Petro Mlungu

Petro Mlungu instgram.com@cheka_kidogo_tu

Goddbless Lema Hapa anawaambia huyu Lissu akitoka hapa afungue Tuition (mafunzo ya ziada) kwa mawakili wa Serikali..!
16/09/2025

Goddbless Lema Hapa anawaambia huyu Lissu akitoka hapa afungue Tuition (mafunzo ya ziada) kwa mawakili wa Serikali..!

POLISI PEANENI BUSU NA HAKI - Inalipa.Polisi wakiwapenda raia, watalipwa upendo na ushirikiano kutoka kwa raia. Si fahar...
16/09/2025

POLISI PEANENI BUSU NA HAKI - Inalipa.

Polisi wakiwapenda raia, watalipwa upendo na ushirikiano kutoka kwa raia. Si fahari polisi kuchukiwa au kuogopwa na raia. Polisi anayeaminika, hupendwa na raia kuliko Kasisi au Shehe. Polisi anayependwa na raia hatafuti taarifa za uhalifu. Yeye huletewa taarifa.

1. Huko Marekani, wiki iliyopita, kijana Tayler Robinson amempiga risasi na kumwua Mwanaharakati Charlie Kirk wakati akihutubia wanafunzi wa Chuo Kikuu.

2. Kabla FBI hawajafika mbali katika upelelezi, walitangaza dau la dola laki moja ($ 100,000), k**a Tshs milioni 250 kwa mtu atakayesaidia kupatikana kwa muuaji wa Charlie Kirk.

3. Baba yake Tayler Robinson (Muuaji) alipata taarifa za mtoto wake kuhusika na mauaji hayo na kumripoti kwa FBI. Alik**atwa mara moja na akakiri kumuua Charlie Kirk.

4. Baba yake na Tayler Robinson pia ni Polisi na amefanya kazi hiyo kwa miaka 27. Kwa tukio hili akafanya maamuzi magumu matatu:

4.1 Akakataa kupokea dola laki moja zilizotolewa k**a zawadi kwa atakayesaidia kumpata muuaji wa Charlie Kirk.

4.2 Akajiuzuru kazi ya Upolisi kabla ya kustaafu na kukiri kuwa ameshindwa kuwa ‘Baba Mzuri” na mfano kwa mtoto wake.

4.3 Akaahidi kushirikiana na Mwendesha mashtaka kuwezesha mtoto wake apate adhabu ya kifo (Maximum sentence). Akakiri kuwa anafanya hivyo kuonyesha mfano kuwa POLISI NI RAFIKI WA HAKI.

Mwaka 1964, Baba wa Taifa alivunja jeshi la KAR baada ya kuasi na akaunda JWTZ. Alikiri baadaye kuwa jeshi lile liliasi kwa sababu “lilikuwa bado na sura na kasumba ya kikoloni” katika taifa lililo huru. Wakoloni
waliondoka na kuacha jeshi lenye tabia yao.

Kumpiga raia, mpiga kura, mlipa kodi, mlinzi wa taifa, na mwajiri wa polisi, NI KUASI, ni kunyea mbeleko au mtoto kung’ata t**i la mama.

Kwa kuwa wanaopiga inaonekana wanapenda kupigapiga, adhabu yao ni kuzuiwa kupiga.

Katika Taifa huru, ni heri polisi kupigwa na raia kuliko kumpiga raia asiye na hatia. K**a ana hatia apelekwe mahak**ani akapigwe kwa haki. Hiyo itafundisha vizuri.

TURUDI MEZANI
Penye Maridhiano…
RAIA WATAWALINDA POLISI

Mtakumbuka siku za Mwanzoni kabisa wakati kesi ya Mh Tundu Lissu inaanza kuna viongozi na wanachama wengi sana walipigwa...
15/09/2025

Mtakumbuka siku za Mwanzoni kabisa wakati kesi ya Mh Tundu Lissu inaanza kuna viongozi na wanachama wengi sana walipigwa na kuumizwa, moja ya watu waliopigwa siku hiyo alikuwepo huyu dada Lizzie Mambosho lakini hajawahi kuacha kwenda Mahak**ani,
Leo Tar. 15/09 Mahak**ani ameonekana akimsaidia k**anda aliyekuwa anapigwa katikati ya Polisi

Hongera sana k**anda Elizaebrth Mambosho kwa moyo wako wa kujali.

  Kikundi cha vijana wa Gen Z nchini Nepal kimefanikiwa kuchoma Ikulu ya Rais (Rastrapati Bhawan) baada ya awali kuchoma...
11/09/2025

Kikundi cha vijana wa Gen Z nchini Nepal kimefanikiwa kuchoma Ikulu ya Rais (Rastrapati Bhawan) baada ya awali kuchoma Bunge pamoja na majengo mengine ya serikali. Maandamano haya, yaliyoanza kupinga marufuku ya mitandao ya kijamii na kuongezeka hadi kuwa harakati kubwa dhidi ya ufisadi na upendeleo wa kisiasa, yamegeuka vurugu kubwa.

Baada ya Bunge kushambuliwa na kuteketea kwa moto, waandamanaji walielekeza hasira zao kwenye Ikulu ya Rais na kuichoma moto k**a ishara ya kupinga mamlaka. Jeshi la Nepal sasa limeingilia kati kurejesha utulivu, likionya kuwa uharibifu wa mali na uchomaji moto hautavumiliwa.

Source:Politico & Reuters

*🔴STORI FUPI 📖*Mtu mmoja alichinja ng’ombe mkubwa aliyenona, akawasha jiko la kuchomea nyama, akamwambia binti yake:“Ene...
10/09/2025

*🔴STORI FUPI 📖*

Mtu mmoja alichinja ng’ombe mkubwa aliyenona, akawasha jiko la kuchomea nyama, akamwambia binti yake:

“Enenda ukawataarifu ndugu, jamaa, marafiki na majirani zetu waje tufanye sherehe!”

Lakini badala ya kutoa mialiko ya sherehe, binti yake alikimbilia barabarani akapiga kelele:

“Tusaidieni! Nyumba ya baba yangu inateketea kwa moto!”

Baada ya muda mfupi, ni watu wachache tu waliojitokeza. Wengine walijifanya hawajasikia chochote.

Wale wachache waliofika walikula na kunywa mpaka usiku wa manane.

Baba akiwa na mshangao, akamuuliza binti yake:

“Wako wapi ndugu na jamaa zetu, marafiki na majirani?”

Binti akamwangalia baba yake na kumwambia:

“Waliokuja walikuja kutuokoa(kwasababu nilipiga kelele kwamba nyumba yetu inaungua), si kwa sababu ya sherehe. Hawa ndio watu wanaostahili kukaa mezani nasi.”

Funzo:

K**a hawajitokezi wakati wa shida zako, hawastahili kuwa nawe wakati wa shangwe yako.

ya hekima 📖

10/09/2025

Swali wadau katika watu 10 naona k**a 2 watakua ccm. Na 8 chadema, wewe unasemaje ?

NA NYIE MITANDAO YA CM MKOME KUNITUMIA HIZO SMS ZENU KUHUSU KUPIGA KURA,, MIMI HUO MUDA WA KIJINGA SINA!!
10/09/2025

NA NYIE MITANDAO YA CM MKOME KUNITUMIA HIZO SMS ZENU KUHUSU KUPIGA KURA,, MIMI HUO MUDA WA KIJINGA SINA!!

TUNDU LISSU ANAWABAGAZA SANA. Anaendelea Mhe. Lissu Sheria inasema mtuhumiwa akikataa kusign mahak**a iseme kuwa amekata...
09/09/2025

TUNDU LISSU ANAWABAGAZA SANA.

Anaendelea Mhe. Lissu

Sheria inasema mtuhumiwa akikataa kusign mahak**a iseme kuwa amekataa kwa kuandika.

Sasa mimi sijasign sijaweka gumba na wala hakuna paliposema nilikataaa kusign. Mambo yamevuruga kiujumla jumla tu.

S. 266(6) of CPA.Inasema mtuhumiwa ana haki ya proceedings kupewa hizo nyaraka zote.

Mimi nilichopewa rekodi ya Ukonga hii ambayo nimeikatalia na hii nyingine mlinipa hapa jana.

Kwahiyo sheria ilitaka nipewe kule Kisutu. Sasa nililetewa nyaraka ya uongo na nyingine nimepewa hapa wakati nilitakiwa kupewa zamani kabla ya mambo ya huku juu.

Kwenye rekodi niliambiwa nina haki ya kuita mashahidi nikifika mahak**a kuu.

Angalau hizi nyaraka nilizopewa zinasema hivyo.

S. 266(3) of CPA nilipaswa kupewa hati ya mash*taka na hiyo hati haionekani kila mahali.

Anaonesha manyaraka yote aliyonayo kuwa hati ya sh*taka haipo k**a sheria inavyosema.

Kwahiyo nataka kusema nini?

Yote ambayo nilipaswa kupewa sikupewa. Na sio tu sikupewa havipo kwenye nyaraka tulizonazo.

Sasa hii ilikuwa ni committal proceedings au ni kitu gani?

Kesi ya Dodoli Kapufi inasema hakimu wa mahakaama inayosikiliza committal proceedings, majaji wa mahak**a ya rufani wanasema hakimu huyo hapaswi kujiamulia anavyotaka mambo hayo. Afuate kanuni na taratibu.

Mamlaka ya hawa mahakimu kwenye committal iko limited, haiwezi kuamua kwenye masuala ya kisheria.

Naomba nimalizie sasa.

Tunakwenda wapi kuanzia hapa.

On the basis of all what I have said hakukuwa na committal. Ni ujinga mtupu.

Hii mahak**a haiwezi kuendelea kusikiliza kesi hii k**a committal haikufuata utaratibu na haikuchukuliwa kwa mujibu wa sheria.

Naomba mahak**a ifutilie mbali mwenendo mbali wa ile committal.

Na k**a itawapendeza mtoe amri kwamba hakukuwa na committal na mfute kila kilichopo ili leo na mimi nikalale nyumbani kwangu baada ya kuwa nimeshikiliwa kwa siku zaidi ya 150 nalala magereza.

Tusiendeleee kuhangaishana na haya makaratasi waliyotupatia hawa watu wa jamhuri na namna ambavyo mahak**a ya ukabidhi chini ya Hakimu Kiswaga ilivyotuharibia mambo.

Part 8 itaendelea kwenye post inayofuata.

Naomba nisaidie kushare ujumbe uende mbali.

Leo ndio hitimisho la siku ya mashujaa wetu ktk nchii hii..!!!walio kitumikia vyema chama hiki wapo waliopotezwa na wapo...
07/09/2025

Leo ndio hitimisho la siku ya mashujaa wetu ktk nchii hii..!!!
walio kitumikia vyema chama hiki wapo waliopotezwa na wapo walio upata ulemavu!!
Pia wapo walifungwa Magerezani bila hatia...
Lakini yote ni pamoja na kuitete na kuisimamia vyema mingi na kuilinda,
kwa nguvu zao zote kwa jasho na damu bila kumuogopa yoyote
Hadi kifo.
hakika mungu aendelee kuwapa mak**anda wetu pumziko jema na la milele huko walipo!!
Hakika mungu atalipa. Ile zamu iliyo mwagika iwe Dar es salaam au mkoa wowote ule ndani ya jamhuri ya nchi hii 🇹🇿😭😭😭

na tumuombe mungu wetu awndelee
Kuwatunza na kuwapa nguvu wale wenzetu ambao wapo magerezani
Hadi hivi sasa Akiwemo mwenyekiti wetu mh Tundu Lissu mungu aendelee kumlinda huko alipo na atoke akiwa salama 🙏🙏




Address

Kimara
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Petro Mlungu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Petro Mlungu:

Share