
21/07/2025
Mang’enya kutoka kwenye migogoro na maumivu makali ya mapenzi kwenda kwenye kuchukiwa na wanafamilia wake hadi kuwindwa na aliekuwa mpenzi wake ili auawe kwa kile anachoamini kuwa ni kisasi cha kumuulia wazazi wake.
Nini kitatokea kwa mpiga zeze huyu asie na hatia? Je kweli Mang’enya ni jumba la matatizo k**a mwenyewe anavyojiita? MAJIBU YOTE YAPO YOU TUBE,Endelea kuifuatilia Tamthilia ya ipo kuanzia sehemu ya kwanza hadi ya 35 na inaendelea kuruka kila jumatatu na alhamisi kupitia YOU TUBE Channel ya Saviora Tv Series - Link ya channel hii hapa
https://www.youtube.com/channel/UCGuNUT6-pFqy18AbRjsiJsA