Tanzania Ya Samia

Tanzania Ya Samia 🔥 Powered by youth. Inspired by Mama Samia.
💪 Digital force for truth, change & national pride.
✊️The Pride Of CCM & President Samia💚💛.

Our Services are | TRAVEL| TOUR| RENTAL| BOOKINGS| AIR TICKETING. In Partnership with SEMPA EXPERTS (Tours & Car Rental)

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabid...
26/09/2025

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Ilani kwa Wagombea Ubunge wa mkoani Mtwara Mjini tarehe 26 Septemba, 2025.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan alipozun...
26/09/2025

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan alipozungumza na Kuomba kura kwa Umati wa Wananchi wa Mtwara waliofurika kwenye Viwanja vya Sabasaba wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu leo September 26,2025.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan katika M...
26/09/2025

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya picha akifurahia burudani kwenye kampeni za uchaguzi viwanja vya Saba saba mkoani Mtwara tarehe 26 Septemba, 2025.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Mgombea nafasi ya Rais kwa tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili viwanja vya Saba saba kwenye mkutano wa hadh...
26/09/2025

Mgombea nafasi ya Rais kwa tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili viwanja vya Saba saba kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za uchaguzi kwa CCM kuzungumza na maelfu ya wananchi waliohudhuria.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Matukio mbalimbali katika picha wakati wa mapokezi ya Mgombea nafasi ya Rais kwa tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan ...
26/09/2025

Matukio mbalimbali katika picha wakati wa mapokezi ya Mgombea nafasi ya Rais kwa tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan viwanja vya Saba saba Mtwara Mjini kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za uchaguzi mkuu kwa CCM.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Shamra shamra za wananchi wa Mtwara mjini kwenye mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
26/09/2025

Shamra shamra za wananchi wa Mtwara mjini kwenye mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika katika viwanja vya Sabasaba mkoani Mtwara tarehe 26 Septemba, 2025.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Maelfu ya wananchi wajitokeza kwenye viwanja vya saba saba Mtwara Mjini kumsikiliza Mgombea nafasi ya Rais kwa tiketi ya...
26/09/2025

Maelfu ya wananchi wajitokeza kwenye viwanja vya saba saba Mtwara Mjini kumsikiliza Mgombea nafasi ya Rais kwa tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitoa mkono wa pole kwa Rais wa Zanzibar na Mwen...
26/09/2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitoa mkono wa pole kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi pamoja na familia nyumbani Bweleo, Mkoa wa Mjini Magharibi, kufuatia kifo cha kaka yake Ndg. Abbas Ali Mwinyi, kilichotokea jana tarehe 25 Septemba 2025. Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa amani🙏

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan alipozun...
25/09/2025

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan alipozungumza na Kuomba kura kwa Umati wa Wananchi wa Lindi Mjini waliofurika kwenye Uwanja wa Ilulu wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu leo September 25,2025.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza wakati wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta...
25/09/2025

Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza wakati wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan alipofika Lindi Mjini kwenye Kampeni za Uchaguzi Mkuu leo September 25,2025.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Viongozi mbalimbali wa Vyama vya Upinzani wakiongozwa na Ndg.Salum Baruan walipoamua kwa akili zao timamu kuunga Mkono j...
25/09/2025

Viongozi mbalimbali wa Vyama vya Upinzani wakiongozwa na Ndg.Salum Baruan walipoamua kwa akili zao timamu kuunga Mkono jitiada za CCM wakati wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan alipozungumza na Kuomba kura kwa Umati wa Wananchi wa Lindi Mjini leo September 25,2025.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Matukio mbalimbali ya Picha wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Cha...
25/09/2025

Matukio mbalimbali ya Picha wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan Lindi Mjini leo September 25,2025.

Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: ||
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || ||
'

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tanzania Ya Samia posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Tanzania Ya Samia:

Share

Category