Wasafi TV

Wasafi TV Official page For Wasafitv Channel
(10)

02/06/2026

Jisalili Sasa Zuchu iMbeju Masterclass upate maarifa ya vitendo kuhusu muziki, dancing, digital, branding, production na biashara.

Kutana na Zuchu, wasanii, producers, managers na wataalamu wa sekta ya muziki na sanaa, ujifunze nini kinahitajika ili kujenga safari ya kweli kwenye sanaa.

Form zinapatikana kwenye matawi yote ya Benki ya CRDB. Muulizie Afisa wa iMbeju na ujisajili.

Ada ya Usajili ni Tsh 500,000 tu.

Mafunzo yatafanyika kuanzia tarehe 12 hadi 16 June, kuanzia saa 4 asubuhi, Makao Makuu ya Benki ya CRDB, Upanga, Dar es Salaam.

Pia unaweza kujisajili online kupitia www.crdbbankfoundation.co.tz⁠

Zuchu iMbeju Masterclass! Jifunze, ukue na utimize ndoto yako.

28/05/2026

Kwa aliyoyafanya Steve Becker pale Unyamani anastahili makofi 👏🏽 au ile kauli ya “Tunamtaka MY WETU” bado mnaisikia huko mtaani? 😁🤷🏽‍♂️

Tune in ama Tutazame LIVE kupitia YOUTUBE channel yetu ya WASAFI MEDIA.

sportsarena88.9

28/05/2026

Kwa Dua hii kwa aliyemleta Steve Becker Simba Sc yeye si peponi moja kwa moja? 😁🤷🏽‍♂️

Tune in ama Tutazame LIVE kupitia YOUTUBE channel yetu ya WASAFI MEDIA.

sportsarena88.9

27/05/2026

3112 Experience With Marioo

Toto Bad Haendi Tena Mombasa Anakuja Jiji La Miamba “Rock City” Mwanza Wajanja Wote Tunakutana Pale i Malaika Beach Resort Tarehe 30/5/2026

Burudani Kali Kutoka Mkali wa muziki wa kizazi kipyq Marioo CEO wa Bad Nation. Itapigwa Live Band Kuanzia Dar Kugumu Hadi Mombasa.!

Bila Kusahau Kwenye Mashine Atakuwepo Dj D Ommy , Huku Tbway 360 Host Wa Show Mzima.

Viingilio

Ukiwahi Mapema Ticket Kawaida 20k , Vip 50k , Ukichelewa Getini 30k Kwa 60k.

Vvip Sofa - 2m
Normal Vip Table - 1m
Normal Vip Table - 800k
Normal Vip Table - 500k
Normal Vip Table - 800k

Nunua Ticket Online - Nilipe App, Hustlesasa App , Otap App

For More Info Call : 0677 000 999

26/05/2026

MIAMALA YOTE YA KIBENKI YA EXIM SASA KUFANYIKA KUPITIA WHATSAPP

Benki ya Exim Tanzania imezindua huduma ya WhatsApp Banking, inayotajwa kuwa suluhisho jipya la kidijitali la huduma za kibenki kuzifanya kuwa za haraka, rahisi na zinazofikika, kupitia jukwaa la WhatsApp.

Huduma hii inawawezesha wateja wa benki ya Exim kupata huduma mbalimbali za kibenki ikiwemo kuangalia salio, kuhamisha fedha, kutuma fedha kwenda simu za mkononi, kufanya malipo kwa wafanyabiashara, kulipia huduma za serikali kupitia GePG, pamoja na huduma zinazohusiana na kadi za benki moja kwa moja kupitia WhatsApp.

Ili kupata huduma hii, mteja wa benki ya Exim anatakiwa kufanya mawasiliano kwa njia ya ujumbe kupitia namba rasmi ya WhatsApp ya Benki ya Exim Tanzania (+255 675 800 100).

21/05/2026

RJ THE DJ amesema mbali na muziki, pia anajihusisha na kilimo pamoja na ufugaji, akisisitiza kuwa ni muhimu kwa wasanii kuwa na vitega uchumi vya nje ya Musiki kwa ajili ya kujenga maisha yenye uhakika na maendeleo ya muda mrefu.

Meneja wa Zuchu na Mkuu wa Kitengo cha Kidigitali wa Lebo ya    ameambatana na Msanii wake kutangaza jambo kubwa muda hu...
21/05/2026

Meneja wa Zuchu na Mkuu wa Kitengo cha Kidigitali wa Lebo ya ameambatana na Msanii wake kutangaza jambo kubwa muda huu.

Endelea kufuatilia Mitandoa yetu ya Kijamii kwa Updates za moja kwa moja kutokea hapa Posta, Dar es Salaam.

18/05/2026

Eti kati ya Simba na Kapteni Zimbwe Jr, nani alikuwa anamchelewesha mwenzie?

Kutazama Kipindi cha SPORTS ARENA cha leo ingia katika YOUTUBE channel yetu ya WASAFI MEDIA.

18/05/2026

Mbeya mpo tayariiiiiiiiiiii???
RETRO TOUR inakuja mkoani Mbeya kuwasha burudani ya hadhi ya Kimataifa!

Ni Perfomance ya nyimbo gani ya Diamond unaisubiri kwa hamu?

Powered by

Tazama Kipindi cha MASHAM SHAM cha leo kupitia YOUTUBE channel yetu ya WASAFI MEDIA ukiwa popote duniani.
WASAFI MEDIA

Address

Kanisani Road, Mbezi Beach
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Wasafi TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Wasafi TV:

Share