Wasafi TV

Wasafi TV Official page For Wasafitv Channel
(7)

30/06/2026

CHAMA CHA SALONIST TANZANIA (CCST) KUZINDULIWA RASMI LEO

Leo , Jumanne Juni 30, 2026, Chama cha Salonist Tanzania (CCST) kitazinduliwa rasmi hafla itakayofanyika katika ukumbi wa EACCL, Ubungo, huku kikitarajiwa kuwa mwanzo wa ukurasa mpya kwa tasnia ya urembo nchini.

Tamasha hili litakuwa na matukio mbalimbali ya kuvutia, fursa za kujifunza, kubadilishana uzoefu na kuwakutanisha wadau wa tasnia ya urembo na utanashati kutoka maeneo mbalimbali ya Tanzania.

Waandaaji wanasema hatua kwa hatua wamekuwa wakiliandaa tamasha hilo ili liwe la kihistoria kwa watoa huduma za urembo nchini. Miongoni mwa malengo yake ni kuweka viwango vya taaluma, kutambua na kuthamini vipaji, pamoja na kukitangaza rasmi Chama cha Salonist Tanzania (CCST) kwa wadau wa tasnia ya urembo na utanashati.

Ni muda wa Masalonist kusimama pamoja na kuandika historia mpya ya tasnia ya urembo Tanzania


24/06/2026

LP PADS SASA RASMI YAPATIKANA TANZANIA

Leo wakati wa uzinduzi rasmi wa bidhaa za LP PADS nchini, kampuni ya LP PAD Trading Co. Limited pia imemtambulisha rasmi muigizaji wa tamthilia ya Jua Kali, Queen Masanja, kuwa balozi wa bidhaa hiyo.

LP PADS () imekuja ikiwa na dhamira ya kusaidia wanawake na wasichana kupata taulo za k**e zenye ubora wa hali ya juu kwa bei nafuu na upatikanaji rahisi, huku ikichangia kuboresha afya, usafi wa hedhi na ustawi wa wanawake nchini.

Akizungumza katika uzinduzi huo, balozi mpya wa LP PADS, , alieleza furaha yake kuwa sehemu ya kampeni inayogusa maisha ya wanawake wengi, akisisitiza umuhimu wa upatikanaji wa bidhaa bora za hedhi kwa kila msichana na mwanamke.

Mbali na hilo, kampuni imefungua fursa kwa mawakala, wasambazaji na wafanyabiashara kushiriki katika usambazaji wa bidhaa hizo, jambo linalotarajiwa kuongeza ajira na kuimarisha uchumi.

Kupitia LP PADS, lengo si kuuza bidhaa pekee, bali kuhakikisha kila mwanamke na msichana anapata taulo za k**e bora, salama na zinazopatikana kwa urahisi popote nchini

17/06/2026

BENKI YA EXIM TANZANIA NA AFRICARRIERS WASAINI USHIRIKIANO WA KURAHISISHA UMILIKI WA MAGARI KWA WATANZANIA

Benki ya EximTanzania leo imeingia katika ushirikiano wa kimkakati na kampuni ya Africarriers kwa lengo la kurahisha na kutoa dhamana nafuu za ununuzi wa magari kwa watu binafsi, wafanyabiashara, wamiliki wa biashara ndogo na za kati kote nchini.

Ushirikiano huu unadhihirisha dhamira ya dhati ya Benki ya Exim Tanzania ya kutoa zaidi ya huduma za kibenki kwa wananchi na kutoa suluhisho bunifu kwa wateja ili kukidhi mahitaji yao yanayobadilika kila siku na hatimaye kuchangia ukuaji wa uchumi wa taifa.

Kupitia huduma hii ya ufadhili wa magari, wateja wapya na waliopo wa Benki ya Exim Tanzania watapata mikopo ya kununua magari mapya na yaliyotumika ya aina mbalimbali, ikiwemo chapa zinazozidi kupata umaarufu kutokana na ubunifu na ubora wake k**a Jetour, Eicher, Sany na JAC Motors. Huduma hii inatoa masharti nafuu ya malipo ya awali pamoja na mpango mzuri na nafuu wa marejesho unaobadilika kulingana na uwezo wa mteja. Huduma hii inalenga kuwezesha umiliki wa magari kwa njia rahisi na ya gharama nafuu zaidi kwa watu binafsi, familia na wamiliki wa biashara mbalimbali.

16/06/2026

K**a Kanafunzi ndo hawa Mbona Maprofesa wa Zuchu Imbeju Masterclass kazi wanayo๐Ÿ˜€ ๐Ÿ™Œ

ZUCHU IMBEJU MASTERCLASS 2026 POWERED BY

15/06/2026

Unafanyia wapi service ya gari lako? ๐Ÿ”ง๐Ÿš—

Huduma sahihi za gari = usalama wa safari yako ni .
Usiweke maisha ya gari lako mikononi mwa janja janja ๐Ÿ˜„

Karibu Lulu Spear Party โ€” sehemu sahihi ya kila kitu cha gari lako!

๐Ÿ“ Tunapatikana Kariakoo, Swahili na Muhoro
Tunauza kwa jumla na rejareja:

* Lubricant
* Oil
* Spare parts

Na pia Mikocheni tunatoa huduma za garage:

Kubadilisha oil
Kupaka rangi magari
Urembo wa magari (car care & styling)

๐Ÿ‘‰ accessories

Usalama wa gari lako unaanzia hapa.

๐Ÿ“ž 0655333982

Lulu Spear Party โ€” Gari lako, usalama wako.

13/06/2026

๐Ÿ“บ: Kossy Banga - Things I Like

Nice Visuals

02/06/2026

Jisalili Sasa Zuchu iMbeju Masterclass upate maarifa ya vitendo kuhusu muziki, dancing, digital, branding, production na biashara.

Kutana na Zuchu, wasanii, producers, managers na wataalamu wa sekta ya muziki na sanaa, ujifunze nini kinahitajika ili kujenga safari ya kweli kwenye sanaa.

Form zinapatikana kwenye matawi yote ya Benki ya CRDB. Muulizie Afisa wa iMbeju na ujisajili.

Ada ya Usajili ni Tsh 500,000 tu.

Mafunzo yatafanyika kuanzia tarehe 12 hadi 16 June, kuanzia saa 4 asubuhi, Makao Makuu ya Benki ya CRDB, Upanga, Dar es Salaam.

Pia unaweza kujisajili online kupitia www.crdbbankfoundation.co.tzโ 

Zuchu iMbeju Masterclass! Jifunze, ukue na utimize ndoto yako.

28/05/2026

Kwa aliyoyafanya Steve Becker pale Unyamani anastahili makofi ๐Ÿ‘๐Ÿฝ au ile kauli ya โ€œTunamtaka MY WETUโ€ bado mnaisikia huko mtaani? ๐Ÿ˜๐Ÿคท๐Ÿฝโ€โ™‚๏ธ

Tune in ama Tutazame LIVE kupitia YOUTUBE channel yetu ya WASAFI MEDIA.

sportsarena88.9

28/05/2026

Kwa Dua hii kwa aliyemleta Steve Becker Simba Sc yeye si peponi moja kwa moja? ๐Ÿ˜๐Ÿคท๐Ÿฝโ€โ™‚๏ธ

Tune in ama Tutazame LIVE kupitia YOUTUBE channel yetu ya WASAFI MEDIA.

sportsarena88.9

Address

Kanisani Road, Mbezi Beach
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Wasafi TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Wasafi TV:

Shortcuts

Share