01/06/2026
FEI TOTO ACHOMOLEWA STARS, MAJERAHA YATAJWA
KIUNGO mshambuliaji wa Taifa Stars, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ameondolewa katika kikosi cha timu hiyo kinachojiandaa na mechi mbili za kirafiki za kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), dhidi ya Uganda na Rwanda baada ya kupata majeraha. Akizungumza na Soka la Bongo, Ofisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Cliford […]
The post FEI TOTO ACHOMOLEWA STARS, MAJERAHA YATAJWA appeared first on Soka La Bongo.
👉 Soma Zaidi
Azam FC