Soka la Bongo

Soka la Bongo Taarifa zote za Habari za Michezo Bongo , jiunge NAMI hapa.

15/01/2026

Simba SC MWENYEKITI wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu, amesema maandalizi ya timu hiyo yanaendelea vizuri huku hatua zote muhimu

15/01/2026

Simba SC KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesema mechi mbili za Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji na JKT Tanzania watazitumia k**a

15/01/2026

Simba SC KIPA wa zamani wa Simba, Ahmed Feruz amerejea katika Ligi Kuu Bara baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuidakia Namungo

15/01/2026

Simba SC KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Mohammed Muya amesema wachezaji wa timu hiyo wapo tayari kuendeleza vita na ushindani mechi za

15/01/2026

Simba SC MSHAMBULIAJI nyota wa Singida Black Stars, Mzambia Andrew Phiri amekamilisha uhamisho wa kujiunga na Hard Rock FC inayoshiriki

15/01/2026

Simba SC NYOTA wa Simba SC, Elie Mpanzu, ameonyesha kiwango kikubwa cha hamasa na ari ya kupambana kuelekea mchezo ujao wa Ligi Kuu Tanzania

15/01/2026

Yanga SC ALIYEKUWA mshambuliaji wa Radomiak Radom ya Poland, Laurindo Dilson Maria Aurelio maarufu kwa jina la Mbwa Mwitu (Depu),

15/01/2026

Simba SC BAADA ya kimya kingi cha aliyekuwa winga wa Simba, Azam FC na TP Mazembe, Ramadhan Singano anasimulia kilichomuweka nje ya

15/01/2026

Simba SC UONGOZI wa klabu ya Simba umeingia sokoni kutafuta kipa mwingine wa kuziba pengo lililosababishwa na majeraha ya makipa wao

15/01/2026

Yanga SC HAKUNA kulala, hilo ndilo neno linaloelezea mwanzo wa safari ya mshambuliaji mpya wa Yanga, Allan Okello, ambaye tayari ameanza rasmi

14/01/2026

Yanga SC TAMATI ya Kombe la Mapinduzi 2026 ilikuwa jana Jumanne Januari 2026 ilipopigwa mechi ya fainali kati ya Azam dhidi ya Yanga

14/01/2026

Yanga SC UONGOZI wa Yanga umeweka wazi mikakati yake ya kuimarisha kikosi kabla ya kibarua kigumu dhidi ya Al Ahly ya Misri, huku ukithibitisha

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Soka la Bongo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category