Wasafi TV

Wasafi TV Official page For Wasafitv Channel
(11)

03/01/2026

🎥: Streamer Maarufu Kutokea Nchini Marekani 🇺🇸 Akiwa Jijini Johannesburg, Nchini Afrika Kusini Kwenye Ziara Yake Ya Barani Africa. Speed Anatarajia Kwenda Nchini Zingine Vile Kenya, Namibia N.k.

JE, Unatamani speed Aende Nchi Gani ⁉️

✍️:

🎥: Hatimaye Gari Ya Muimbaji Wa Nigeria O.B.O  🇳🇬 Imefika Nyumbani Kwake Nigeria. Gari Hiyo Aina Ya ‘Lamborghini Revuelt...
03/01/2026

🎥: Hatimaye Gari Ya Muimbaji Wa Nigeria O.B.O 🇳🇬 Imefika Nyumbani Kwake Nigeria. Gari Hiyo Aina Ya ‘Lamborghini Revuelto’ Aliinunua Mwaka Jana Kwa Thamani Ya $1.6M (Tsh Bilioni 4/=).

Weka Comment Yako Hapa !

✍️:

03/01/2026

💪: JE, Unampa Asilimia Ngapi Mtoto Wa Monalisa Hapa ⁉️

Muigizaji wa Marekani Will Smith na kampuni yake Treyball Studios Management Inc wamefunguliwa mashtaka ya unyanyasaji w...
02/01/2026

Muigizaji wa Marekani Will Smith na kampuni yake Treyball Studios Management Inc wamefunguliwa mashtaka ya unyanyasaji wa kingono na mpiga violin Brian King Joseph. Brian anadai kuwa Will Smith alimualika kujiunga na ziara ya dunia iitwayo “Based on a True Story: 2025” na wakati huo kulikuwa na vitendo vya kumwandaa kwa lengo la kumtumia kingono baadaye.

Pia Brian anasema kuwa Machi 2025 aliporudi hotelini alikuta chumba chake kimeingiliwa bila ruhusa, akakuta barua yenye maneno ya kutisha ya kimapenzi iliyosainiwa “Stone F”……pamoja na vitu visivyo vyake k**a wipes (Vitambaa Vya Kusafishia), chupa ya bia, mkoba mwekundu, dawa za HIV zenye jina la mtu mwingine, hereni na nyaraka za hospitali Za Mtu Asiyemjua.

Brian anadai aliogopa mtu huyo angerudi na kumfanyia vitendo vya kingono bila ridhaa yake, hali iliyomsababishia msongo wa mawazo Pamoja Na matatizo mengine ya akili. Kesi hiyo ipo katika Mahak**a ya Los Angeles.

✍️:

02/01/2026

Kwa mujibu wa KUTV 2 News, rapa wa Marekani NBA YoungBoy alisimamishwa na polisi katika jimbo la Utah, Marekani. Inaripotiwa kuwa kulikuwa na mwanamke ndani ya gari wakati polisi walipolisimamisha.

Polisi walikuwa na sababu ya kisheria (probable cause) ya kulisimamisha na kulikagua gari hilo, ambapo walikuta na kuk**ata dawa za kulevya. Hata hivyo, licha ya kuk**atwa kwa dawa hizo, NBA YoungBoy hatakabiliwa na mashtaka kuhusiana na tukio hilo.

Ikumbukwe kuwa hapo awali, NBA YoungBoy aliwahi kutumikia kifungo cha zaidi ya miezi 18 gerezani kwa makosa ya kumiliki silaha kinyume cha sheria, kabla ya kusamehewa na aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump.

✍️:

Rapa wa Marekani Blueface anaripotiwa kuuza nyumba yake yenye vyumba 5 vya kulala na mabafu 5 huko California kwa bei ya...
02/01/2026

Rapa wa Marekani Blueface anaripotiwa kuuza nyumba yake yenye vyumba 5 vya kulala na mabafu 5 huko California kwa bei ya takribani $1.2M (Tsh Bilioni 3/=). Sababu kubwa inayodaiwa kuchangia uamuzi huo ni shinikizo la kifedha linalotokana na kesi ya kisheria aliyopoteza.

Kwa mujibu wa taarifa, hakimu aliagiza mapato yake ya muziki (music royalties) yak**atwe, ili kuhakikisha analipa fidia ya dola 131,000. Fedha hizo anatakiwa kumlipa mama wa mtoto wa rapa Soulja Boy (Baby Mama) kwa kosa la kashfa/uchafuzi wa jina (defamation), yaani kutoa kauli au madai yaliyoharibu heshima au sifa yake.

Kwa kuwa mapato yake ya muziki yamezuiwa na mahak**a, Blueface anadaiwa analazimika kuuza mali zake, ikiwemo nyumba hiyo, ili kupata pesa za kulipa deni hilo na kushughulikia gharama nyingine za maisha au kesi.

Mwaka 2022 Blueface Alitoa Kauli Ya Kwamba Alilala Na Baby Mama Wa soulja Boy Siku Moja Kabla Ya Baby Shower Na Hivyo Kufunguliwa Mashtaka Ya Kashfa.

✍️:

02/01/2026
02/01/2026

📺: 🎤 - Pom Pom

Nice Visuals 💯

Unaipa Asilimia Ngapi ⁉️

01/01/2026

Hatimaye PILAU Limelika katika Jimbo la Kigoma mjini, na Kongole ziende kwa mBunge wa Jimbo hilo kwani watu wamejitokeza kwa wingi kushiriki tukio hilo la Kihistoria Mkoani humo.

Watu wamesheherekea, kula pampja na kuoata burudani kutoka wasanii mbalimbali akiwemo , na .

01/01/2026

Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Baba Levo, amewataja na David Balongo k**a marafiki zake waliamua kujitolea kusaidia ada za masomo kwa vijana wa Kigoma Mjini ambao hawakufanikiwa kupata mkopo wa elimu ya juu.

Baba Levo amesema kuwa wamechangia jumla ya shilingi milioni 103, ambapo M***a Mzenji ametoa shilingi milioni 63, huku Balongo akichangia shilingi milioni 40.

Amesisitiza kuwa mchango huo ni sehemu ya juhudi za pamoja kuhakikisha vijana wa Kigoma Mjini hawakatishwi ndoto zao za elimu kutokana na changamoto za kifedhaili waje kuusaidiabmji huo Baadae.

01/01/2026

Mheshimiwa Mbunge wa jimbo la Kigoma mjini ameahidi kuendelea kukutana na kula pamoja na wananchi wa jimboni kwake katika kila sikukuu,

Baada ya kushuhudia furaha na mshik**ano mkubwa wa wananchi wa Kigoma Mjini walivyojumuika kwa pamoja leo wakati wa kusherehekea Sikukuu ya Mwaka Mpya

Wasafi Media Tunapenda Kuwatakia Wote , Kheri ya Mwaka Mpya 2026 ! HAPPY NEW YEAR 🎊  #2026
31/12/2025

Wasafi Media Tunapenda Kuwatakia Wote , Kheri ya Mwaka Mpya 2026 ! HAPPY NEW YEAR 🎊 #2026

Address

Kanisani Road, Mbezi Beach
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Wasafi TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share