Rais Wa Tabata

Rais Wa Tabata |Event Coordinator|Branding &Communication Expert|Labour Relations Advisor|Photographer|
โ—ผ More Move's,Less Announcement โ—ผ
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Inashangaza mno eti tuko bize kupanda bustani za maua kwa kisingizio kuwa mjini tuna maeneo finyu ya kufanya kilimo,Huku...
01/03/2026

Inashangaza mno eti tuko bize kupanda bustani za maua kwa kisingizio kuwa mjini tuna maeneo finyu ya kufanya kilimo,
Huku baadhi ya wenzetu wenye maeneo finyu pia lakini wameamua kulima mchicha/ Chinese cabbage (bustani ya Mbogamboga)
ndio walikuwa kimbilio kwenye hii Lockdown (lokidauni ) ya majuzi kutoka kwa majirani!

TUBADILIKE JAMANI!

wakati watoto wa kichina wanatengeneza robot na simu za mkononi sisi eti tunachuma ua la ' hibiscus' kuchunguza eti lina ' petals ' ngapi au ' panzi' ana miguu mingapi!

bora hata tuchunguze kwa nini mbu akipita mbele ya macho yako huwezi kumuona ( stealth) na anatoa sauti k**a ' jet fighter' ๐Ÿ˜ท

Alishika namba 1 kitaifa matokeo ya mitihani Kidato cha sita mwaka 2006, Elias Kihombo pichani aliyesoma PCM alipata div...
24/02/2026

Alishika namba 1 kitaifa matokeo ya mitihani Kidato cha sita mwaka 2006, Elias Kihombo pichani aliyesoma PCM alipata division 1.3 akiwa na A za juu katika masomo yote kuliko wanafunzi wengine wote wa michepuo mingine kitaifa. Alihitimu secondary ya Tosamaganga.Huyu jamaa alihitimu kidato Cha nne na alipataga 1.14 hapo hapo tosamaganga akiwa na Mabanda A za physics na Chemistry huku akipata B kwenye Mathematics na Biology hivyo hakuna aliyewaza kuwa huyu Comrade angekuwa T.O 2006 kwa kupata alama za juu zaidi.

Baada ya form six alijiunga na University Of Dar es salaam(UDSM) alichukua BSc In Telecommunication Engineering(4yrs) lakini ikiwa imebaki miezi michache kabla hajahitimu inaelezwa ali-disco katika hali ambayo imewaacha wengi na maswali vichwani

Hata hivyo, mitandaoni wengi waliosoma michepuo ya PCM na PCB wanamsifu sana Elias Kihombo kwamba alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kufundisha hasa Physics hata maswali magumu yaliyo watatiza wengi bila yeye kushika kitabu. Ali-solve maswali Kwa njia wanayojua wengi kisha wanasema alikuwa akitumia njia nyingine k**a tano wasizozijua au za kwake halafu jibu linakuja lilelile

Elias Kihombo alizunguka katika shule nyingi kongwe na maarufu za secondary zenye wanafunzi wanaotajwa kuwa na vipaji maalum aliwasaidia, alijaza watu wengi sana katika tuitions zake wanafunzi waliambiana akija wasikose kwenda. Imeeleza hata kabla hajahitimu degree yake ya kwanza tayari alitunga vitabu vyake vya Physics ambavyo viliuzika sana

Baada ya ku-disco UDSM, inaelezwa takribani miaka nane baadaye alirudi tena kuanza upya kusoma BSc In Petroleum Engineering ila kabla ya kuhitimu alifar!ki dunia 2020

Kwa siku kadhaa sasa, mitandaoni Elias Kihombo posts kumhusu zinasambaa sana wengi waliopitia mikononi mwake katika somo la Physics wakimtaja kwamba bila shaka yeye ndie Tanzania One maarufu zaidi na genius zaidi kuwahi kutokea Bongo. Inaelezwa shule nyingi za secondary zilitaka kumpa ajira ya kudumu kufundisha ila alikataa ili kufanya ziara zake za kufundisha tuition shule mbalimbali nchini

Nini mtazamo wako, kuna T.O mwingine mkali zaidi kumzidi Elias Kihombo?
:
Follow
:
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

HOPE UKO SAWA::Follow :   ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ    ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
30/10/2025

HOPE UKO SAWA
:
:
Follow
:
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

28/10/2025

Ila Mvua ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
Cc

27/10/2025

Halla Millennials

11/10/2025

Kaka Mimi Sijanya
Acha kujizima

10/10/2025

Bluetooth Connected,
Comrade's utaratibu ni uleule ukisikia unalia ufuate mpaka ulipo na ukifika aibu weka mfukoni k**a hakijatokea kitu.
:
:
Follow
:
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ *

08/10/2025

Ngoja kwanza Comrade, Kila mtu atachanganyikiwa kwa wakati wake..
Sema apumzike kwa amani mwanetu Emma.
:
:
Follow
:
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

07/10/2025

Sema Hawa watoto wenu wa Mayai yasiyo na baba jau sna
:
:
Follow
:
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ *

03/10/2025

Siku hizi hamlagi birian Ijumaa??
:
:
Follow
:
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ *

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Rais Wa Tabata posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share