Wiki Books Publishers

Wiki Books Publishers A publishing house specializing in original spiritual and health books. Visit: https://wikibookspublisher.blogspot.com/?m=1

MAOMBI YA MFALME HEZEKIA - PART 1Baada ya kufa kwake Mfalme Sulemani mwana wa Daudi, mwanaye Rehoboamu akatawala juu ya ...
03/02/2026

MAOMBI YA MFALME HEZEKIA - PART 1

Baada ya kufa kwake Mfalme Sulemani mwana wa Daudi, mwanaye Rehoboamu akatawala juu ya Israeli yote, hata hivyo hakwenda katika njia sahihi mbele za Mungu kwani aliacha shauri la wazee akafuata shauri la vijana.

Mpasuko ukatokea miongoni mwa kabila 12 za Israeli, Yeroboamu mwana wa Nebati akiongoza mgogoro huo kwa kutaka makabila ya Israeli yajitenge.

Mwisho kabisa, Yeroboamu akafanikiwa kuyashawishi makabila 10 ya Israeli kumfuata na kufanya Reheboamu kubaki na makabila mawili pekee yaani Yuda na Benjamini.

Makabila 10 yakaanzisha ufalme wa kaskazini ulioitwa, Ufalme wa Israeli katika mji wa Samaria huku makabila mawili yakabaki kusini, Yerusalemu ambapo ufalme wao uliitwa Ufalme wa Yuda.

Makabila ya kaskazini yakamwasi Mungu kwa kufuata ibada za sanamu kiasi cha kutokwenda Yerusalemu kumtolea Mungu dhabihu katika sikukuu za pasaka, uasi huu uliongozwa na Yeroboamu mwenyewe. Ikawa hivyo miaka mingi kiasi cha kwamba Mungu sasa akatuma manabii kuhubiri hukumu na ya kwamba watu warudi katika njia sahihi.

Eliya mtishibi alikuwa ndiye nabii wa kwanza kuhubiri toba katika nyumba ya mfalme Ahabu na mkewe Yezebeli, hata hivyo nyumba ya Israeli walizidi kurudi nyuma na kumuasi Mungu zaidi, maanabii k**a Elisha, Amosi na Hosea nabii wa mwisho walifuatia kuendeleza kile ambacho Eliya alikianza lakini bado hali ikawa ngumu.

Mungu mwenyewe akamwambia Hosea "Efraimu amejifungamanisha na sanamu, mwache" Hos 4:17, kwahio Mungu akawaacha kabila 10 maana waliukataa wokovu.

Katika enzi hizo palikuwa na falme mbili zenye nguvu, yaani Ashuru na Misri. Mfalme wa Ashuru alikusudia kutanua mipaka yake kwa kuzivamia falme jirani, mfalme wa Ashuru akaazimia kuivamia Israeli na katika mwaka 722 akaiangusha Israeli yote na kuwa mwisho wa makabila 10 za Israeli maana kwa Ashuru kwao kuua ilikuwa k**a mchezo.
...............

Ni kitabu kipi kati ya hivi ungependa kukisoma hivi karibuni?Kitaje hapo kwenye "comment"
05/10/2025

Ni kitabu kipi kati ya hivi ungependa kukisoma hivi karibuni?
Kitaje hapo kwenye "comment"

Hello👋 Tunapoendelea na msimu wa sikukuu na mapumziko ya mwisho wa mwaka 2024, Wiki e-Books Publishers tunakuletea ofa n...
27/12/2024

Hello👋

Tunapoendelea na msimu wa sikukuu na mapumziko ya mwisho wa mwaka 2024, Wiki e-Books Publishers tunakuletea ofa na punguzo la bei za vitabu vyetu katika packages zifuatazo;

1. Nunua kitabu cha KANUNI 8 ZA AFYA kwa bei ya Tsh 5000/- upate kitabu cha ZAKA NA SADAKA bure.

2. Nunua kitabu cha HEKIMA ZA MFALME SULEMANI kwa bei ya Tsh 4000/- upate kitabu cha MASWALI YA MALKIA WA SHEBA KWA MFALME SULEMANI bure.

3. Nunua kitabu cha USIZINI kwa bei ya Tsh 5000/- upate kitabu cha GOGU NA MAGOGU: VITA VYA WAKATI WA MWISHO bure.

4. Nunua kitabu cha ZABURI: VIPINDI VITATU VYA MAISHA YA MWANADAMU kwa bei ya Tsh 3000/- upate kitabu cha NGUVU YA ZABURI 23 bure.

5. Nunua vitabu vyote 8 kwa bei ya Tsh 10000/- badala ya Tsh 28000/-

Link ya vitabu vyetu: https://wa.me/c/255621142591

Lipa kupitia:

Airtel Money : 0683 856615 (WIKLIF PHINUS TUARIRA)

Halo Pesa : 0621 142591 (PHINUS RAMADHANI TUARIRA)

NMB: 21110037941 (WIKLIF PHINUS TUARIRA)

OFA HII INAANZA LEO TAREHE 27/12/2024 SAA 1 JIONI HADI TAREHE 09/01/2025 SAA 5:59 USIKU.

KARIBU😊

Habari mpendwa msomaji wa vitabu vyetu vya Wiki e-Books Publishers. Katika robo hii ya pili ya mwaka 2024 tunakuletea to...
17/06/2024

Habari mpendwa msomaji wa vitabu vyetu vya Wiki e-Books Publishers.

Katika robo hii ya pili ya mwaka 2024 tunakuletea toleo maalumu la kitabu cha Maswali ya Malkia wa Sheba kwa Mfalme Sulemani.

Malkia wa Sheba alifunga safari hadi Yerusalemu kwenda kujidhirishia hekima ya Mfalme Sulemani ambayo aliisikia kutoka kwa wafalme wengi, hivyo basi aliandaa maswali yenye mafumbo magumu ili amjaribu na kwa hekima Mfalme Sulemani alimfumbulia maswali yake yote.

Kitabu hiki kimekusanya maswali hayo ya malkia kwa Mfalme Sulemani kutoka kwenye Biblia, Midrash Mishlei (Ufafanuzi wa Biblia ya kiyahudi) na Hadithi za Michael msyria aliyekuwa kuhani wa kanisa la orthodox mwaka 1166 hadi 1199.

Jina La Kitabu: MASWALI YA MALKIA WA SHEBA KWA MFALME SULEMANI,

Mwandishi: WIKLIF PHINUS TUARIRA ,

Idadi ya kurasa za kitabu - 16,

Bei: Tsh 3000/-,

Wachapishaji: Wiki e-Books Publishers,

Aina ya kitabu: Nakala laini,

Mawasiliano: 0621 142591,

Barua pepe: [email protected],

Kwa huduma za uchapishaji: [email protected].

Jipatie nakala yako sasa,

Kwa maelezo kuhusu kitabu bofya link hii: https://wa.me/p/7733450543400366/255621142591

Kwa maelezo kuhusu vitabu vyetu bofya link hii: https://wa.me/c/255621142591

"Mimi Danieli, kwa kuvisoma vitabu, nalifahamu hesabu ya miaka " Danieli 9:2

Happy birthday CEO Wycliffe Phinus Tuarira
13/06/2024

Happy birthday CEO Wycliffe Phinus Tuarira

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 07:00 - 22:00
Tuesday 07:00 - 22:00
Wednesday 07:00 - 22:00
Thursday 07:00 - 22:00
Friday 07:00 - 15:00
Sunday 07:00 - 12:00

Telephone

+255621142591

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Wiki Books Publishers posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Wiki Books Publishers:

Share

Category