AbM Media

AbM Media Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AbM Media, Media/News Company, Magole, Dar es Salaam.

🚨 π—’π—™π—™π—œπ—–π—œπ—”π—Ÿ & π—–π—’π—‘π—™π—œπ—₯π— π—˜π——Simba imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji Augustine Okajepha raia wa Nigeria  kutoka Rivers Uni...
06/07/2024

🚨 π—’π—™π—™π—œπ—–π—œπ—”π—Ÿ & π—–π—’π—‘π—™π—œπ—₯π— π—˜π——

Simba imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji Augustine Okajepha raia wa Nigeria kutoka Rivers United kwa mkataba wa miaka mitatu.

Okajepha ni mchezaji kijana mwenye umri wa miaka 20 aliyetunukiwa kipaji kikubwa katika idara ya kiungo wa ulinzi.

AbM Media

Uwanja wa KMC uliopo Mwenge manispaa ya Kinondoni upo tayari kwa ajili ya michuano ya kombe la KAGAME 2024,Uwanja huu ut...
06/07/2024

Uwanja wa KMC uliopo Mwenge manispaa ya Kinondoni upo tayari kwa ajili ya michuano ya kombe la KAGAME 2024,

Uwanja huu utatumika kwa mchezo wa ufunguzi ambapo utazikutanisha Al Wahda πŸ‡ΈπŸ‡© dhidi ya JKU πŸ‡ΉπŸ‡Ώ (Z'bar).

AbM Media

π—§π—›π—”π—‘π—ž 𝗬𝗒𝗨 🚨 ; Uongozi wa Yanga tayari umeachana na wachezaji hawa, 1'  JOSEPH GUEDE2'  SKUDU MAKUDUBELA 3'  OKRAH4'  JOY...
06/07/2024

π—§π—›π—”π—‘π—ž 𝗬𝗒𝗨

🚨 ; Uongozi wa Yanga tayari umeachana na wachezaji hawa, 1' JOSEPH GUEDE
2' SKUDU MAKUDUBELA
3' OKRAH
4' JOYCE LOMALISA
5' ZAWADI MAUYA
6' METACHA MNATA

AbM Media

Wachezaji wa Azam FC tmwameanza kuwasili kambini hapo jana tarehe 05 July, Teari kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya w...
05/07/2024

Wachezaji wa Azam FC tmwameanza kuwasili kambini hapo jana tarehe 05 July, Teari kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2024/25.

FOLLOW UKURASA HUU KWA HABARI ZAIDI ZA MICHEZO.

AbM Media

Kutoka kwa mchambuzi mkongwe wa michezo Shaffii DaudaAbM Media
05/07/2024

Kutoka kwa mchambuzi mkongwe wa michezo
Shaffii Dauda

AbM Media

Baada ya kiungo mshambuliaji Luis Miquissone (29) kuachana na Simba SC, nyota huyo amerejea katika kikosi chake cha zama...
05/07/2024

Baada ya kiungo mshambuliaji Luis Miquissone (29) kuachana na Simba SC, nyota huyo amerejea katika kikosi chake cha zamani cha UD Songo.

Nyota huyo wa Msumbiji amerejea katika kikosi hicho cha nchini kwao kwa kusaini mkataba wa miaka miwili na vigogo hao wa Msumbiji.

FOLLOW UKURASA HUU KWA HABARI ZAIDI ZA MICEZO.

AbM Media

Klabu ya fc Saint lupopo imelitaka shirikisho la spiral wa miguu ncini Congo Kutotoa (ITC) ya mchezaji chadrak boka kwen...
05/07/2024

Klabu ya fc Saint lupopo imelitaka shirikisho la spiral wa miguu ncini Congo Kutotoa (ITC) ya mchezaji chadrak boka kwenda katika klabu ya yanga sc ya tanzania kwa madai ya kuwa bado ina mkataba nae.
Mchezaji huyo anaedaiwa kuwa amesaini kandarasi ya miaka miwili katika klabu hiyo ya yanga sc
Ingawa tafiti zinaonyesha kuwa mchezaji huyo hana mkataba na klabu hiyo bali alikuwepo kwa mkopo na teari amemaliza mkataba wake wa mkopo.
Chini ni vielelezo vya jambo hili.

FOLLOW UKURASA HUU KWA HABARI ZAIDI ZA MICHEZO.
AbM Media

Klabu ya simba sport club imetangaza kumsajili nyota wa kitanzania Abdulrazak Hamza (21).Nyota huyo alikuwa akikipiga ka...
04/07/2024

Klabu ya simba sport club imetangaza kumsajili nyota wa kitanzania Abdulrazak Hamza (21).
Nyota huyo alikuwa akikipiga katika klabu ya supersport united ya Afrika kusini πŸ‡ΏπŸ‡¦

AbM Media

Klabu ya AS FAR Rabat ya Morocco imefikia makubaliano ya kumteua mkufunzi, Hussein Amouta (wa kwanza kushoto) kuwa kocha...
04/07/2024

Klabu ya AS FAR Rabat ya Morocco imefikia makubaliano ya kumteua mkufunzi, Hussein Amouta (wa kwanza kushoto) kuwa kocha mkuu klabuni hapo kuchukua mikoba ya Nasreddine Nabi anayetimkia Kaiser Chiefs ya Afrika Kusini.

Amouta (54) raia wa Morocco alijiuzulu k**a kocha mkuu wa timu ya taifa ya Jordan mwezi uliopita.

AbM Media

ALIEKUWA MTANGAZAJI WA WASAFI FM ANAETAMBULIKA K**A PAUL MKAI, HII LEO AMETANGAZWA KUHAMIA CROWN πŸ‘‘ FM INAYOMILIKIWA NA M...
04/07/2024

ALIEKUWA MTANGAZAJI WA WASAFI FM ANAETAMBULIKA K**A PAUL MKAI, HII LEO AMETANGAZWA KUHAMIA CROWN πŸ‘‘ FM INAYOMILIKIWA NA MSANII ALI KIBA
PAUL MKAI ANAKUWA MTANGAZAJI WA PILI KUTOKA WASAFI FM KWENDA CROWN FM BAAADA YA HANS RAFAEL.

ENDELEA KUFATILIA UKURASA HUU KWA HABARI ZAIDI.
AbM Media

HATIMAE NI LEO KLABU YA SIMBA IMETANGAZA KUWA NA JAMBO LAKE KUBWA AMBALO HALIJAWAHI KUTOKEA TANZANIA.ENDELEA KUFATILIA K...
04/07/2024

HATIMAE NI LEO KLABU YA SIMBA IMETANGAZA KUWA NA JAMBO LAKE KUBWA AMBALO HALIJAWAHI KUTOKEA TANZANIA.

ENDELEA KUFATILIA KWA UKARIBU ZAIDI UKURASA HUU ILI KUFAHAMU NI JAMBO GANI HILO.
MEDIA
4LOVE

Manchester United itasikiliza ofa kwa Marcus Rashford baada ya kuvunjika kwa uhusiano wake na Erik ten Hag, kwa mujibu w...
04/07/2024

Manchester United itasikiliza ofa kwa Marcus Rashford baada ya kuvunjika kwa uhusiano wake na Erik ten Hag, kwa mujibu wa The Sun.

Ripoti hiyo inaonyesha mustakabali wa Rashford Old Trafford ulihusishwa na ule wa Ten Hag, na sasa Mholanzi huyo amesalia, United wako tayari kumuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26.

Inadhaniwa klabu hiyo inataka pauni milioni 80 kwa Rashford lakini huenda ikalazimika kukubali pauni milioni 60 baada ya fowadi huyo kuhangaika msimu uliopita.

FOLLOW UKURASA HUU KWA HABARI ZAIDI
AbM Media

Address

Magole
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AbM Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share