IK MZIKI

IK MZIKI IK MZIKI KISIMA CHA BURUDANI

“Maisha ya sanaa hayahitaji ukamilifu — yanahitaji uhalisia unaogusa moyo wa mtu mwingine.”— Aunt Ezekiel, Muigizaji wa ...
18/09/2025

“Maisha ya sanaa hayahitaji ukamilifu — yanahitaji uhalisia unaogusa moyo wa mtu mwingine.”
— Aunt Ezekiel, Muigizaji wa Filamu

📌 Ujumbe: Watu hawakumbuki urembo au ukamilifu wa sura, wanakumbuka jinsi ulivyowagusa kupitia uhalisia wa kazi yako.

🕐 Usikose NUKUU YA LEO kila siku saa 1:00 hapa IK MZIKI.

Je, uliwahi kumpoteza mtu ghafla bila hata nafasi ya kumuaga? Kifo na kuondoka kwa ghafla huacha majeraha yasiyopona.Ni ...
16/09/2025

Je, uliwahi kumpoteza mtu ghafla bila hata nafasi ya kumuaga?

Kifo na kuondoka kwa ghafla huacha majeraha yasiyopona.
Ni nani huyo kwako? Ulijisikiaje?

Ushairi ni sauti ya vizazi — unasema yale ambayo maneno ya kawaida hayawezi kufikisha.”“Mwandishi wa filamu anaunda duni...
16/09/2025

Ushairi ni sauti ya vizazi — unasema yale ambayo maneno ya kawaida hayawezi kufikisha.”

“Mwandishi wa filamu anaunda dunia mpya — muigizaji anaipa uhai.”

— Johari, Muigizaji na Mtayarishaji wa Filamu

Ujumbe: Kila kazi ya sanaa ni matunda ya ubunifu wa watu wengi. Shukrani ziende kwa kila mmoja nyuma ya pazia.

Usikose NUKUU YA LEO kila siku saa 1:00 hapa IK MZIKI.

15/09/2025

Mkali Badizo Mc Katuletea Fukuza Kunguru na Komasava Pamoja !!!

Baada ya ukimya wa muda mrefu, DJ maarufu wa Singeli DJ Mushizo hatimaye amevunja ukimya kupitia ukurasa wake wa Instagr...
15/09/2025

Baada ya ukimya wa muda mrefu, DJ maarufu wa Singeli DJ Mushizo hatimaye amevunja ukimya kupitia ukurasa wake wa Instagram. Ameandika ujumbe wenye kugusa moyo, akieleza jinsi safari yake ya kupona baada ya ajali ya moto ilivyokuwa ngumu lakini ikamfundisha thamani ya matumaini, imani na upendo wa karibu zake.

“Kila jeraha lina hadithi yake, na yangu ni ya mapambano na matumaini. Safari ya uponyaji haikuwa rahisi, kulikuwa na siku nilihisi kukata tamaa, lakini upendo, imani kwa Mungu na msaada wa watu wangu ulinipa nguvu mpya. Mungu amejibu maombi yetu,” aliandika DJ Mushizo.

Kupitia ujumbe huo, amewashukuru wote waliomuombea na kusimama nae kipindi kigumu. Sasa ameahidi kuanza ukurasa mpya wa maisha na kazi yake ya muziki.

Endelea kufuatilia taarifa na updates zake kupitia mitandao ya kijamii ya .

15/09/2025

Haya Sasa Mfu wa Kazi Kaingia Studio Mjiandae kwa Hit ikiwa na Mchina Mweusi !!!

Mfalme wa Singeli, Dullah Makabila, amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu ubunifu wa msanii mkubwa wa Bongo Fleva Mbosso....
15/09/2025

Mfalme wa Singeli, Dullah Makabila, amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu ubunifu wa msanii mkubwa wa Bongo Fleva Mbosso. Kupitia comment section ya mitandao ya kijamii, Dullah alikiri wazi kuwa kwa sasa kila kitu cha ubunifu kinachoonekana kwenye muziki kinamfanya kumuiga Mbosso, kwani hana namna nyingine.

Kauli hiyo ilikuja baada ya shabiki aliyejitambulisha k**a Hanscana kusema kuwa kile ambacho Dullah anajaribu kufanya tayari Mbosso alishafanya miaka kumi iliyopita. Badala ya kupuuzia, Dullah Makabila alijibu moja kwa moja na kukubali kuwa ni kweli kwa sasa Mbosso ndiye msanii anayebeba bendera ya ubunifu, na wasanii wengine wanajifunza kupitia kwake.

Ulishawahi kujivunia mtu, kisha akakuangusha mbele ya kila mtu? ”Ni aibu na uchungu vikichanganyika pamoja.Uliwahi kupit...
15/09/2025

Ulishawahi kujivunia mtu, kisha akakuangusha mbele ya kila mtu? ”

Ni aibu na uchungu vikichanganyika pamoja.
Uliwahi kupitia hali hii? Ilikuwaje?

Ushairi ni sauti ya vizazi — unasema yale ambayo maneno ya kawaida hayawezi kufikisha.”— Mrisho Mpoto, Msanii wa Mashair...
15/09/2025

Ushairi ni sauti ya vizazi — unasema yale ambayo maneno ya kawaida hayawezi kufikisha.”
— Mrisho Mpoto, Msanii wa Mashairi na Muziki

📌 Ujumbe: Maneno yana nguvu, lakini shairi lina nguvu zaidi. Linaweza kugusa roho, kuhamasisha taifa, na kuishi kwa vizazi.

🕐 Usikose NUKUU YA LEO kila siku saa 1:00 hapa IK MZIKI.

13/09/2025

Huyu Mwamba Kabisa Mtoto wa Uswahilini...Msaka Daily !!!!

Morogoro Singeli Finest, maarufu k**a Jay Combat, ameachia rasmi album yake mpya inayokwenda kwa jina la Sound of Africa...
13/09/2025

Morogoro Singeli Finest, maarufu k**a Jay Combat, ameachia rasmi album yake mpya inayokwenda kwa jina la Sound of Africa Chapter 2. Kazi hii ya kipekee imebeba jumla ya nyimbo 12 nzito, zinazochanganya sauti kali, mahadhi ya Singeli halisi na ubunifu wa kisasa unaoleta ladha mpya kwenye muziki wa Tanzania na Afrika kwa ujumla.

ALBUM Hii Hapa Bonyeza U Download | ALBUM Jay Combat – Sound Of Africa Chapter Two (12 Hit Song)

Album hii ni mwendelezo wa Sound of Africa ya awali, lakini sasa Jay Combat amepiga hatua kubwa zaidi kwa kuonyesha ubunifu na versatility yake. Wadau wa Singeli na mashabiki wa muziki wa kitanzania wanatarajia burudani ya hali ya juu kupitia project hii ambayo tayari imeanza kuzua gumzo mitaani.

Album Sound of Africa Chapter 2 inapatikana ndani ya IKMZIKI.COM kwa mashabiki wote wanaotaka kuisikiliza na kuipakua.

Usiache kutufollow mitandaoni kwa habari zaidi za muziki na burudani:

Facebook: IKMZIKI
Instagram: ikmzikitza
YouTube: IK MZIKI TV
Tik Tok : IK MZIKI

Address

Dar Es Salaam
0001

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IK MZIKI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to IK MZIKI:

Share