Afya na Sarombo

Afya na Sarombo Health & wellness section committed to help peole take control of their health physically

*️⃣PID NI NINI, DALILI, MADHARA NA TIBA YA UGONJWA HUO**️⃣PID(Pelvic Inflammatory Disease)Ni maambukizi katika via vya u...
17/12/2024

*️⃣PID NI NINI, DALILI, MADHARA NA TIBA YA UGONJWA HUO*

*️⃣PID(Pelvic Inflammatory Disease)

Ni maambukizi katika via vya uzazi)
Maambukizi haya yanaweza kuletwa na vyanzo mbali mbali k**a vile
🔸Magonjwa : kisonono ,Kaswendwe' Uti au fangasi rudizi
🔸Utoaji Mimba
🔸Matumizi ya madawa kiholela
🔸Vizuizi mimba
🔸Kua na wapenzi wengi
🔸Mtindo wa maisha(Ulaji mbovu na kutokuzingatia usafi) na nk

*️⃣DALILI ZA PID*

Huu ni ugonjwa hatari sana kwa wanawake na madhara yake ni makubwa

➖Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
➖Kuwashwa sehemu za siri
➖Uke kutoa harufu mbaya
➖Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
➖Uke kuwa wa ulaini sana
➖Maumivu wakati wa tendo la ndoa
➖Kuvurugika Kwa hedhi
➖Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
➖Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
➖Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
*️⃣MADHARA YA PID

🔸Ugumba
🔸Kansa ya shingo ya kizazi
🔸Mirija ya uzazi kuziba
🔸Majeraha kwenye mirija ya uzaz

Wasiliana nasi kwa ushauri zaidi na elimu bure

*️⃣Jua Kuhusu Miguu Kuwaka Moto✍🏻 Maumivu haya yanaweza kuwa ya mda mfupi au mda mrefu bila kuisha. Miguu yako itahisi h...
05/10/2024

*️⃣Jua Kuhusu Miguu Kuwaka Moto

✍🏻 Maumivu haya yanaweza kuwa ya mda mfupi au mda mrefu bila kuisha. Miguu yako itahisi hali ya kuungua na kufa ganzi. Maumivu huwa makali sana hasa nyakati za usiku.

➖Sababu za Miguu Kuwaka Moto_

📌Miguu kuwaka moto kwa sababu ya kisukari-Diabetic Neuropathy

Kisukari kinapokusumbua kwa mda mrefu kinapelekea mishipa midogo ya fahamu kuathirika. Mishipa inapoathirika inakwamisha pia usafirishaji wa taarifa ndani ya mwili

📌Matumizi Ya Pombe

Watu wanaokunywa sana pombe wapo kwenye hatari ya kuathirika mishipa ya fahamu, na hii kitaalamu inaitwa alcoholic neuropathy. Aina hii ya ganzi inaweza kusababisha maumivu kwenye unyayo na miguu kukosa nguvu.

📌Upungufu Wa Lishe.

Upungufu wa Vitamin B kwenye lishe yako kunaweza kupelekea upate tatizo la miguu kuwaka moto.

📌Tatizo Kwenye Tezi Ya Shingo-Thyroid

✍🏻Kuna changamoto mbili za tezi ya shingoni. Ni aidha tezi inafanya kazi chini ya kiwango- hypothyrpoidsm au inafanya kazi kupita kiasi-hypethyrodism. Tezi inapofanya kazi chini ya kiwango, yaweza kupelekea mishipa ya fahamu kuathirika na hivi kukufanya miguu yako iwake moto.

📌Magonjwa Ya Kuambukiza

✍🏻Mishipa ya fahamu inaweza kuathiriwa kutokana na magonjwa mbalimbali ya kuambukiwa, na hivo kukufanya upate ganzi kwenye miguu. Magonjwa haya ni pamoja na

▶️Ukimwi
▶️kaswende
▶️Mkanda wa jeshi

📌Fungus ya Miguu-athletes foot

✍🏻Hii ni aina ya fungus ya miguu inayoambukizwa kwa kasi sana, na inaathiri unyayo, mikono na kucha pia.

📌Magonjwa Ya Figo

✍🏻Kazi ya figo ni kuchuja mkojo na kutoa taka kupitia njia ya Mkojo na jasho. K**a figo hazifanyi kazi vizuri, inapelekea sumu kujikusanya kwenye mfumo wako na kupelekea hali ya ganzi.

📌Matibabu ya Chemotherapy

✍🏻Tiba hii inahusisha matumizi ya dawa zenye nguvu sana ili kuharibu seli za saratani.

📌Kukaa Kwenye Mazingira Yenye Sumu

✍🏻Unapofanya kazi maeneo yenye kemikali nyingi, mfano viwandani au kwenye mionzi yaweza kukupelekea uathirike mishipa ya fahamu na hivyo kupelekea miguu kuwaka moto.

**. Call/WhatsApp +255786281162

*𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 MAGONJWA YA 𝗠𝗜𝗙𝗨𝗣𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗨𝗡𝗚𝗜𝗢👇*🌿 Kusagika kwa Pingili za Mgongo🌿 Maumivu Makali ya Kiuno na Mgongo🌿 Mifupa Ku...
03/10/2024

*𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 MAGONJWA YA 𝗠𝗜𝗙𝗨𝗣𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗨𝗡𝗚𝗜𝗢👇*
🌿 Kusagika kwa Pingili za Mgongo
🌿 Maumivu Makali ya Kiuno na Mgongo
🌿 Mifupa Kusagana
🌿 Miguu Kuwaka Moto
🌿 Kuhisi Ganzi
🌿 Maumivu ya Shingo, Kiuno
🌿 Kukosa Uteute kwenye Magoti
🌿 Kushindwa Kutembea n.k

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗭𝗜𝗡𝗔𝗭𝗢𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗔𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗬𝗔 𝗠𝗜𝗙𝗨𝗣𝗔 (𝗢𝗘𝗧𝗘𝗢𝗣𝗢𝗥𝗢𝗦𝗜𝗦) 👇
✍️ Magonjwa ya figo.
✍️ Upungufu wa hormone za estrogen hii ni kwa wanawake hasa wale wenye (Menopause) kikomo cha hedhi
✍️ Upasuaji na kuondolewa (ovaries) mayai ya uzazi kwa wanawake
✍️ Anorexia uzito mdogo kupita kias APA ni kwa wale wanaopenda sana kujinyima kula kupita kiasi wakikwepa kunenepa sana na kufanya mazoezi kupita kiasi.

𝗔𝗧𝗛𝗔𝗥𝗜 𝗭𝗜𝗡𝗔𝗭𝗢𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗜𝗦𝗛𝗪𝗔 𝗡𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗔𝗠𝗢𝗧𝗢 𝗭𝗔 𝗠𝗜𝗙𝗨𝗣𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗨𝗡𝗚𝗜𝗢 👇
🍀 Mifupa kuvunjika kwa urahisi.
🍀 Kupinda Mgongo wakati wa Uzeeni
🍀 Maumivu makali ya Mifupa hasa Katika uti wa mgongo, Mabegani, Kifuani na katika Nyonga.
🍀 Ulemavu wa Kudumu
🍀 Kupata Tatizo la Kiharusi (Stroke)
🍀 Kifo 😥

𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
+255786281162

🍀TATIZO LA MAWE KWENYE MFUKO WA NYONGO🍀➖Nyongo ni kimiminika ambacho huzalishwa na ini.➖Nyongo husaidia kurahisisha usag...
26/09/2024

🍀TATIZO LA MAWE KWENYE MFUKO WA NYONGO🍀

➖Nyongo ni kimiminika ambacho huzalishwa na ini.

➖Nyongo husaidia kurahisisha usagaji wa mafuta.

➖Kimiminika hiki huhifadhiwa kwemye mfuko unaoitwa gallbalader.
Cholecystokinin (CCK) ni enzyme ambayo husaidia nyongo kutoka kwenye mfuko wake (gallbladder) kwenda kwenye utumbo mwembamba kwa ajili ya kusaidia kuvunjavunja vyakula vya mafuta.

➖Mawe kwenye nyongo (gallstones au Cholelithiasis).

➖Mawe haya hufanyika kwa muunganiko wa chembechembe za mafuta, madini ya calcium na chembechembe zingine zinazopatikana kwenye nyongo.

​🍀DALILI ZA TATIZO LA MAWE KWENYE NYONGO.🍀

✔️Maumivu ya tumbo.
✔️Kuhisi kutapika
✔️Maumivu chini ya bega hasa la kulia
✔️Tumbo kujaa gesi
✔️Chakula kutosagwa vizuri tumboni n.k

♦️MAKUNDI YA WATU WENYE HATARI YA KUPATA MAWE KWENYE NYONGO.

☑️Wenye umri kuanzia 40 na kuendelea
☑️Wenye uzito mkubwa kitambi na nyama uzembe
☑️Wanaopata lishe duni
☑️ Wanaopoteza uzito mkubwa kwa haraka sana kwa kujinyima kula
☑️Wajawazito
☑️Wagonjwa wa kisukari
☑️Familia zenye historia ya tatizo hili n.k.

Endelea kufuatilia page yetu kwa elimu zaidi na ushauri

*️⃣Je Unasumbuliwa na Mifupa na Maungio?**Tibu Mifupa na Maungio kwa siku 7**➖Maumivu yako ya muda mrefu ya viungo  na m...
01/09/2024

*️⃣Je Unasumbuliwa na Mifupa na Maungio?

**Tibu Mifupa na Maungio kwa siku 7**

➖Maumivu yako ya muda mrefu ya viungo na maungio Sasa yamepata suluhisho la kudumu.

➖Maumivu hayo yanaendelea kuleta madhara zaidi kwa kutoyapatia tiba ya uhakika itakayo rejesha viungo katika hali yake ya awali.

*️⃣Faida Za Tibalishe hii ni pamoja na:

●Kuboresha viungo na kuponesha sehemu zilizoumia kwenye viungo

●Huondoa maumivu ya ugonjwa wa mifupa (osteoarthritis) na uchakavu wa mifupa

●Huimarisha mupishano mzuri wa mifupa kwenye viungo wakati wa kutembea

●Huongeza virutubisho mhimu kwenye mifupa na viungo

●Husaidia kulainisha sehem za viungo kwa sababu ya uwepo wa chondroitin

●Husaidia kuimarisha tissue na misuli inayounganisha mfupa na mfupa

●Husaidia kuzalisha ute ute kwenye maungio (synovial fluid)

●Husaidia kabisaa kuzuia ugonjwa wa mifupa na viungo (osteoarthritis)

●Huwasaidia zaidi wazee kuwa kinga na magonjwa ya viungo na mifupa kwa kuwapatia virutubisho mhimu

●Husaidia kupona haraka kwa cartilage zilizo athirika

●Huondoa maumivi ya viungo na mgongo

●Ni nzuri zaidi kwa wanawake waliokoma hedhi

●Ni nzuri kwa waliosagika pingili za mgongo

Imetengenezwa kiasili kwa 100% na viambata asilia bila kuwa na madhara mengine mwilini mwako

🍀Kuwekewa chuma sio suluhisho la kudumu.

*️⃣Usiendelee kuvumilia maumivu ya mgongo magoti kiuno nyonga na miguu chukua hatua mapema.

Wasiliana nasi kwa number
📞+255786281162

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard!Shandu Khan Jr., China Mwawalo, Elias Coc
28/08/2024

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard!

Shandu Khan Jr., China Mwawalo, Elias Coc

*️⃣Maliza Kabisa Vidonda Vya Tumbo Ndani Ya Siku 30Tu**Usikubali KUENDELEA kuteseka na vidonda vya tumbo katika maisha Y...
24/08/2024

*️⃣Maliza Kabisa Vidonda Vya Tumbo Ndani Ya Siku 30Tu**

Usikubali KUENDELEA kuteseka na vidonda vya tumbo katika maisha YAKO.

**Kutana na Jumbe aliyesumbuka na Vidonda Vya tumbo toka akiwa kijana mdogo sasa ana umri wa miaka 45**

*️⃣Mara nyingi amekuwa akikutana na **Dalili hizi;

📌 Maumivu ya tumbo ya mara kwa mara.

📌 Kiungulia karibu na chembe ya moyo.

📌 Tumbo kujaa gesi

📌 Kichefu chefu na muda mwengine kutapika damu

📌 Kupata haja kubwa yenye rangi ya kahawiya au nyeusi yenye harufu kali na muda mwengine haja huchanganika na damu.

📌Kupoteza hamu ya kula kupungua uzito.

🍀Baada ya kutumia bidhaa zetu ameweza kuwa salama. Maana bila kupata tiba sahihi angeweza kupata;

➖Kansa ya tumbo (Gastric cancer).

➖ Kutoboka kwa kutoa za tumbo (Gastro-intestinal perforation).

➖Kuvuja damu kwa kuta za tumbo (Gastro-intestinal bleeding).

➖Kutapika damu (hematemesis).

➖Kupungukiwa na damu (anaemia).

➖Kupata Bawasiri

➖Tumbo kujaa gesi

➖Na hata Kupoteza maisha

*️⃣By The Way kuna supplement inayotibu vidonda vya tumbo ndani ya aiku 30 Tu. (Ulcers Kit) na inamaliza kabisa tatizo.

Bidhaa hizi utazipata ofisini kwetu Kimara Stop Over au utatumiwa popote ulipo.

Bado hujachelewa pata dozi yako sasa uondokane na tatizo la vidonda kabisa na Tuna punguzo la 10% kwa wiki moja

Wasiliana nasi;

📞+255786281162

*️⃣Fahamu Kuhusu Vyakula Hatari Kwa Mgonjwa wa Hepatitis A, B na CKwa wagonjwa wa hepatitis A, B, na C, ni muhimu kuepuk...
19/08/2024

*️⃣Fahamu Kuhusu Vyakula Hatari Kwa Mgonjwa wa Hepatitis A, B na C

Kwa wagonjwa wa hepatitis A, B, na C, ni muhimu kuepuka vyakula ambavyo vinaweza kuzidisha hali ya ini au kuathiri kinga ya mwili. Hapa kuna vyakula hatari kwa wagonjwa wa hepatitis:

♦️𝗣𝗼𝗺𝗯𝗲:
Pombe ni hatari sana kwa ini na inaweza kuharakisha uharibifu wa ini kwa wagonjwa wa hepatitis.

♦️𝗩𝘆𝗮𝗸𝘂𝗹𝗮 𝘃𝘆𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗺𝗮𝗳𝘂𝘁𝗮 𝗺𝗲𝗻𝗴𝗶:
Vyakula vyenye mafuta mengi, k**a vile vyakula vya kukaanga, vyakula vya haraka (fast food), na vyakula vya kusindikwa, vinaweza kuzidisha matatizo ya ini.

♦️𝗦𝘂𝗸𝗮𝗿𝗶 𝗻𝘆𝗶𝗻𝗴𝗶 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝘃𝘆𝗮𝗸𝘂𝗹𝗮
Sukari nyingi inaweza kusababisha mafuta kuongezeka kwenye ini (fatty liver), jambo ambalo ni hatari kwa wagonjwa wa hepatitis.

♦️𝗖𝗵𝘂𝗺𝘃𝗶 𝗻𝘆𝗶𝗻𝗴𝗶:
Chumvi nyingi inaweza kusababisha kuongezeka kwa shinikizo la damu na inaweza kuathiri ini, hasa kwa wale ambao tayari wana cirrhosis.

♦️𝗡𝘆𝗮𝗺𝗮 𝗻𝘆𝗲𝗸𝘂𝗻𝗱𝘂 𝗻𝗮 𝗶𝗹𝗶𝘆𝗼 𝘀𝗶𝗻𝗱𝗶𝗸𝘄𝗮 𝘇𝗶𝗻𝗮𝘄𝗲𝘇𝗮 𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗳𝘂𝘁𝗮 𝗻𝗮 𝘀𝗼𝗱𝗶𝗮𝗺𝘂 Nyama nyekundu na iliyosindikwa zinaweza kuwa na mafuta mengi na sodiamu nyingi, ambayo inaweza kuwa mbaya kwa ini.

♦️𝗩𝘆𝗮𝗸𝘂𝗹𝗮 𝘃𝗶𝘀𝗶𝘃𝘆𝗼 𝘀𝗮𝗳𝗶 𝗮𝘂 𝘃𝗶𝘀𝗶𝘃𝘆𝗼 𝗽𝗶𝗸𝘄𝗮 𝘃𝗶𝘇𝘂𝗿𝗶 :
Kwa wagonjwa wa hepatitis A, ni muhimu kuepuka vyakula ambavyo havijaandaliwa kwa usafi na vile visivyopikwa vizuri, kwani virusi vya hepatitis A huenea kupitia chakula na maji machafu.

♦️𝗩𝗶𝗿𝘂𝘁𝘂𝗯𝗶𝘀𝗵𝗼 𝗻𝗮 𝗱𝗮𝘄𝗮 𝘇𝗮 𝘇𝗶𝗮𝗱𝗮 𝘇𝗶𝘀𝗶𝘇𝗼𝗶𝗱𝗵𝗶𝗻𝗶𝘀𝗵𝘄𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗺𝗹𝗮𝗸𝗮 𝘆𝗮 𝗺𝗮𝗱𝗮𝘄𝗮 𝗱𝘂𝗻𝗶𝗮𝗻𝗶 𝗻𝗮 𝗻𝗰𝗵𝗶𝗻𝗶:
Baadhi ya virutubisho na dawa za ziada zinaweza kuwa na madhara kwa ini. Ni muhimu kushauriana na daktari kabla ya kutumia virutubisho vyovyote

*️⃣Ni muhimu kwa wagonjwa wa hepatitis kufuata lishe yenye usawa, yenye virutubisho muhimu, na kuepuka vyakula vinavyoweza kuathiri vibaya afya ya ini. Kila mgonjwa anaweza kuwa na mahitaji maalum, hivyo ni muhimu kupata ushauri

𝐤𝐰𝐚 𝐮𝐬𝐡𝐚𝐮𝐫𝐢 𝐰𝐚 𝐥𝐢𝐬𝐡𝐞 𝐧𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐭𝐢𝐛𝐚𝐛𝐮 𝐲𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐮𝐬𝐚𝐥𝐚𝐦𝐚 𝐤𝐰𝐚𝐤𝐨 𝐰𝐚𝐬𝐢𝐥𝐢𝐚na nami mshauri wako;
📞+255786281162 WhatsApp/Call/Text

*️⃣Nini Faida za Tikiti Kwa Mgonjwa wa Hepatitis?   maji ni moja ya matunda muhimu kwa mgonjwa wa hepatitis kutokana na ...
17/08/2024

*️⃣Nini Faida za Tikiti Kwa Mgonjwa wa Hepatitis?

maji ni moja ya matunda muhimu kwa mgonjwa wa hepatitis kutokana na faida zake nyingi kiafya.

*️⃣Hapa kuna faida kuu za matikiti maji kwa mgonjwa wa hepatitis:

🔸𝗞𝗨𝗢𝗡𝗗𝗢𝗔 𝗦𝗨𝗠𝗨 𝗠𝗪𝗜𝗟𝗜𝗡𝗜
Matikiti maji yana maji mengi, ambayo husaidia katika kusafisha ini kwa kuondoa sumu na taka mwilini. Hii ni muhimu kwa wagonjwa wa hepatitis kwani ini yao inaweza kuwa na uwezo mdogo wa kusafisha sumu.

🔸𝗞𝗨𝗜𝗠𝗔𝗥𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗙𝗨𝗠𝗢 𝗪𝗔 𝗞𝗜𝗡𝗚𝗔 :
Matikiti maji yana vitamini C kwa wingi, ambayo ni muhimu kwa kuimarisha mfumo wa kinga. Mfumo wa kinga wenye nguvu ni muhimu kwa mgonjwa wa hepatitis ili kupambana na maambukizi na kuboresha afya ya ini.

🔸𝗔𝗡𝗧𝗜𝗢𝗫𝗜𝗗𝗔𝗡𝗧
Matikiti maji yana lycopene na beta-carotene, antioxidants ambazo husaidia kupambana na uharibifu wa seli unaosababishwa na sumu na radicals huru. Hii inasaidia katika kulinda ini dhidi ya uharibifu zaidi.

🔸𝗞𝗨𝗢𝗡𝗗𝗢𝗔 𝗨𝗖𝗛𝗢𝗩𝗨 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗥𝗘𝗝𝗘𝗦𝗛𝗔 𝗡𝗚𝗨𝗩𝗨:
Mgonjwa wa hepatitis mara nyingi hupata uchovu na kupungukiwa nguvu. Matikiti maji yana madini ya potassium na vitamini B6, ambazo husaidia katika kurejesha nishati na kupunguza uchovu.

🔸𝗞𝗨𝗕𝗢𝗥𝗘𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗠𝗘𝗡𝗚'𝗘𝗡𝗬𝗢 𝗪𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗞𝗨𝗟𝗔.
Matikiti maji yana nyuzinyuzi ambazo husaidia kuboresha mmeng'enyo wa chakula. Hii ni muhimu kwa wagonjwa wa hepatitis kwani mmeng'enyo mzuri wa chakula unasaidia katika uondoshaji wa sumu mwilini na kupunguza mzigo kwenye ini.

🔸𝗞𝗨𝗕𝗢𝗥𝗘𝗦𝗛𝗔 𝗛𝗔𝗟𝗜 𝗬𝗔 𝗛𝗘𝗪𝗔
Matikiti maji yana asidi ya amino inayojulikana k**a citrulline, ambayo husaidia katika kuondoa amonia mwilini, sumu inayoweza kusababisha madhara kwa ini na kupunguza mzigo kwenye ini.

🍀Zingatia:
Tikiti maji ni tunda lenye faida nyingi kwa mgonjwa wa hepatitis kutokana na uwezo wake wa kusaidia katika kusafisha sumu mwilini, kuimarisha mfumo wa kinga, na kuboresha afya ya ini kwa ujumla. Ni muhimu kula matunda haya k**a sehemu ya lishe bora kwa mgonjwa wa hepatitis. Lakini haina maana ndio tiba ya hepatitis

Kwa Tiba na Ushauri Wasiliana nasi:

📞+255786281162

*️⃣Zifahamu Faida Za TUNDA la Apple Kwako Wewe Mwenye Changamoto Ya Homa Ya Ini/ Hepatitis ➖𝗧𝘂𝗳𝗮𝗮 ( #𝗮𝗽𝗽𝗹𝗲 ),ni k**a mat...
17/08/2024

*️⃣Zifahamu Faida Za TUNDA la Apple Kwako Wewe Mwenye Changamoto Ya Homa Ya Ini/ Hepatitis

➖𝗧𝘂𝗳𝗮𝗮 ( #𝗮𝗽𝗽𝗹𝗲 ),ni k**a matunda mengine, yana faida nyingi za kiafya ambazo zinaweza kusaidia wagonjwa wa hepatitis. Hepatitis ni hali ya kuvimba kwa ini ambayo inaweza kusababishwa na virusi, pombe, au sumu nyingine.

🍀Hapa kuna baadhi ya faida za tufaa kwa mgonjwa wa hepatitis:

✔️𝗩𝗜𝗧𝗔𝗠𝗜𝗡𝗜 𝗖:
Tufaa lina vitamini C, ambayo ni muhimu kwa mfumo wa kinga na kusaidia kupunguza uvimbe.

Pia lina na nyuzi, ambazo zinaweza kusaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari mwilini na kuboresha mmeng'enyo wa chakula.

✔️𝗔𝗡𝗧𝗜𝗢𝗫𝗜𝗗𝗔𝗡𝗧𝗦:
Tufaa lina k**a vile flavonoids na polyphenols, ambazo zinaweza kusaidia kupambana na uvimbe na uharibifu wa seli unaosababishwa na radicals huru.

✔️𝗡𝗬𝗨𝗭𝗜 𝗡𝗬𝗨𝗭𝗜 ( #𝗙𝗜𝗕𝗘𝗥 ):
Tufaa lina nyuzi ambazo zinaweza kusaidia katika kuboresha afya ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula na kusaidia kuondoa sumu mwilini.

✔️𝗖𝗛𝗢𝗥𝗘𝗦𝗧𝗢𝗟:
Kutumia tufaa mara kwa mara kunaweza kusaidia kupunguza kiwango cha mbaya (LDL) mwilini, ambayo ni muhimu kwa afya ya ini.

✔️𝗛𝗬𝗗𝗥𝗔𝗧𝗜ON:
Tufaa lina maji mengi, ambayo ni muhimu kwa mgonjwa wa kwa sababu ini linahitaji maji ya kutosha ili kufanya kazi zake vizuri.

*️⃣𝗡𝗜 𝗠𝗨𝗛𝗜𝗠𝗨 kwa mgonjwa wa hepatitis kuzingatia lishe bora na kushauriana na daktari au mtaalamu wa lishe kabla ya kufanya mabadiliko yoyote makubwa katika mlo wao. Matunda k**a tufaa yanaweza kuwa sehemu ya lishe yenye afya lakini si tiba kamili kwa hepatitis.

𝗞𝗪𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗡𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗞𝗔𝗠𝗜𝗟𝗜 𝗬𝗔 𝗛𝗘𝗣𝗔𝗧𝗜𝗧𝗜𝗦;

Wasiliana nasi : Call/WhatsApp +255786281162

*️⃣Je Nini Husababisha Virusi Kufa Mwilini Je ni Sababu za DNA na Kinga za Mwili?Tupate Sifa Hizi;☑️𝗗𝗔𝗪𝗔 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗜𝗠𝗔𝗥𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠...
16/08/2024

*️⃣Je Nini Husababisha Virusi Kufa Mwilini

Je ni Sababu za DNA na Kinga za Mwili?

Tupate Sifa Hizi;

☑️𝗗𝗔𝗪𝗔 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗜𝗠𝗔𝗥𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗙𝗨𝗠𝗢 𝗪𝗔 𝗞𝗜𝗡𝗚𝗔 𝗠𝗪𝗜𝗟𝗜:
Kinga ya mwili hutoa seli za kinga k**a vile seli za T na seli za B ambazo hushambulia na kuharibu virusi. Seli za T huua seli zilizoambukizwa na virusi, wakati seli za B huzalisha kingamwili ( ) zinazolenga na kuharibu virusi.

☑️𝗗𝗔𝗪𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗔𝗡𝗗𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗞𝗜𝗡𝗚𝗔 𝗠𝗪𝗜𝗟𝗜𝗡𝗜 (Antibodies): Kingamwili zinazozalishwa na mwili baada ya maambukizi au hushikana na virusi na kuwafanya wasiweze kuambukiza seli nyingine. Hii inaweza kusababisha virusi kufa.

☑️𝗗𝗔𝗪𝗔 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗔𝗠𝗕𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔 𝗩𝗜𝗥𝗜𝗦𝗜 (Antiviral Medications): Dawa hizi zinaweza kuzuia i kuzaliana au kuharibu virusi moja kwa moja. Kwa mfano, dawa za HIV zinaweza kupunguza uzalishaji wa virusi na kudumisha kiwango cha chini cha virusi katika mwili.

☑️𝗠𝗔𝗔𝗠𝗕𝗨𝗞𝗜𝗭𝗜 𝗬𝗔 𝗦𝗘𝗟𝗜 𝗔𝗦𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗠𝗪𝗜𝗟𝗜 (Natural Killer Cells): Hizi ni maalum za kinga ambazo zina uwezo wa kugundua na kuua seli zilizoambukizwa na virusi bila hitaji la kingamwili.

☑️𝗡𝗧𝗘𝗥𝗙𝗘𝗥𝗢𝗡𝗜:
Hii ni aina ya inayozalishwa na seli za mwili k**a majibu kwa maambukizi ya virusi. Interferoni husaidia kuzuia uzalishaji wa virusi na huongeza majibu ya kinga ya mwili dhidi ya virusi.

☑️𝗠𝗔𝗨𝗠𝗕𝗜𝗟𝗘 𝗬𝗔 𝗩𝗜𝗥𝗨𝗦𝗜:
Baadhi ya virusi vina mzunguko wa maisha mfupi ndani ya mwili wa binadamu na hufa haraka baada ya kuzaliana na kusambaa.

Kwa ujumla, virusi hufa ndani ya mwili wa binadamu kwa sababu ya shughuli za kinga ya mwili pamoja na msaada wa matibabu maalum. Hii inasaidia mwili kuondoa maambukizi na kurejea kwenye hali ya kawaida.

𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗦𝗨𝗟𝗨𝗛𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗟𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗨𝗠𝗨 - 𝗧𝗢𝗞𝗢𝗠𝗘𝗭𝗔 𝗠𝗔𝗔𝗠𝗕𝗨𝗞𝗜𝗭𝗜 𝗬𝗔 𝗩𝗜𝗥𝗨𝗦 𝗩𝗬𝗔 𝗛𝗢𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗜𝗡𝗜 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗨𝗗𝗔 𝗪𝗔 𝗪𝗜𝗞𝗜 𝟭𝟮 𝗛𝗔𝗗𝗜 24
Call/WhatsApp +255786281162

MGONJWA WA INI ZINGATIA ULAJI HUU ILI INI IFANYE  KAZI VIZURI*️⃣𝗛𝗮𝗽𝗮 𝗸𝘂𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗽𝗲𝗻𝗱𝗲𝗸𝗲𝘇𝗼 𝘆𝗮 𝘃𝘆𝗮𝗸𝘂𝗹𝗮 𝘃𝘆𝗮 𝗮𝘀𝘂𝗯𝘂𝗵𝗶 𝗸𝘄𝗮 𝗺𝗴𝗼𝗻𝗷𝘄𝗮...
16/08/2024

MGONJWA WA INI ZINGATIA ULAJI HUU ILI INI IFANYE KAZI VIZURI

*️⃣𝗛𝗮𝗽𝗮 𝗸𝘂𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗽𝗲𝗻𝗱𝗲𝗸𝗲𝘇𝗼 𝘆𝗮 𝘃𝘆𝗮𝗸𝘂𝗹𝗮 𝘃𝘆𝗮 𝗮𝘀𝘂𝗯𝘂𝗵𝗶 𝗸𝘄𝗮 𝗺𝗴𝗼𝗻𝗷𝘄𝗮 𝘄𝗮 𝗵𝗲𝗽𝗮𝘁𝗶𝘁𝗶𝘀:

*️⃣𝗠𝗔𝗧𝗨𝗡𝗗𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗕𝗢𝗚𝗔 𝗠𝗕𝗢𝗚𝗔:
🔸𝗧𝘂𝗳𝗮𝗵𝗮 ( ): K**a ilivyoelezwa, zina nyuzinyuzi na antioxidants ambazo ni nzuri kwa ini.
🔸𝗡𝗱𝗶𝘇𝗶 ( ): Zina potassium na ni rahisi kusaga.
🔸𝗕𝗲𝗿𝗿𝗶𝗲𝘀: K**a vile na strawberries, zina antioxidants nyingi.
🔸𝗣𝗮𝗽𝗮𝘆𝗮: Ina ya papain ambayo husaidia kumeng'enya chakula.

*️⃣𝗡𝗔𝗙𝗔𝗞𝗔 𝗡𝗭𝗜𝗠𝗔 (Whole Grains):
🔸𝗢𝗮𝘁𝗺𝗲𝗮𝗹: Ina nyingi na husaidia kudhibiti viwango vya sukari kwenye damu.
🔸𝗨𝗷𝗶 𝘄𝗮 𝗻𝗮𝗳𝗮𝗸𝗮 𝗸𝗮𝗺𝗮 𝗻𝗴𝗮𝗻𝗼 𝗻𝗮 𝘀𝗵𝗮𝘆𝗶𝗿𝗶: Una virutubisho na nyuzinyuzi nyingi.

*️⃣𝗣𝗥𝗢𝗧𝗜𝗡𝗜 𝗜𝗦𝗜𝗬𝗢 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 𝗠𝗘𝗡𝗚𝗜:
🔸𝗠𝗮𝘆𝗮𝗶: Chanzo kizuri cha protini. Ni bora kula mayai yaliyochemshwa au kupikwa bila mafuta mengi.ila si wagonjwa wote wanaruhusiwa tumia walio stage ya mwisho yani wameshapata kovu hawaruhusiwi tumia.
🔸𝗠𝗮𝘇𝗶𝘄𝗮 𝗻𝗮 𝗯𝗶𝗱𝗵𝗮𝗮 𝘇𝗮 𝗺𝗮𝘇𝗶𝘄𝗮: K**a vile maziwa yenye mafuta kidogo au mtindi ( ).

*️⃣𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 𝗬𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗔𝗙𝗬𝗔:
🔸𝗣𝗮𝗿𝗮𝗰𝗵𝗶𝗰𝗵𝗶 ( )**: Chanzo kizuri cha mafuta yenye afya.
🔸𝗞𝗮𝗿𝗮𝗻𝗴𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝗯𝗲𝗴𝘂: K**a vile almonds, walnuts, na chia seeds, ambazo zina omega-3 fatty acids.

*️⃣𝗩𝗜𝗡𝗬𝗪𝗔𝗝𝗜:
🔸𝗠𝗮𝗷𝗶: Muhimu sana kwa afya ya ini na kusaidia mwili kusafisha sumu.
- 𝗝𝘂𝗶𝘀𝗶 𝘆𝗮 𝗺𝗮𝘁𝘂𝗻𝗱𝗮 𝘇𝗶𝘀𝗶𝘇𝗼 𝗻𝗮 𝘀𝘂𝗸𝗮𝗿𝗮𝗶 𝗻𝘆𝗶𝗻𝗴𝗶: K**a vile juisi ya tufaha au ya papaya.
🔸𝗖𝗵𝗮𝗶 𝘆𝗮 𝗸𝗶𝗷𝗮𝗻𝗶: Ina antioxidants zinazosaidia afya ya ini.

*️⃣𝗠𝗙𝗔𝗡𝗢 𝗪𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗞𝗨𝗟𝗔 𝗖𝗛𝗔 𝗔𝗦𝗨𝗕𝗨𝗛𝗜

🔸 na Matunda": Oatmeal iliyopikwa na maziwa yenye mafuta kidogo, ikiambatana na vipande vya ndizi na berries.
🔸Yogurt na Parachichi": Kikombe cha yogurt yenye mafuta kidogo au mtindi, pamoja na parachichi iliyopondwa

Wasiliana nasi 📞+255786281162

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya na Sarombo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share