MwanaSpoti

MwanaSpoti Gazeti #1 la michezo Tanzania. Web: www.mwanaspoti.co.tz FB: www.facebook.com/MwanaSpoti Twitter: https://twitter.com/MwanaspotiTZ

Nunua nakala yako kila Jumanne na Jumamosi upate habari motomoto kuhusu timu, mchezaji au spoti uipendayo. A Mwananchi Communications Limited Brand.

Waafrika wanavyoitolea macho Ballon d'Or 2026
17/01/2026

Waafrika wanavyoitolea macho Ballon d'Or 2026

IMEPITA zaidi ya miaka 30 tangu George Weah awe Mwafrika wa kwanza kushinda Ballon d’Or.

Kilichombeba Jux Afrima 2026
17/01/2026

Kilichombeba Jux Afrima 2026

MIONGONI mwa stori zinazotamba Afrika kwa upande wa burudani ni tuzo za muziki za Afrima zilizotolewa wiki hii nchini Nigeria ikiwa ni mara ya tisa kufanyika.

Zubimendi azidi kumvuruga Arteta
17/01/2026

Zubimendi azidi kumvuruga Arteta

MIKEL Arteta mara chache hukosa maneno, lakini anaishiwa na la kusema kuhusu Martin Zubimendi.

Jurgen Klopp anataka timu mbili tu
17/01/2026

Jurgen Klopp anataka timu mbili tu

HABARI ndo hiyo. Jurgen Klopp yuko tayari kurejea kwenye ukocha endapo tu atapata mojawapo ya nafasi mbili; kuinoa Real Madrid au timu ya taifa ya Ujerumani.

Enzo Fernandez akili yote inawaza PSG
17/01/2026

Enzo Fernandez akili yote inawaza PSG

ENZO Fernandez anafikiria kwa makini mustakabali wake Chelsea na huenda akawashangaza wengi kwa kuachana na miamba hiyo.

Man United, Baleba ni suala la muda tu
17/01/2026

Man United, Baleba ni suala la muda tu

NDO hivyo. Manchester United inajiamini zaidi kuhusu uwezekano wa kumsajili kiungo wa Brighton, Carlos Baleba, dirisha la usajili wa majira ya joto.

Vigogo kibao Serie A wamtaka Harry Maguire
17/01/2026

Vigogo kibao Serie A wamtaka Harry Maguire

INTER Milan, Napoli na Fiorentina zimeingia vitani kuwania saini ya beki wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Harry Maguire, 32, katika dirisha hili la usajili.

Pedro, Barker mtego mmoja, wakitoboa hapo freshi
17/01/2026

Pedro, Barker mtego mmoja, wakitoboa hapo freshi

Soma hapa

Vita ya kupanda Ligi Kuu Bara inaendelea
17/01/2026

Vita ya kupanda Ligi Kuu Bara inaendelea

DURU la kwanza wa Ligi ya Championship, unahitimishwa rasmi wikiendi hii na baada ya jana kuchezwa mechi mbili, nyingine tatu zitachezwa leo Jumamosi na kesho Jumapili, huku vita kali ya kuwania...

Azam FC, Coastal Union kazi ipo Chamazi
17/01/2026

Azam FC, Coastal Union kazi ipo Chamazi

UHONDO wa Ligi Kuu Bara unaendelea tena usiku wa leo kwa kupigwa mechi moja ya kiporo kati ya wanafainali wa Kombe la Mapinduzi 2026, Azam FC na Wagosi wa Kaya, Coastal Union.

Waarabu waanza figisu, waipeleka Yanga 'mafichoni'
17/01/2026

Waarabu waanza figisu, waipeleka Yanga 'mafichoni'

Soma hapa

Ahoua asepa, apishana na wawili Simba
17/01/2026

Ahoua asepa, apishana na wawili Simba

Soma hapa

Address

Tabata Relini, Along Mandela Road
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MwanaSpoti posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Our Story

Nunua nakala yako upate habari motomoto kuhusu timu, mchezaji au spoti uipendayo. A Mwananchi Communications Limited Brand.