MwanaSpoti

MwanaSpoti Gazeti #1 la michezo Tanzania. Web: www.mwanaspoti.co.tz FB: www.facebook.com/MwanaSpoti Twitter: https://twitter.com/MwanaspotiTZ

Nunua nakala yako kila Jumanne na Jumamosi upate habari motomoto kuhusu timu, mchezaji au spoti uipendayo. A Mwananchi Communications Limited Brand.

Dodoma Jiji yatibua hesabu za Yanga
13/05/2026

Dodoma Jiji yatibua hesabu za Yanga

DODOMA Jiji imeikazia Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa leo, kwenye Uwanja wa Airtel mjini Singida na kuondoka na pointi tatu baada ya ushindi wa mabao 3-2.

Dodoma Jiji yapania kuivuruga Yanga kwenye mbio za ubingwa
13/05/2026

Dodoma Jiji yapania kuivuruga Yanga kwenye mbio za ubingwa

BINGWA mtetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC, leo anaingia uwanjani ugenini kupambana na Dodoma Jiji, katika mechi yenye hesabu kali.

Okello, Pedro waibuka vinara Ligi Kuu ya NBC mwezi Aprili
13/05/2026

Okello, Pedro waibuka vinara Ligi Kuu ya NBC mwezi Aprili

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Allan Okello, ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Aprili 2026 huku aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Pedro Goncalves akiibuka kocha bora wa mwezi huo.

Che Malone atikisa Algeria
13/05/2026

Che Malone atikisa Algeria

BEKI wa kimataifa wa Cameroon, Che Malone Fondoh, ametajwa kuwa Mchezaji Bora wa Kigeni wa Ligi Kuu ya Algeria 'Algerian Ligue 1' msimu wa 2025-2026, baada ya kuwa na kiwango bora kilichomweka...

Ishu ya kutumia waamuzi wa nje yachukua sura mpya, hoja sita zatajwa
13/05/2026

Ishu ya kutumia waamuzi wa nje yachukua sura mpya, hoja sita zatajwa

Soma zaidi hapa

Moto wa Clatous Chama Simba waibua jambo
13/05/2026

Moto wa Clatous Chama Simba waibua jambo

Soma ziadi hapa

Barker atia neno dili la beki Simba
13/05/2026

Barker atia neno dili la beki Simba

Soma zaidi hapa

Ian Wright kabaguliwa England, maisha na soka yakasonga mbele
13/05/2026

Ian Wright kabaguliwa England, maisha na soka yakasonga mbele

WAKATI wengi aliokuwa nao katika klabu za England na Scotland pamoja na timu ya taifa hawasikiki tena, Ian Wright, anaendelea kuvuma katika utangazaji k**a alivyotamba alipokuwa akicheza kandanda...

Wanasoka waonywa kula ovyo wakiwa Kambini
13/05/2026

Wanasoka waonywa kula ovyo wakiwa Kambini

IJUMAA iliyopita, ilielezwa kuwa wachezaji saba wa Azam FC walilazwa hospitali mjini Arusha mara baada ya kuugua ghafla kabla ya mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya TRA United. Ilidaiwa kuwa walikuwa...

Kifo cha Brandon Clarke chazua utata Marekani
13/05/2026

Kifo cha Brandon Clarke chazua utata Marekani

KIFO cha mchezaji wa zamani wa kikapu wa timu Memphis Grizzlies, Brandon Clarke kimeishtua dunia alipotangazwa juzi, Jumanne kufariki dunia, huku taarifa zaidi na uvumi ukiendelea kuibuka kuhusu...

Man United yamvutia kasi Valverde kumrithi Casemiro
13/05/2026

Man United yamvutia kasi Valverde kumrithi Casemiro

MANCHESTER United inaripotiwa kuangalia uwezekano wa kufanya uhamisho wa kushangaza wa kiungo wa Real Madrid, Federico Valverde, ambaye anaonekana kuwekwa kando katika kikosi hicho cha Hispania...

Address

Tabata Relini, Along Mandela Road
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MwanaSpoti posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share