Soka la Bongo

Soka la Bongo Taarifa zote za Habari za Michezo Bongo , jiunge NAMI hapa.

10/10/2025

Story kamili ipate ndani ya sokalabongo.com

10/10/2025

Azam FC Fei Toto ambaye aliyewahi kuichezea Yanga huu ni msimu wake wa tatu Azam FC akiwa ameshafunga mabao mawili kwenye ligi....

10/10/2025

Yanga SC Taarifa mpya zikufikie kwamba kuna kocha huko kwao keshaaga kwa mabosi wake kwamba anakuja kupiga mzigo Tanzania....

10/10/2025

Yanga SC Huko Simba mambo yameanza kwa kasi baada ya ujio wa Dimitar Pantev, ambapo unaambiwa ameshaanza kuwapa hesabu zake...

10/10/2025

Meridianbet Jisajili na Meridianbet na cheza michezo ya kasino ya mtandaoni upate ushindi kirahisi, Pia ongeza maokoto...

10/10/2025

Meridianbet haiishii hapa, kuna michezo mingine ya kasino mtandaoni na mechi za vilabu za kubashiri zenye odds kabambe...

🚨Baada ya JKT Queens kuingia fainali kwa kuifunga Yanga Princess kwa mikwaju ya penati 6-5 sasa watakutana na Simba Quee...
09/10/2025

🚨Baada ya JKT Queens kuingia fainali kwa kuifunga Yanga Princess kwa mikwaju ya penati 6-5 sasa watakutana na Simba Queens fainali ya Ngao ya Jamii kwa Wanawake.


🎙️

⁉️Itakutana na nani?Kikosi cha Simba Queens kimeibuka na ushindi wa goli 2-0 dhidi ya Mashujaa Queens na kufanikiwa kuka...
09/10/2025

⁉️Itakutana na nani?

Kikosi cha Simba Queens kimeibuka na ushindi wa goli 2-0 dhidi ya Mashujaa Queens na kufanikiwa kukata tiketi ya fainali Ngao ya Jamii kwa Wanawake.

Sasa wanamsubiri mshindi kati ya Yanga Princess na JKT Queens.


🎙️

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Soka la Bongo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category