
09/07/2025
Dirisha la usajili lafunguliwa, vita ya vigogo yaanza rasmi
ILE vita ya vigogo vya soka nchini imeanza rasmi baada ya dirisha la usajili la Ligi Kuu, Championship, First League, Ligi Kuu ya vijana chini ya miaka 20 na Ligi Kuu ya Wanawake kufunguliwa...