MwanaSpoti

MwanaSpoti Gazeti #1 la michezo Tanzania. Web: www.mwanaspoti.co.tz FB: www.facebook.com/MwanaSpoti Twitter: https://twitter.com/MwanaspotiTZ

Nunua nakala yako kila Jumanne na Jumamosi upate habari motomoto kuhusu timu, mchezaji au spoti uipendayo. A Mwananchi Communications Limited Brand.

Dah! Pogba apata kimeo kingine
14/10/2025

Dah! Pogba apata kimeo kingine

KIUNGO wa AS Monaco, Paul Pogba amepata pigo baada ya kuumia na sasa ataendelea kusubiri kabla ya kucheza mechi yake ya kwanza kwenye kikosi hicho cha miamba ya Ufaransa.

Mabosi PSG wanamtaka Lamine Yamal
14/10/2025

Mabosi PSG wanamtaka Lamine Yamal

MABOSI wa Paris Saint-Germain wameripotiwa kuwa na imani kwamba watamng'oa Lamine Yamal kutoka Barcelona.

Madrid yadhamiria kumuuza Vinicius Jr Saudi Arabia
14/10/2025

Madrid yadhamiria kumuuza Vinicius Jr Saudi Arabia

Real Madrid imedhamiria kumuuza winga wao wa kimataifa wa Brazil, Vinicius Junior, 25, dirisha lijalo la majira ya kiangazi kwenda Saudi Arabia.

Yanga yacheza na akili kubwa
14/10/2025

Yanga yacheza na akili kubwa

Soma hapa

Camara ashtua akiiweka mtegoni Simba
14/10/2025

Camara ashtua akiiweka mtegoni Simba

Soma hapa

Magdalena arejea nchini, ataja sababu ya rekodi
14/10/2025

Magdalena arejea nchini, ataja sababu ya rekodi

Mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania na bingwa wa marathoni taifa upande wa wanawake, Koplo Magdalena Shauri amerejea nchini akitokea Marekani alikokwenda kushiriki mbio za Chicago Marathon.

Ahmed Ally aeleza mwarobaini kutokomeza jezi feki
14/10/2025

Ahmed Ally aeleza mwarobaini kutokomeza jezi feki

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, ameendelea na ziara yake mikoani yenye lengo la kutoa elimu kwa wanachama na mashabiki juu ya madhara ya kuvaa jezi feki, ambapo leo...

Cristhian Mosquera apewa mchongo Colombia
14/10/2025

Cristhian Mosquera apewa mchongo Colombia

BEKI wa kati, Cristhian Mosquera huenda akabadilisha soka lake la kimataifa kutoka Hispania hadi Colombia baada ya kufanya vizuri kabisa Ligi Kuu England akiwa na kikosi cha Arsenal

Gwiji Liverpool anajua tatizo la Wirtz
14/10/2025

Gwiji Liverpool anajua tatizo la Wirtz

KIUNGO wa zamani wa Ligi Kuu England, Danny Murphy amefunguka anafahamu ni kitu gani kinachomfanya Florian Wirtz wa Liverpool ashindwe kufanya vizuri tangu aliponaswa kwa pesa nyingi kutokea...

Kylian Mbappe amsononesha mama yake
14/10/2025

Kylian Mbappe amsononesha mama yake

MAMA wa mchezaji supastaa, Mbappe amesema mwanaye huyo ambaye ni mchezaji wa Real Madrid “hana maisha” nje ya mchezo wa soka kwa sababu hapati muda wa kuanzisha uhusiano.

Popat: Fedha za maandalizi CAF zinatusaidia sana
14/10/2025

Popat: Fedha za maandalizi CAF zinatusaidia sana

Makamu wa Rais wa Azam FC, Abdulkarim Mohamedamin Nurdin 'Popat' amethibitisha kwamba klabu yao imeanza kupokea mgao wa gharama za maandalizi kwenye mechi za hatua ya awali ya mashindano ya...

Address

Tabata Relini, Along Mandela Road
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MwanaSpoti posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Our Story

Nunua nakala yako upate habari motomoto kuhusu timu, mchezaji au spoti uipendayo. A Mwananchi Communications Limited Brand.