The Beat House Music

The Beat House Music this page deals with entertainment things

Nimesikia baadhi ya mashabiki wakisema eti...Unyonge sasa ufikie mwisho....huu upendeleo wa kilabu kimoja ndio kisikiliz...
13/06/2025

Nimesikia baadhi ya mashabiki wakisema eti...Unyonge sasa ufikie mwisho....huu upendeleo wa kilabu kimoja ndio kisikilizwe kwa kila kinachohitaji katik soka letu na kufanya vilabu vyengine vyote viwe havina thamani sasa ifikie mwisho......msimamo wa mashabiki wa simba nimewasikia wakinong'ona eti...ikiwa viongozi wao watakubali kucheza tar 25 na sio tarehe 15 june 2025 basi sasa ni wakati sahihi wa washabiki kuwaachia timu yenu wenyewe na wao wakae kando maana hamupo pamoja na maumivu ya mashabiki...uonevu wa wazi waathirika ni mashabiki......mashabiki wanasubiri tamko letu viongozi wao........

"Kucheza mechi 4 ndani ya siku 10 sio jambo rahisi, tuna siku mbili katikati ya mechi ya Pamba na KMC, sio rahisi kuingi...
05/05/2025

"Kucheza mechi 4 ndani ya siku 10 sio jambo rahisi, tuna siku mbili katikati ya mechi ya Pamba na KMC, sio rahisi kuingia na kikosi kile kile
"Leo tutafanya tathmini, kesho tutapokea ripoti ya madaktari na kufanya recovery ili tupate kikosi cha kuikabili Pamba"
🎙️ Fadlu

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when The Beat House Music posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category