Jamhuri Digital

Jamhuri Digital The official page of Jamhuri Media Company
Wanapoishia Wengine

11/01/2026

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, alisahau kwa muda kuwa yeye ni Rais na akaenda kawaida kabisa katika kituo cha manunuzi kununua simu.
Huu ni unyenyekevu wa kiwango cha juu sana — ingawa kwa umakini zaidi, ulinzi wake ulikuwa wapi?

11/01/2026

Lucy Antony Michael (35), mkazi wa Yombo Dovya, Mtaa wa Makangarawe wilayani Temeke, Dar es Salaam, amevamiwa na kushambuliwa na watu wasiojulikana akiwa anatoka nyumbani kwake. Tukio hilo limemsababishia majeraha katika maeneo mbalimbali ya mwili.

Lucy ni miongoni mwa waumini wa Kanisa Katoliki waliowahi kwenda katika Ubalozi wa Vatican nchini kuwasilisha barua ya malalamiko kuhusu mwenendo wa baadhi ya viongozi wa kanisa hilo. Amedai kuwa kabla ya kushambuliwa alikuwa akipokea simu na jumbe za vitisho, matusi na kejeli kutoka kwa watu mbalimbali.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumapili Januari 11, 2026, Lucy amehusisha tukio hilo na maoni aliyoyatoa hadharani kwa nia ya kujenga na kurekebisha mwenendo wa viongozi wa kanisa, maoni ambayo amesema yamepokelewa kwa hisia hasi na baadhi ya watu katika jamii.

Baada ya tukio hilo, Lucy amefungua malalamiko katika Kituo cha Polisi Makangarawe na kupewa RB No. MAR/RB/49/2026.

Mashuhuda wa tukio hilo wameelezea kusikitishwa na tukio hilo na kuitaka polisi kuchukua hatua stahiki dhidi ya wahusika pamoja na kuimarisha ulinzi na usalama katika eneo hilo. ⚖️


11/01/2026

11/01/2026

TAARIFA ZIWAFIKIE

11/01/2026

Rais wa Urusi, Vladimir Putin, ametoa kauli kali dhidi ya viongozi wa Ulaya akiwaita “nguruwe wadogo” wakati mazungumzo ya amani yanayoratibiwa na Marekani yakiendelea kuhusu vita vya Ukraine. ⚔️

Putin amelaumu utawala wa aliyekuwa Rais wa Marekani, Joe Biden, kwa kuchochea mgogoro huo, akidai Washington na washirika wake wa Ulaya walitarajia Urusi kudhoofika au kuangamia kwa haraka.

Amesema Urusi itaendelea kulinda na “kukomboa ardhi zake za kihistoria” kwa njia ya diplomasia au vita, huku akipinga madai kuwa nchi yake inalenga kupanua vita hadi Ulaya.

Kauli hii inazidi kuongeza mvutano wa kisiasa kati ya Urusi na nchi za Magharibi 🌐🔥


11/01/2026

Watu wamechafukwa huku 😅

11/01/2026

Marekani ndio nchi yenye Nguvu Duniani?

09/01/2026

Guinness World Records Yathibitisha Rekodi ya Kinywa Kikubwa Duniani
Guinness World Records imethibitisha kuwa Francisco Domingo Joaquim kutoka Angola, maarufu k**a Chiquinho, anashikilia rekodi ya kinywa kipana zaidi duniani (unstretched).
Kinywa chake kimepimwa rasmi kufikia sentimita 17, rekodi iliyothibitishwa mbele ya waamuzi wa Guinness.
Uwezo wake wa kufungua kinywa kwa upana wa kipekee ulimfanya kuvuma mitandaoni na hatimaye kuingia kwenye vitabu vya historia za dunia 🌍
👏 Rekodi hii ni ushahidi kwamba vipaji vya kipekee vinaweza kumweka mtu kwenye ramani ya dunia!

09/01/2026

😅😅😅😅😅

09/01/2026

Somalia Land

09/01/2026

Watu wa Dar es salaam hawana hamu ya Kuingia barabarani.
Tuitunze Amani Yetu

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jamhuri Digital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Jamhuri Digital:

Share

Category