Halisi Media

Halisi Media Halisi Media Inakupatia Taarifa Mbalimbali Za Burudani,Sanaa na Michezo kutoka Kila pande Ulimwenguni
(4)

Mdm Media is a platform that provides a wide range of information, especially in Kiswahili and English, and highlights the lifestyle and aspirations of the people of Tanzania, Kenya, Burundi,Uganda,Congo DRC between the ages of 18 and 45. political issues and offers Opportunities for entrepreneurs to get more involved.

16/01/2026
16/01/2026
Kaka wa Diamond Platnumz, Romy Jones, ameonyesha kumuunga mkono na kumwaga sifa nyingi kwa ChiefGodlove, akimuelezea k**...
16/01/2026

Kaka wa Diamond Platnumz, Romy Jones, ameonyesha kumuunga mkono na kumwaga sifa nyingi kwa ChiefGodlove, akimuelezea k**a kijana mwenye mchango mkubwa katika kuhamasisha na kuamsha ari ya vijana wengi nchini.

Kupitia ujumbe wake, Romy Jones amesema kuwa licha ya ChiefGodlove kutoimba wala kuigiza, bado amekuwa mtu anayefanya mambo makubwa na โ€œkuenda ngoma droooโ€, akimaanisha mafanikio na juhudi zake zinaonekana wazi kwa vitendo.
Ameongeza kuwa ChiefGodlove ni mfano wa kuigwa, kwani anawapa vijana changamoto ya kuamka, kufanya kazi kwa bidii na kupambana na hali za maisha badala ya kukata tamaa.

Romy Jones amesisitiza kuwa anaamini ChiefGodlove ameletwa duniani kwa kusudi la kuwachangamsha na kuwainua vijana, hususan waliopo Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla.
Mwisho, Romy Jones amemtakia baraka na mafanikio zaidi, huku akimtaka aendelee na juhudi zake bila kuchoka.

Mwanamuziki wa nigeria  ameingia kwenye headlines baada ya kujibu kuhusu binti anayedai kuwa yeye ni mtoto wake na kumta...
16/01/2026

Mwanamuziki wa nigeria ameingia kwenye headlines baada ya kujibu kuhusu binti anayedai kuwa yeye ni mtoto wake na kumtaka hadharani kupima DNA.

Kupitia ukurasa wake wa X baada ya msichana huyo mdogo aliyejitambulisha kwa jina la Anu Adeleke, Davido aliandika kwamba vipimo vingi vya DNA tayari vimefanyika, na kuongeza kwamba msichana huyo na mama yake wanapaswa kuacha kuwasiliana naye "waende kumtafuta baba yake."

Neno Moja kwake ๐Ÿ‘‡

16/01/2026

Moto umezuka jengo la National Social Security House (NSSF) lililopo katika eneo la Mnara wa Askari Posta, katikati ya jiji la Dar es Salaam, leo muda huu.

Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana.

16/01/2026

Watoto wa kijijini wanataka kuwatambia Wazawa wa Town huku watoto wa Mjini nao wakijinasibu wao ndio wazawa hawawezi kutambiwa na watoto wa kuja๐Ÿคซ

Msanii   amethibitishwa rasmi kuwa miongoni mwa waigizaji wa filamu mpya inayokuja iitwayo The Return of Arinzo. Tangazo...
16/01/2026

Msanii amethibitishwa rasmi kuwa miongoni mwa waigizaji wa filamu mpya inayokuja iitwayo The Return of Arinzo. Tangazo hilo limetolewa kupitia kampeni rasmi ya filamu ya โ€œMeet the Castโ€, jambo linaloonesha kuwa ameingia rasmi katika mradi huo unaotarajiwa kwa hamu kubwa.

Filamu hiyo imetayarishwa na Fespris Production na inapangwa kuwa filamu kubwa (blockbuster) itakayokuja kuonyeshwa kwenye kumbi za sinema hivi karibuni.

Ushiriki wa Zuchu unaonesha ushirikiano wa kimataifa, kwa kuingiza kipaji cha Kitanzania katika mradi huo na kuongeza mvuto wa filamu hiyo katika ukanda wa Afrika Mashariki.

Zuchu anayejulikana zaidi kwa mafanikio makubwa katika muziki wake unaotikisa chati, ameendelea pia kujijengea jina katika filamu na televisheni, hivyo kuchaguliwa kwake kumeleta msisimko mkubwa kwa mashabiki wake kote Afrika Mashariki.

Tangu tangazo hilo litolewe, mitandao ya kijamii imejaa maoni na gumzo huku watazamaji wakisubiri kwa hamu kujua nafasi atakayocheza na tarehe rasmi ya kutolewa kwa filamu hiyo.

16/01/2026

"Siku moja Niliitwa Shujaa leo naitwa Msaliti" Mzee Mwandambo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

16/01/2026

Hii metokea jana tabataโ€ฆโ€ฆโ€ผ๏ธ
Abdu kiba ameripotiwa kushindwa kulipa pesa ya chips kiasi cha shilingi elfu nane
(chips zege na kuku nusu).
wakati wa malipo, inadaiwa alisema atapita kulipa akiwa anarudi baadaye, hali iliyoibua mzozo kati yake na muuzaji wa chips. kwa mujibu wa wambea, mabishano yalizidi na ikadaiwa kisu kilitolewa wakati wa kutia hiana.
baada ya hali kuwa mbaya, muuzaji wa chips aliamua kuvunja kioo cha gari la Abdu kiba aina ya crown, k**a linavyoonekana kwenye video.
mpaka sasa, inadaiwa abdu kiba ameliacha gari hilo hapo hapo akitaka alipwe kioo chake, huku akisema lazima muuzaji wa chips afungwe huko tabata.

๐Ÿ’ฐ JE WAJUA?Ukiwa na Shilingi Milioni 3 za Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, wewe ni Bilionea Iran ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท ๐Ÿ˜ณNdiyo!Ukiwa na TSh Milioni 3 ukienda na...
16/01/2026

๐Ÿ’ฐ JE WAJUA?
Ukiwa na Shilingi Milioni 3 za Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, wewe ni Bilionea Iran ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท ๐Ÿ˜ณ
Ndiyo!
Ukiwa na TSh Milioni 3 ukienda nazo nchini Iran ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท, huko unahesabika k**a BILIONEA kabisa ๐Ÿ’ธ๐Ÿ”ฅ

๐Ÿ“Š Mlinganisho wa thamani ya fedha:
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ TSh 3,000,000
๐Ÿ‘‰ sawa na Rial 1,270,383,546 (Zaidi ya Bilioni 1.27 za Iran ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท)
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ TSh 2,500 (Buku 2 jero)
๐Ÿ‘‰ sawa na Rial 1,058,220 (Zaidi ya Milioni 1 ya Iran ๐Ÿคฏ)

๐Ÿคซ Kwa hiyo technicallyโ€ฆ
โžก๏ธ Ukiwa na Milioni 3 TZS,
โžก๏ธ Iran wewe ni Bilionea kamili ๐Ÿ˜Ž

๐Ÿ˜‚ Wanangu tusichezee hii fursa
Bora tukawe Mabilionea wa Iran kwanza ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท๐Ÿ’ผ


Yoweri Kaguta Museveni anaongoza matokeo ya AwaliJaji Simon Byabak**a, mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Uganda alisema mat...
16/01/2026

Yoweri Kaguta Museveni anaongoza matokeo ya Awali

Jaji Simon Byabak**a, mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Uganda alisema matokeo hayo yamezingatia vituo 133 vya kupiga kura yaliowakilisha asilimia 0.26 ya jumla ya kura zilizopigwa.

Byabak**a alithibitisha kuwa taarifa zingine juu ya uchaguzi zitatolewa Ijumaa, saa tatu asubuhi wakati matokeo zaidi yanaendelea kuwasilishwa katika kituo kikuu cha kuhesabu kura kilichoko eneo la Wakiso.

15/01/2026

Awamu hii Chiefgodlove ameyakanyaga kwa Mzaramu Dotto Magari Mtoto wa Mjini.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Address

Mbezi Beach
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Halisi Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Halisi Media:

Share