MwanaSpoti

MwanaSpoti Gazeti #1 la michezo Tanzania. Web: www.mwanaspoti.co.tz FB: www.facebook.com/MwanaSpoti Twitter: https://twitter.com/MwanaspotiTZ

Nunua nakala yako kila Jumanne na Jumamosi upate habari motomoto kuhusu timu, mchezaji au spoti uipendayo. A Mwananchi Communications Limited Brand.

Kwanza Klopp, kisha Enrique
30/11/2025

Kwanza Klopp, kisha Enrique

LIVERPOOL itamgeukia kocha wake wa zamani, Jurgen Klopp kupiga mzigo upya huko Anfield itakapoamua kumfuta kazi Arne Slot kabla ya kutafuta namna kumpata kocha inayemtaka ambaye ni Luis Enrique.

Caicedo vs Rice... Bato la kibabe darajani!
30/11/2025

Caicedo vs Rice... Bato la kibabe darajani!

CHELSEA na Arsenal kinapigwa leo Jumapili, lakini hadithi kubwa ni kuhusu kocha Enzo Maresca anavyohaha kumdhibiti mtu ambaye yeye mwenyewe alimfanya kuwa hatari.

Gamondi awatega Wasauzi kwa Aucho
30/11/2025

Gamondi awatega Wasauzi kwa Aucho

Soma hapa

Pantev abadili gia, aanika atakavyoivaa Stade Malien
30/11/2025

Pantev abadili gia, aanika atakavyoivaa Stade Malien

Soma zidi hapa

Pedro asimulia ushujaa wa Diarra Yanga
29/11/2025

Pedro asimulia ushujaa wa Diarra Yanga

Soma zaidi hapa!

Ibenge kuja kivingine Azam
29/11/2025

Ibenge kuja kivingine Azam

AZAM haina raha! Imeingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa mguu mbaya ikiwa ni mara ya kwanza kufuzu katika historia yake huku ikiambulia vipigo viwili mfululizo.

Hatma ya Mo Dewji Simba pasua kichwa, kigogo afunguka
29/11/2025

Hatma ya Mo Dewji Simba pasua kichwa, kigogo afunguka

Soma hapa

Tanzania yatupwa nje Kombe la Dunia Futsal
29/11/2025

Tanzania yatupwa nje Kombe la Dunia Futsal

TIMU ya Taifa ya Wanawake Tanzania kwa Mchezo wa Futsal, imeondolewa kwenye michuano ya kuwania ubingwa wa Kombe la Dunia baada ya kupokea kichapo cha mabao 9-0 dhidi ya Japan.

Bosi Azam Mwenyekiti mpya Bodi Ligi Kuu
29/11/2025

Bosi Azam Mwenyekiti mpya Bodi Ligi Kuu

Rais wa Azam FC, Nassor Idrissa ‘Father’ amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) leo Novemba 29, 2025 jijini Dar es Salaam.

Karia achagua bao la Mzize, agomea la Sakho
29/11/2025

Karia achagua bao la Mzize, agomea la Sakho

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, Wallace Karia amesema kuwa amefurahishwa zaidi na bao la Clement Mzize lililoshinda Tuzo ya Bao Bora Afrika mwaka huu kuliko lile la nyota wa zamani...

Himid Mao freshi, Aziz KI apewa saa 24
29/11/2025

Himid Mao freshi, Aziz KI apewa saa 24

PRESHA kubwa kwa viongozi wa Azam na Wydad ilikuwa ni hatma ya afya ya viungo wao, Himid Mao na Stephanie Aziz KI waliogongana katika mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya timu hizo...

Upande wa pili wa Maua Sama ni kazi tu!
29/11/2025

Upande wa pili wa Maua Sama ni kazi tu!

Kati ya wanamuziki waliojaliwa sauti nzuri kutokea katika Bongofleva, basi Maua Sama naye yumo na amedhihirisha hilo kupitia nyimbo zake mahiri ambazo zimesikika kwa miaka zaidi ya 10 sasa.

Address

Tabata Relini, Along Mandela Road
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MwanaSpoti posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Our Story

Nunua nakala yako upate habari motomoto kuhusu timu, mchezaji au spoti uipendayo. A Mwananchi Communications Limited Brand.