya klabu ya Simba SC na goli kipa Moussa Camara imefikia tamati na hatokuwa sehemu ya...
01/06/2026

Kwa mujibu wa Taarifa ni kuwa ndoa ya klabu ya Simba SC na goli kipa Moussa Camara imefikia tamati na hatokuwa sehemu ya kikosi Cha timu hiyo kuelekea Msimu ujao na Kwa mujibu wa vyanzo ni kuwa amepata ofa kwenye Moja ya timu barani Ulaya, Simba SC Bado wataingia Sokoni kutafuta golikipa mwingine kwenye Dirisha kubwa.

Tetesi za Simba kumnasa Fiston Kalala Mayele Bado zinaendelea kushamili kwenye mitandao ya kijamii, Wana wa msimbazi Mta...
01/06/2026

Tetesi za Simba kumnasa Fiston Kalala Mayele Bado zinaendelea kushamili kwenye mitandao ya kijamii, Wana wa msimbazi Mtampokea k**a Mayele ataweka Saini yake pale Msimbazi.

HAKUNA KIZUIZI, SIMBA QUEENS WAJIKUSANYIA MATAJI NA KUANDIKA HISTORIA MPYA K**A ilivyo katika kila eneo lenye ushindani,...
01/06/2026

HAKUNA KIZUIZI, SIMBA QUEENS WAJIKUSANYIA MATAJI NA KUANDIKA HISTORIA MPYA
K**A ilivyo katika kila eneo lenye ushindani, soka la wanawake nchini Tanzania lina mbabe wake. Kwa sasa, heshima hiyo inaendelea kubaki kwa Simba Queens ambao wameandika historia mpya baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Wanawake Tanzania msimu wa 2025/26 na kujihakikishia nafasi ya kuwa timu yenye mataji mengi zaidi katika mashindano hayo. Ubingwa huo […]

The post HAKUNA KIZUIZI, SIMBA QUEENS WAJIKUSANYIA MATAJI NA KUANDIKA HISTORIA MPYA appeared first on Soka La Bongo.

👉 Soma Zaidi

Simba SC

CHAMA AWATULIZA MASHABIKI WA SIMBA, AREJEA MAZOEZINI WAKATI hofu ikiendelea kutanda miongoni mwa mashabiki wa Simba kuhu...
01/06/2026

CHAMA AWATULIZA MASHABIKI WA SIMBA, AREJEA MAZOEZINI
WAKATI hofu ikiendelea kutanda miongoni mwa mashabiki wa Simba kuhusu hali ya kiungo wao mahiri, Clatous Chama, nyota huyo ameondoa sintofahamu baada ya kurejea mazoezini na kuungana na wenzake katika Uwanja wa Mo Simba Arena. Chama alikuwa gumzo baada ya kuonekana akichechemea wakati akitoka uwanjani katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Dodoma Jiji FC, […]

The post CHAMA AWATULIZA MASHABIKI WA SIMBA, AREJEA MAZOEZINI appeared first on Soka La Bongo.

👉 Soma Zaidi

Simba SC

YANGA YAPANGA MAPINDUZI NYOTA 7 WA KIGENI KUTUA JANGWANI UONGOZI wa Yanga umeanza rasmi maandalizi ya kuijenga upya timu...
01/06/2026

YANGA YAPANGA MAPINDUZI NYOTA 7 WA KIGENI KUTUA JANGWANI
UONGOZI wa Yanga umeanza rasmi maandalizi ya kuijenga upya timu kuelekea msimu ujao, huku ukielezwa kuwa katika mchakato wa kusaka nyota sita hadi saba wa kigeni watakaoongeza ushindani ndani ya kikosi hicho. Hatua hiyo imekuja baada ya tathmini ya kina ya mwenendo wa timu msimu huu, ambapo baadhi ya maeneo yalionekana kuhitaji maboresho ili kuifanya […]

The post YANGA YAPANGA MAPINDUZI NYOTA 7 WA KIGENI KUTUA JANGWANI appeared first on Soka La Bongo.

👉 Soma Zaidi

Yanga SC

KAULI YA MAGORI YAWASHA MOTO WA UBINGWA TUNANGOJA WATELEZE KLABU ya Simba SC imesisitiza umuhimu wa kuhakikisha mechi zi...
01/06/2026

KAULI YA MAGORI YAWASHA MOTO WA UBINGWA TUNANGOJA WATELEZE
KLABU ya Simba SC imesisitiza umuhimu wa kuhakikisha mechi zilizobaki za Ligi Kuu ya NBC zinachezwa kwa haki na usawa, huku ikipeperusha bendera ya matumaini ya kutwaa ubingwa wa ligi pamoja na Kombe la CRDB msimu huu. Akizungumza kuhusu hatua ya mwisho ya msimu, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Crescentius Magori, amesema klabu […]

The post KAULI YA MAGORI YAWASHA MOTO WA UBINGWA TUNANGOJA WATELEZE appeared first on Soka La Bongo.

👉 Soma Zaidi

Simba SC

FORTUNE FARM NI SEHEMU AMBAPO BAHATI INAONGEA K**a unatafuta mchezo wenye ushindi na burudani kali, Fortune Farm ndani y...
31/05/2026

FORTUNE FARM NI SEHEMU AMBAPO BAHATI INAONGEA
K**a unatafuta mchezo wenye ushindi na burudani kali, Fortune Farm ndani ya Meridianbet ndiyo sehemu sahihi. Huu ni mchezo unaoweka kila mtu kwenye presha ya kusaka ushindi mkubwa kwa mtindo wa kisasa na yenye msisimko muda wote. Ukishaingia kwenye mchezo, gurudumu la bonasi linaanza kufanya kazi yake. Una nafasi ya kufungua 3 Wilds, 4 Wilds mpaka 5 Wilds […]

The post FORTUNE FARM NI SEHEMU AMBAPO BAHATI INAONGEA appeared first on Soka La Bongo.

👉 Soma Zaidi

Meridianbet

SIMBA SC YATANGAZWA MABINGWA WPL HATIMAYE Simba Queens imeipokonya JKT Queens ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake leo baada ...
31/05/2026

SIMBA SC YATANGAZWA MABINGWA WPL
HATIMAYE Simba Queens imeipokonya JKT Queens ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake leo baada ya kuitandika Mashujaa Queens mabao 5-2 kwenye mechi ya raundi ya 20 iliyopigwa Uwanja wa KMC Complex. Simba imetangaza ubingwa leo kabla ya ligi kutamatika zikiwa zimesalia mechi mbili kumalizika msimu wa 2025/26. Kwenye mechi 20 ilizocheza timu hiyo imeshinda mechi […]

The post SIMBA SC YATANGAZWA MABINGWA WPL appeared first on Soka La Bongo.

👉 Soma Zaidi

Simba SC

PSG, LUIS ENRIQUE NA REKODI ILIYOTUKUKA ULAYA BUDAPEST, HUNGURY: PARIS Saint-Germain imeendelea kuthibitisha kuwa ni moj...
31/05/2026

PSG, LUIS ENRIQUE NA REKODI ILIYOTUKUKA ULAYA
BUDAPEST, HUNGURY: PARIS Saint-Germain imeendelea kuthibitisha kuwa ni moja ya timu bora zaidi kuwahi kutokea katika soka la Ulaya baada ya kuwa klabu ya pili pekee kufanikiwa kutetea ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya. Ushindi wao wa penalti 4-3 dhidi ya Arsenal baada ya sare ya 1-1 katika fainali iliyochezwa Jijini Budapest umeongeza mafanikio yao […]

The post PSG, LUIS ENRIQUE NA REKODI ILIYOTUKUKA ULAYA appeared first on Soka La Bongo.

👉 Soma Zaidi

Habari za michezo

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Soka la Bongo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category