Tanzania Ya Samia

Tanzania Ya Samia 🔥 Powered by youth. Inspired by Mama Samia.
💪 Digital force for truth, change & national pride.
✊️The Pride Of CCM & President Samia💚💛.

Our Services are | TRAVEL| TOUR| RENTAL| BOOKINGS| AIR TICKETING. In Partnership with SEMPA EXPERTS (Tours & Car Rental)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa ...
25/10/2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Afrika (AUEOM) Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Botswana Mhe. Mokgweetsi Masisi Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 25 Oktoba, 2025.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Ujumbe wa Mi...
25/10/2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Ujumbe wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Afrika (AUEOM) ulioongozwa na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Botswana na Kiongozi wa Misheni hiyo, Mhe. Mokgweetsi Masisi, Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 25 Oktoba, 2025.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Ujumbe wa Misheni...
25/10/2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Ujumbe wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi kutoka Umoja wa Afrika (AUEOM) ulioongozwa na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Botswana na Kiongozi wa Misheni hiyo, Mhe. Mokgweetsi Masisi, Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 25 Oktoba, 2025.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

25/10/2025

KUPIGA KURA NI HAKI YETU YA MSINGI
Tarehe 29 Oktoba, tujitokeze asubuhi mapema kutekeleza haki hii muhimu. Tuchague kiongozi mwenye maono, mzalendo na mwenye kutujali Dkt. Samia Suluhu Hassan. Tanzania ni nchi ya amani, hakuna haja ya maandamano. Tuwe mfano wa Demokrasia yenye Utulivu na Upendo!

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

24/10/2025

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan alipozungumza na kuomba kura kwa umati wa Wananchi wa Mnazi Mmoja Zanzibar wakati wa Kampeni Za uchaguzi Mkuu leo October 25,2025.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Matukio mbalimbali ya picha wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Cha...
24/10/2025

Matukio mbalimbali ya picha wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan alipozungumza na Umati wa Wananchi Dar es salaam waliofurika Mnazi Mmoja Zanzibar leo tarehe 24 Oktoba 2025.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Matukio moalimbali ya picha wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Cha...
24/10/2025

Matukio moalimbali ya picha wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan alipozungumza na Umati wa Wananchi Dar es salaam waliofurika Mnazi Mmoja Zanzibar leo tarehe 24 Oktoba 2025.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Mgombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan awas...
24/10/2025

Mgombea nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan awasili kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za uchaguzi mkuu Mnazi Mmoja Zanzibar leo tarehe 24 Oktoba 2025.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Shamrashamra za wananchi wa Mjini Magharibi Zanzibar wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungan...
24/10/2025

Shamrashamra za wananchi wa Mjini Magharibi Zanzibar wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan leo October 25,2025.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan Katika m...
24/10/2025

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan Katika matukio tofauti ya Picha alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Abeid Amani Karume Visiwani Zanzibar tayari kwa Mkutano Mkubwa wa Kampeni Za Uchaguzi Mkuu Uwanja wa Mnazi mmoja leo October 24,2025.

'
Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tanzania Ya Samia posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Tanzania Ya Samia:

Share

Category