Soka la Bongo

Soka la Bongo Taarifa zote za Habari za Michezo Bongo , jiunge NAMI hapa.

⁉️Kwa Yanga hii Zimbwe Jr ataingia kikosi cha kwanza?🎙️
06/08/2025

⁉️Kwa Yanga hii Zimbwe Jr ataingia kikosi cha kwanza?

🎙️

🚨 Baada ya kuvunjiwa mkataba na Simba,leo Dodoma Jiji wamemtambulisha Miraji Abdallah “Zambo” k**a beki wao mpya.🎙️     ...
05/08/2025

🚨 Baada ya kuvunjiwa mkataba na Simba,leo Dodoma Jiji wamemtambulisha Miraji Abdallah “Zambo” k**a beki wao mpya.

🎙️

🚨 Aliyewahi kuwa mtaalamu wa viungo wa Yanga,Youssef Ammar amerejea tena klabuni humo k**a mtaalamu mpya wa viungo chini...
05/08/2025

🚨 Aliyewahi kuwa mtaalamu wa viungo wa Yanga,Youssef Ammar amerejea tena klabuni humo k**a mtaalamu mpya wa viungo chini ya Romain Folz.

🎙️

🚨Timu ya Yanga imeonyesha jezi zake mpya ambazo itazitumia kwa ajili ya mazoezi kipindi cha maandalizi ya msimu mpya.🎙️ ...
05/08/2025

🚨Timu ya Yanga imeonyesha jezi zake mpya ambazo itazitumia kwa ajili ya mazoezi kipindi cha maandalizi ya msimu mpya.

🎙️

🚨Mpanzu amerejea katika kambi ya Simba SC nchini Misri tayari kwa maandalizi ya msimu mpya.🎙️
05/08/2025

🚨Mpanzu amerejea katika kambi ya Simba SC nchini Misri tayari kwa maandalizi ya msimu mpya.

🎙️

🚨Usajili wa saba kwa Simba.!🎙️
05/08/2025

🚨Usajili wa saba kwa Simba.!


🎙️

“Mimi ndio nimeamua kutoendelea na Simba ila watu wengi hawajui lla nimeachana nao kwasababu ya Maslahi yangu lakini pia...
05/08/2025

“Mimi ndio nimeamua kutoendelea na Simba ila watu wengi hawajui lla nimeachana nao kwasababu ya Maslahi yangu lakini pia kesho yangu, kuna vitu havikukidhi ila sio kwamba Kocha alinikataa bali Viongozi kuna vitu havikwenda sawa, kuna mambo mengi humo ndani ila nisingependa kutoa password za Watu ila sitaki migogoro isiyo na faida ila kuna mengi ya ndani Watu wasioyajua”

🗣️Zambo JR, Nyota wa Kimataifa wa Tanzania aliyetajwa kujiunga na Simba kwenye mahojiano na Jembe FM


🎙️

Simba imeshusha Mashine ya maana kutoka Kenya.🎙️
02/08/2025

Simba imeshusha Mashine ya maana kutoka Kenya.


🎙️

Michezo ya Nusu Fainali ya Ngao ya jamii msimu wa 2025/26 itapigwa Septemba 11 na Fainali kupigwa Septemba 14.Yanga SC 🆚...
02/08/2025

Michezo ya Nusu Fainali ya Ngao ya jamii msimu wa 2025/26 itapigwa Septemba 11 na Fainali kupigwa Septemba 14.

Yanga SC 🆚 Azam FC

Simba SC 🆚 Singida Black Stars

Hii vita itatueleza nani alikua serious kusajili wachezaji.


🎙️

Kila la Kheri Tanzania!🇹🇿🎙️
02/08/2025

Kila la Kheri Tanzania!🇹🇿


🎙️

Usajili wa nne kwa Simba.🎙️
31/07/2025

Usajili wa nne kwa Simba.


🎙️

Andi Boyeli ni Mwananchi!🎙️
31/07/2025

Andi Boyeli ni Mwananchi!


🎙️

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Soka la Bongo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category