Makarius wilfred muba

Makarius wilfred muba Official account Facebook me
(2)

๐Ÿ‘•๐Ÿšจ OFFICIAL Jezi mpya wa Ugenini ya Athletic Club
11/07/2025

๐Ÿ‘•๐Ÿšจ OFFICIAL Jezi mpya wa Ugenini ya Athletic Club

11/07/2025

Duuh

11/07/2025
11/07/2025

Gift uya

11/07/2025

๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ

๐Ÿ“ท Pichani ni Beki kitasa wa Manchester United Lisandro Martinez akiwa mtaani kwao.Kamera zimemnasa akiwa ananyanyua CHUM...
11/07/2025

๐Ÿ“ท Pichani ni Beki kitasa wa Manchester United Lisandro Martinez akiwa mtaani kwao.

Kamera zimemnasa akiwa ananyanyua CHUMA chenye uzito wa Kilogram 130.

Na mwamba ana urefu wa futi 5 tu ๐Ÿ™Œ,Sasa jichanganye akuoneshe shoo

BREAKING ๐Ÿ”ด: Nicolas Jackson anayo nafasi ya kuondoka Chelsea FC katika dirisha hili la usajili bila kizuizi chochote end...
11/07/2025

BREAKING ๐Ÿ”ด: Nicolas Jackson anayo nafasi ya kuondoka Chelsea FC katika dirisha hili la usajili bila kizuizi chochote endapo atapata timu.

Source: [ Fabrizio Romano ]

BREAKING ๐Ÿ”ด: FIFA wametambulisha rasmi Rank za mataifa duniani Kwa ubora katika soka:Hii hapa Top 10 ya mataifa ya juu za...
11/07/2025

BREAKING ๐Ÿ”ด: FIFA wametambulisha rasmi Rank za mataifa duniani Kwa ubora katika soka:

Hii hapa Top 10 ya mataifa ya juu zaidi kwenye Rank:

1. Argentina ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ท
2. Spain ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ
3. France ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท
4. England ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ
5. Brazil ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท
6. Portugal ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น
7. Netherlands ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฑ
8. Belgium ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ช
9. Germany ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช
10. Croatia ๐Ÿ‡ญ๐Ÿ‡ท

๐ŸšจReal Madrid wameridhia Rodrygo kuondoka baada ya Kocha Xabi Alonso kumpa ruksa ya kutafuta Timu mpya, Real Madrid inasu...
04/07/2025

๐ŸšจReal Madrid wameridhia Rodrygo kuondoka baada ya Kocha Xabi Alonso kumpa ruksa ya kutafuta Timu mpya, Real Madrid inasubiri ofa rasmi kumuachia.๐Ÿ‘‹

Real Madrid wanataka ada ya ยฃ90m kumuuachia.๐Ÿ‘€

๐Ÿ’”๐ŸšจBao la Mwisho la Diogo Jota kwenye maisha yake ya soka alifunga dhidi ya Everton April 03 2025.๐Ÿ•Š๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡นNa Julai 03 Umauti u...
04/07/2025

๐Ÿ’”๐ŸšจBao la Mwisho la Diogo Jota kwenye maisha yake ya soka alifunga dhidi ya Everton April 03 2025.๐Ÿ•Š๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น

Na Julai 03 Umauti umemkuta Diogo Jota na Mchezo wa mwisho kwa Jota ulikuwa June 9 kwenye Final ya UEFA EURO alicheza dakika 15 tu dhidi ya Spain. ๐Ÿ‘‹.

Leo Julai 4 - 2025 Diogo Jota atapumzishwa kwenye Nyumba yake ya Milele huko Nchini Ureno alikozaliwa.

OFFICIAL: Klabu ya Azam FC Imethibitisha kumsajili beki Lameck Lawi kutoka Coastal Union Kwa mkataba wa Miaka miwili.
04/07/2025

OFFICIAL: Klabu ya Azam FC Imethibitisha kumsajili beki Lameck Lawi kutoka Coastal Union Kwa mkataba wa Miaka miwili.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Makarius wilfred muba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Makarius wilfred muba:

Share