Digitaltvtz Update

Digitaltvtz Update Television & Radio Broadcasting 📻📺

Follow Us On YouTube Digitaltvtz Update 👇

https://youtube.com/-p5p?si=5C_v4m_ggmX-L-zF

Wilaya ya Gairo imeendelea kuonyesha dhamira ya kuboresha sekta ya elimu baada ya kufanyika kikao maalum cha Wakuu wa Sh...
13/05/2026

Wilaya ya Gairo imeendelea kuonyesha dhamira ya kuboresha sekta ya elimu baada ya kufanyika kikao maalum cha Wakuu wa Shule za Sekondari kilichofanyika katika chuo cha , kilicholenga kujadili changamoto mbalimbali zinazoikabili elimu pamoja na kuweka mikakati ya maendeleo kwa vijana.

Kikao hicho kilihudhuriwa na Wakuu wa Shule kutoka maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo, ambapo mahudhurio yalielezwa kuwa ya kuridhisha na yenye kuonyesha ushirikiano mkubwa katika kufanikisha malengo yaliyokusudiwa.

Miongoni mwa ajenda zilizojadiliwa ni namna ya kuimarisha mafunzo ya ufundi na ujasiriamali kwa wanafunzi wanaohitimu elimu ya sekondari, ili kuwajengea uwezo wa kujitegemea na kukabiliana na changamoto za ajira katika jamii.

Washiriki wa kikao hicho walisisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya shule, wadau wa elimu pamoja na jamii kwa ujumla katika kuhakikisha vijana wanapata elimu yenye tija inayowawezesha kuwa sehemu ya maendeleo ya taifa.

Waandaaji wa kikao hicho wamewashukuru wote walioshiriki kwa mchango wao wa mawazo na ushirikiano, wakieleza kuwa maazimio yaliyofikiwa yataisaidia Gairo kuendelea kuboresha sekta ya elimu na maendeleo ya vijana.

Fulltime Dodoma Jiji 3-2 Yanga SC.Timu ya Yanga imepokea kichapo Kwa mara ya Kwanza kwenye Ligi kuu ya NBC 2025/2026.Ume...
13/05/2026

Fulltime Dodoma Jiji 3-2 Yanga SC.
Timu ya Yanga imepokea kichapo Kwa mara ya Kwanza kwenye Ligi kuu ya NBC 2025/2026.

Umekionaje Kiwango cha Yanga SC Matumaini yapo kweli ya Ubingwa ?

Follow account yetu Kwa taarifa zaidi.

13/05/2026

Baba Mzazi wa James Temba athibitisha kupatikana Kichwa cha Mtoto wake ambae uliuawa kikatili.

Follow Us Digitaltvtz Update Kwa taarifa zaidi

".....tumepata taarifa Kichwa cha marehemu kimepatikana Maeneo ya kitunda kwahiyo tunasubiri taratibu ili tuweze kukipat...
13/05/2026

".....tumepata taarifa Kichwa cha marehemu kimepatikana Maeneo ya kitunda kwahiyo tunasubiri taratibu ili tuweze kukipata na twende tukakihifadhi" Baba Mzazi wa James temba

Follow Digitaltvtz Kwa taarifa zaidi.....

12/05/2026

Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, ameapishwa rasmi kuhudumu kwa muhula wa urais wa 2026–2031 katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya Kololo Ceremonial Grounds jijini Kampala.

Museveni anaingia katika muhula wake wa saba wa urais tangu alipoingia madarakani mwaka 1986, hatua inayomfanya kuwa mmoja wa viongozi waliokaa madarakani kwa muda mrefu zaidi barani Afrika.

Muhula huu mpya wa 2026–2031 unatarajiwa kuongeza zaidi ya miaka 40 ya uongozi wake ifikapo mwisho wa kipindi hicho.
Katika hotuba yake baada ya kuapishwa, Museveni aliahidi kuendelea kuimarisha uchumi wa Uganda, kudumisha usalama wa taifa pamoja na kuendeleza miradi ya maendeleo kwa wananchi.

Hata hivyo, baadhi ya wadau wa siasa na wanaharakati wameendelea kueleza wasiwasi kuhusu mustakabali wa demokrasia nchini Uganda kutokana na muda mrefu wa uongozi wa rais huyo.

Follow Digitaltvtz Update fans

Katibu Mkuu wa wapiganaji wa Hezbollah, Naim Qassem, amesema suala la silaha za kundi hilo lenye makao yake nchini Leban...
12/05/2026

Katibu Mkuu wa wapiganaji wa Hezbollah, Naim Qassem, amesema suala la silaha za kundi hilo lenye makao yake nchini Lebanon si sehemu ya mazungumzo na Israeli kwa sababu ni suala la ndani linalostahili kujadiliwa na Lebanon.

Kulingana naye, Hezbollah itashirikiana na serikali kufikia agenda tano : uhuru wa Lebanon kwa kukomesha uchokozi wa Israeli, kuondoa jeshi la Israeli kutoka maeneo linaloshikilia, kuachiliwa kwa wafungwa, kurejea kwa raia wa Lebanon kusini mwa nchi yao na ujenzi upya wa Lebanon.

Source:

Katibu Mkuu wa wapiganaji wa Hezbollah, Naim Qassem, amesema suala la silaha za kundi hilo lenye makao yake nchini Leban...
12/05/2026

Katibu Mkuu wa wapiganaji wa Hezbollah, Naim Qassem, amesema suala la silaha za kundi hilo lenye makao yake nchini Lebanon si sehemu ya mazungumzo na Israeli kwa sababu ni suala la ndani linalostahili kujadiliwa na Lebanon.

Kulingana naye, Hezbollah itashirikiana na serikali kufikia agenda tano : uhuru wa Lebanon kwa kukomesha uchokozi wa Israeli, kuondoa jeshi la Israeli kutoka maeneo linaloshikilia, kuachiliwa kwa wafungwa, kurejea kwa raia wa Lebanon kusini mwa nchi yao na ujenzi upya wa Lebanon.

Source: RFI Kiswahili

12/05/2026

Shuhudia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Uratibu na Watu wenye Ulemavu nchini Tanzania Professor Palamagamba Kabudi alivyomtaka Mbunge wa Viti Maalum (CHAUMMA) Sigrada Mligo kuhusu kauli yake kuwa nilitegemea Serikali yenye akili ungefanya hivi.

Video Kamili Ipo YouTube Channel ya Digitaltvtz Update

11/05/2026

✅ Hotel Management
✅ Tourism Management & Tour Guiding
✅ Business Operations Administration
✅ Events Management
📌 Pia tunatoa short courses:
✔ Driving Course
✔ Tailoring Course
✔ English Course
✔ Computer Course
📍 Gairo – Morogoro

📅 Intake mpya inaanza June 2026
📞 +255 671 797 719

Jiunge nasi leo ujenge future yako kwa elimu bora na ujuzi wa kweli. 💚🎓

11/05/2026

Wasiliana Nasi Kwa Simu 0677156969 huduma zetu utazipata Popote pale Ulipo, Kwa uaminifu mkubwa.

Huduma zetu
- Kurudisha nyota iliyopotea
- Kupata pesa
- Kupata kazi
- Kumrudisha kazini aliyefukuzwa
- Kuondoa ndagu za mikosi
- Kumrudisha mpenzi aliyeondoka
- Kuondoa chuma ulete
- Kuvutia wateja kwenye biashara
- Kuimalisha nguvu za kiume
- Kuweka kinga kik mwili
- Kuweka kinga kwenye biashara

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255788509024

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Digitaltvtz Update posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Digitaltvtz Update:

Share