Jamhuri Digital

Jamhuri Digital The official page of Jamhuri Media Company
Wanapoishia Wengine

Habari kubwa katika gazeti la Jamhuri, wiki hii.■Kunazidi kunoga■Jiji wanavyopiga fedha za umma■Kafulila : Kuna mambo tu...
16/09/2025

Habari kubwa katika gazeti la Jamhuri, wiki hii.
■Kunazidi kunoga
■Jiji wanavyopiga fedha za umma
■Kafulila : Kuna mambo tukiyazingatia tutakuwa tajiri
■Demokrasia inayong' oa viongozi makini
■Samia aamua
■Mwili ngao, Akili CAF

Zaidi ya muhtasari!

Pata gazeti pekeenla uchunguzi la Jamhuri, kwa Tsh1000/siku. Pia waweza kupakua au kusoma kupitia www.egazeti.co.tz

RAIS SAMIA AMPONGEZA ALPHONCR SIMBUHongera sana Alphonce Simbu kwa Medali ya Dhahabu ya ushindi wa Mbio Ndefu za Mashind...
15/09/2025

RAIS SAMIA AMPONGEZA ALPHONCR SIMBU

Hongera sana Alphonce Simbu kwa Medali ya Dhahabu ya ushindi wa Mbio Ndefu za Mashindano ya Kimataifa ya Riadha ya Tokyo. Ndani ya saa 2:09:48 umeandika sehemu ya historia ya Taifa letu.

K**a nilivyokusihi uliposhika nafasi ya pili kwenye Boston Marathon mwezi Aprili mwaka huu, ushindi wako ni matokeo ya nidhamu yako ya hali ya juu na kujituma kwa bidii kwenye kazi. Umekuwa mfano bora kuhusu nguzo hizo mbili za kazi kwa wanariadha na wanamichezo wenzako, na hata kwa wasiyo wanamichezo.

Endelea kuipeperusha vyema na kuiheshimisha bendera ya Taifa letu.

✈️ Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ametua leo Zanzibar Septemba 14, 2025 kuen...
14/09/2025

✈️ Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ametua leo Zanzibar Septemba 14, 2025 kuendelea na ratiba ya mikutano ya kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu.

Safari hii inalenga kuimarisha mshik**ano, kutoa sera na kuendelea kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu katika mchakato wa kidemokrasia.

💚💛

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, akizungumza na wafanyabiashara wakati wa uzinduzi wa Dawati Maalum la Uwezesh...
14/09/2025

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi, akizungumza na wafanyabiashara wakati wa uzinduzi wa Dawati Maalum la Uwezesha Biashara katika viwanja vya TRA. Uzinduzi huu unalenga kurahisisha huduma na kuimarisha biashara mkoani Mara. 🇹🇿💼

Hashtags:

14/09/2025

Jamal Tamimu, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kigoma, akitoa maoni kuhusu uchaguzi na maendeleo yanayotekelezwa na Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan. Wananchi wanasubiri kuona kazi zaidi za maendeleo zikifanikishwa! 🇹🇿✨

Hashtags:

Kigoma yazizima mkutano mgombea urais wa CCM
14/09/2025

Kigoma yazizima mkutano mgombea urais wa CCM










Mgombea ubunge Jimbo la Kigoma Mjini Baba Levo akiongoza maandamano ya vijana kwenda kwenye mkutano wa kampeni leo Septe...
14/09/2025

Mgombea ubunge Jimbo la Kigoma Mjini Baba Levo akiongoza maandamano ya vijana kwenda kwenye mkutano wa kampeni leo Septemba 14,2025










Na Mwandishi Wetu Jovina Massano – MusomaWajasiriamali mkoani Mara wameiomba Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutumia ki...
14/09/2025

Na Mwandishi Wetu Jovina Massano – Musoma

Wajasiriamali mkoani Mara wameiomba Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutumia kikamilifu dawati maalum la uwezeshaji k**a suluhisho la kero na changamoto zao ili kuongeza uelewa na ushirikiano wa kulipa kodi kwa hiari.

Uzinduzi huu ulifanywa na Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evans Mtambi Septemba 12, 2025 – hatua muhimu inayolenga kukuza biashara, kuongeza uaminifu, na kuimarisha sekta binafsi.

TRA imeahidi kutumia dawati hili kutoa elimu, kusikiliza changamoto na kusogeza huduma karibu na wafanyabiashara rasmi na wasio rasmi, ili kukuza uchumi wa Taifa.

💡 Kodi ni msingi wa maendeleo ya Taifa.
🤝 Ushirikiano wa serikali na sekta binafsi ndio njia pekee ya maendeleo.

13/09/2025
13/09/2025

🔥 “Kumekucha Uvinza! Kampeni za Mgombea Urais wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan” 🔥Uvinza yazizima 💚💛 Wananchi wajitokeza ...
13/09/2025

🔥 “Kumekucha Uvinza! Kampeni za Mgombea Urais wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan” 🔥
Uvinza yazizima 💚💛 Wananchi wajitokeza kwa wingi kumsikiliza Rais Samia Suluhu Hassan akieleza dira ya maendeleo. 🌍🙌

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jamhuri Digital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Jamhuri Digital:

Share

Category