Soka la Bongo

Soka la Bongo Taarifa zote za Habari za Michezo Bongo , jiunge NAMI hapa.

🚨 UPDATESKlabu ya Simba imetangaza rasmi kuachana na nyota wake Aishi Salum Manula  aliyehudumu klabuni hapo kwa zaidi y...
12/07/2025

🚨 UPDATES

Klabu ya Simba imetangaza rasmi kuachana na nyota wake Aishi Salum Manula aliyehudumu klabuni hapo kwa zaidi ya misimu saba.

🎙️

🚨 UPDATESKlabu ya Simba imetangaza rasmi kuachana na nyota wake Fabrice Luamba Ngoma aliyehudumu klabuni hapo kwa zaidi ...
12/07/2025

🚨 UPDATES

Klabu ya Simba imetangaza rasmi kuachana na nyota wake Fabrice Luamba Ngoma aliyehudumu klabuni hapo kwa zaidi ya misimu miwili.

🎙️

🚨 UPDATESKiungo Omary Omary wa Simba Sports Club, ametolewa kwa mkopo wa mwaka mmoja kwenda timu ya Mashujaa FC.🎙️      ...
12/07/2025

🚨 UPDATES

Kiungo Omary Omary wa Simba Sports Club, ametolewa kwa mkopo wa mwaka mmoja kwenda timu ya Mashujaa FC.

🎙️

🚨 Aziz Ki amejiunga rasmi na Wydad.K**a nilivyo ripoti mwanzo Yanga walimtoa Aziz kwa mkopo wenye kipengele cha kumuuza ...
10/07/2025

🚨 Aziz Ki amejiunga rasmi na Wydad.

K**a nilivyo ripoti mwanzo Yanga walimtoa Aziz kwa mkopo wenye kipengele cha kumuuza mazima Wydad kabla ya 10/07/2025.

Baada ya kuwepo sintofahamu leo Rasmi Wydad wametuma barua Yanga ya “ku-trigger” kipenge cha kumnunua mazima Stephane Aziz Ki na Yanga wamekubali hivyo Aziz amejiunga
Rasmi na Wydad.

Biashara ya Aziz imekamilika na Yanga wameingiza 1.7bilion.
Kila kitu kimekamilika Aziz atabaki Wydad....its a deal done✅

🎙️

🚨 DEAL DONE.Winga Edwin Balua wa Simba SC amesaini Enosis UnionAthletic Paralimni FC ya nchini Cyprus kwa mkataba wa mko...
10/07/2025

🚨 DEAL DONE.

Winga Edwin Balua wa Simba SC amesaini Enosis Union
Athletic Paralimni FC ya nchini Cyprus kwa mkataba wa mkopo
wa mwaka mmoja akitokea Simba SC.

Mkataba wa Balua na Enosis Union Athletic Paralimni FC ni
mkopo wenye kipengele cha kumnunua moja kwa moja.

🎙️

🚨UPDATES.Bodi ya Wakurugenzi Simba SC, imekaa Kikao Jumatatu ya Julai 07 kujadili ripoti na mapendekezo ya Kocha Fadlu D...
10/07/2025

🚨UPDATES.

Bodi ya Wakurugenzi Simba SC, imekaa Kikao Jumatatu ya Julai 07 kujadili ripoti na mapendekezo ya Kocha Fadlu Davids, Kwenye Target ya Fadlu Davids yupo Feisal Salum.
Bodi Imeunda K**ati maalumu ya Usajili na imeanza kufanyia kazi mapendekezo ya Kocha Fadlu Davids.

🎙️

🚨UPDATESCS Sfaxien imekubali kumuuza Balla Moussa Conte kwenda Yanga SC, Yanga SC walituma ofa imejadiliwa na imekubaliw...
10/07/2025

🚨UPDATES

CS Sfaxien imekubali kumuuza Balla Moussa Conte kwenda Yanga SC, Yanga SC walituma ofa imejadiliwa na imekubaliwa.
CS Sfaxien wamekubali haraka ofa ya Yanga SC kwasababu mchezaji anamaliza mkataba wake msimu ujao 2026.
Balla Moussa Conte alikuwa kwenye target za Simba SC.

🎙️

🚨VALENTIN NOUMA🗣️ “Kwa makubaliano ya pande zote mbili na Simba safari yangu ndani ya Simba SC imeishia hapa ushindani u...
10/07/2025

🚨VALENTIN NOUMA

🗣️ “Kwa makubaliano ya pande zote mbili na Simba safari yangu ndani ya Simba SC imeishia hapa ushindani ukiwa ndio lengo langu kuu ninachambua ofa tofauti nilizonazo na itakapokuwa rasmi nitatoa rasmi wapi sehemu yangu mpya, Asanteni familia nzima ya Simba SC.”- Valentin Nouma.

🎙️

🚨 TAZAMA alivyoandika Violeth Nicholaus Joseph nahodha wa Simba Queens.👇🏽“    Asante familia yangu nipo apa kutoa shukra...
09/07/2025

🚨 TAZAMA alivyoandika Violeth Nicholaus Joseph nahodha wa Simba Queens.👇🏽


Asante familia yangu nipo apa kutoa shukran kwakila hatua tuliokuwa tunapiga pamoja tumepitia majonzi na furaha pamoja mlinipokea nikiwa mdogo hatimaye leo naondoka nikiwa senior kwenye club hii pendwa sio lahisi ila lazima maisha yaendelee leo nawaaga familia yangu hatutakuwa pamoja ila nitawaombea Klla laheri kwenye mapambano yamsimu unaokuja asante viongozi wa simbaqeens wachezaji namakocha wote walioifundisha club hit kipindi nacheza k**a kunasehemu nilikosea basi naomba mnisamee mimi pia nimewasamee k**a mlinikosea mungu azidi kutupambania kwenye kazi zetu daima mtabaki moyoni mwangu
❤️🫂mapambano yaendelee.🫡

🎙️

🚨 TAZAMA AZAM FC WALIVYOANDIKA!👇🏽✍🏾️ Meneja wa zamani wa kitengo cha dijitali za Azam FC  akiwa ameshajipatia u*i wake m...
09/07/2025

🚨 TAZAMA AZAM FC WALIVYOANDIKA!👇🏽

✍🏾️ Meneja wa zamani wa kitengo cha dijitali za Azam FC akiwa ameshajipatia u*i wake mpya na wa kisasa.

Wewe unasubiri nini?

🎙️

MICHEZO: Klabu ya Yanga imepokea mialiko kutoa timu mbali mbali barani AFrika.Wananchi wamepokea Mualiko kutoka timu za ...
09/07/2025

MICHEZO: Klabu ya Yanga imepokea mialiko kutoa timu mbali mbali barani AFrika.

Wananchi wamepokea Mualiko kutoka timu za Uganda, Namibia na Angola

Timu ya Rayon Sports, kwenye tamasha lao la Rayon Day litafanyika mwezi ujao kwenye uwanja wa Amahoro.
Pia wamealikwa kwenye Pre season nchini Namibia na watakuwa na timu za petro de luanda na lion.

Mialiko yote hii imetokana na kuwa na matokeo mazuri kiwanjani.

🎙️

Mabingwa wa nchi, Young African imemaliza utata kwa kiungo mkabaji, Khalid Aucho E kwa kumpa mkataba wa mwaka mmoja ili ...
09/07/2025

Mabingwa wa nchi, Young African imemaliza utata kwa kiungo mkabaji, Khalid Aucho E kwa kumpa mkataba wa mwaka mmoja ili aendelee kusalia klabuni hapo.

“Tunaheshimu mchango wa Aucho ambaye uzoefu wake unaonekana uwanjani, hivyo uwepo wake, kuna kitu kikubwa kitaendelea kuongezeka katika eneo la kiungo,” kilisema chanzo hicho.

Aucho alikuwa ni miongoni mwa wachezaji waliomaliza mikataba na klabu hiyo na mabosi wameanza naye kwa kumpa mkataba huo mpya wakiendelea kuzungumza na wengine ili kuwabakisha wakati, ikielezwa kocha mpya atakayechukua nafasi ya Miloud Hamdi tayari yupo nchini akiwa amesaini mkataba na bado kutambulishwa tu.

Ingawa Yanga wamefanya siri, lakini kocha huyo mpya ni Mfaransa Julien Chavelier aliyekuwa akifundisha Asec Mimosas.

🎙️

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Soka la Bongo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category