13/05/2026
MAHUJAJI WA TANZANIA WAASILI MADINA KWA AJILI YA HIJJA 2026
As-salaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh. Ndugu zangu katika Uislamu, tunamshukuru Allah (SWT) kwa kufikisha hatua hii ya ujenzi wa Msikiti wa Utengule, ambapo msingi, kuta na boma tayari vimekamilika. Hata hivyo, bado tunahitaji juhudi za pamoja ili kukamilisha sehemu muhimu zilizobaki k**a karo la maji taka, vyoo, sehemu ya kutawadhia, pamoja na kazi za mwisho k**a milango, madirisha na mazulia ili msikiti uanze kutumika kikamilifu.
Tunaomba mchango wako wa sadaka ili kusaidia kukamilisha nyumba hii ya ibada, kwani kila mchango una thamani kubwa mbele ya Allah. K**a ilivyoelezwa katika Qurâan (Surah Al-Baqarah 2:261), anayetoa katika njia ya Allah hulipwa kwa wingi usio na kifani. Hii ni fursa adhimu ya kuwekeza katika akhera na kujipatia malipo makubwa kwa kushiriki katika ujenzi wa msikiti huu.
CHANGIA KUPITIA NAMBA:
M-PESA: 0769 756 490
YAS | MIX: 0715 868 990
HALOPESA: 0619 115 190
JINA: MUDATHIR ISSA YOYOTA