Dofu Sports

Dofu Sports Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dofu Sports, Media/News Company, Dar es Salaam.
(42)

Baada ya kipigo cha 4-1 dhidi ya Al Hilal ya Sudan, klabu ya Simba SC imeachwa na maswali mengikuhusu uimara wake kuelek...
13/10/2025

Baada ya kipigo cha 4-1 dhidi ya Al Hilal ya Sudan, klabu ya Simba SC imeachwa na maswali mengi
kuhusu uimara wake kuelekea msimu huu mpya wa mashindano ya kimataifa. Licha ya mchezo huo kuwa wa kirafiki, udhaifu wa safu ya ulinzi na mawasiliano hafifu

ulijitokeza wazi, jambo linalompa Kocha Pira Pantev kazi kubwa kurekebisha timu kabla ya mechi za ushindani.

Wachambuzi wamesema Simba inapaswa kuchukulia kipigo
hiki k**a funzo muhimu, si pigo la kukata tamaa, huku
ikisisitizvwa umuhimu wa kurejesha maelewano na nidhamu ya kiuchezaji. Kwa upande wa Al Hilal, ushindi huu

umeonyesha ubora wao kimkakati na maandalizi madhubuti kuelekea mashindano ya Afrika. Simba sasa inapaswa kujipanga upya, kuimarisha mawasiliano
na nidhamu ya kiuchezaji, ili kurejea katika ubora unaotarajiwa na mashabiki wake.

Kwa taarifa za kimichezo na makala maalumu Follow Instagram Link https://www.instagram.com/dofusports?

Follow Facebook Link https://www.facebook.com/Dofusports

Follow Tiktok Link https://www.tiktok.com/?

Mchezo wa pili wa hatua ya awali wa ligi ya mabingwa barani Afrika Silver Strikers dhidi ya Young Africans utachezwa kat...
12/10/2025

Mchezo wa pili wa hatua ya awali wa ligi ya mabingwa barani Afrika Silver Strikers dhidi ya Young Africans utachezwa katika uwanja wa kimataifa wa Bingu October 18, 2025

Uwanja huu unapatikana Lilongwe nchini Malawi ambapo unamilikiwa na serikali wenye uwezo wa kubeba mashabiki 41,000 tu.

Hapa Young Africans walishacheza mechi moja dhidi ya Nyassa Bid Bullets.
Kwa taarifa za kimichezo na makala maalumu Follow Instagram Link https://www.instagram.com/dofusports?

Follow Facebook Link https://www.facebook.com/Dofusports

Subscribe YouTube https://youtube.com/

Follow Tiktok Link https://www.tiktok.com/?

Miongoni mwa faida Za uwepo wa kocha mpya ni ushindani wa namba kuongezeka. Siku zoteakitua kocha mpya,Wachezaji wote wa...
12/10/2025

Miongoni mwa faida Za uwepo wa kocha mpya ni ushindani wa namba kuongezeka. Siku zote

akitua kocha mpya,Wachezaji wote wanakuwa sawa,hakuna mkubwa kuliko mwenzake,kila mtu anatakiwa kuonyesha kwenye uwanja wa mazoezi ili kuiteka akili ya mwalimu na kuingia kwenye kikosi cha kwanza.

Uwepo wa kocha mpya ni motivation tosha na kila mchezaji atatoa uwezo wake wote ili kuanza kwenye kikosi cha kwanza....hivyo kocha anakuwa na chumba kipana cha
kuchagua Wachezaji 11 bora ambao wako tayari kucheza mechi husika.

Kwa taarifa za kimichezo na makala maalumu Follow Instagram Link https://www.instagram.com/dofusports?

Follow Facebook Link https://www.facebook.com/Dofusports

Follow Tiktok Link https://www.tiktok.com/?

Simba nitaondoka muda wowote ule!ila nasisitiza muda ndio utaamua! siwezi kukaa Simba milele lakini natamani niondoke vi...
11/10/2025

Simba nitaondoka muda wowote ule!ila nasisitiza muda ndio utaamua! siwezi kukaa Simba milele

lakini natamani niondoke vizuri kwakuwa ndio tabia yangu.Niliondoka Star Tv vizuri na hata Azam niliondoka vizuri sana maana kunawengine wanatamani nafasi hii nao niwaachie sitog'ag'ania Kazi

Kwa taarifa za kimichezo na makala maalumu Follow Instagram Link https://www.instagram.com/dofusports?

Follow Facebook Link https://www.facebook.com/Dofusports

Follow Tiktok Link https://www.tiktok.com/?

"Kocha nafikiri ameshazungumza na uongozi, anataka kufanya kazi na wachezaji wachache, naona kuna ambao anaweza kuueleza...
11/10/2025

"Kocha nafikiri ameshazungumza na uongozi, anataka kufanya kazi na wachezaji wachache,

naona kuna ambao anaweza kuueleza uongozi kuwa wanatakiwa kupelekwa kwa mkopo au kuuzwa ikifika Januari, anasema akiwa na wachache wanajituma zaidi pia inakuwa rahisi kwa benchi lake

kuwafuatilia kuliko kuwa na wachezaji 30. "Lakini pia ameshasema kuwa hakuna mchezaji mkubwa klabuni, kila mmoja anatakiwa kufuata utaratibu unavyotaka,

kila mmoja anatakiwa kuwasikiliza waalimu na hadi sasa hana kikosi cha kwanza, yule atakayepata nafasi kwenye mchezo

ujao atakuwa amefanya vizuri mazoezini na siyo vinginevyo
kwa kuwa anachotaka yeye ni ubora wa mchezaji na siyo
historia ya nyuma,"

Kwa taarifa za kimichezo na makala maalumu Follow Instagram Link https://www.instagram.com/dofusports?

Follow Facebook Link https://www.facebook.com/Dofusports

Follow Tiktok Link https://www.tiktok.com/?

TAARIFA Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungulia uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Taborakutumika kwa michez...
10/10/2025

TAARIFA Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungulia uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora

kutumika kwa michezo ya Ligi baada ya kufanya marekebisho yaliyokidhi vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa miguu.

Uwanja huo uliofungiwa kutokana na miundombinu yake kutofaa kutumika k**a ilivyoainishwa kwenye masharti ya Kanuni ya Leseni za Klabu umekaguliwa na kukidhi vigezo vya Kikanuni

baada ya marekebisho yaliyoelekezwa kufanyika.
TEF inaendelea kuzikumbusha klabu kuendelea kuboresha na kutunza miundombinu ya viwanja vyao vya nyumbani kwa kushirikiana na wamiliki
(kwa klabu ambazo hazimiliki viwanja), ili michezo ya Ligi ichezwe kwenye viwanja bora vinavyosaidia

kuongeza ushindani na thamani ya Ligi. Kwa taarifa hii, timu zote zilizokuwa zikitumia uwanja huo k**a uwanja wa nyumbani zinaweza kuendelea kucheza michezo yake kwenye uwanjani huo.

Kwa taarifa za kimichezo na makala maalumu Follow Instagram Link https://www.instagram.com/dofusports?

Follow Facebook Link https://www.facebook.com/Dofusports

Subscribe YouTube https://youtube.com/

Follow Tiktok Link https://www.tiktok.com/?

Usiku wa leo, barani Ulaya, vumbi linatarajiwa kufuka katika viwanja mbalimbali huku timu za taifa zikichuana vikali kuw...
09/10/2025

Usiku wa leo, barani Ulaya, vumbi linatarajiwa kufuka katika viwanja mbalimbali huku timu za taifa zikichuana vikali kuwania tiketi ya kushiriki Kombe la Dunia. Mashabiki wa soka wanajiandaa kwa burudani ya hali ya juu, na kwa wale wenye jicho la kubashiri, Meridianbet imeweka mazingira murua ya kugeuza maarifa ya soka kuwa ushindi halisi.

Katika Kundi C, Denmark wanakutana na Belarus saa 21:45, huku Scotland wakipimana nguvu na Ugiriki katika muda huo huo. Mechi hizi zinabeba uzito mkubwa, hasa kwa timu zinazotafuta kurejesha heshima ya kimataifa. Denmark, wakiwa na kikosi chenye uzoefu, wanapewa nafasi kubwa, lakini Belarus wanaweza kutoa ugumu kwa wapinzani wao. Kwa upande wa Scotland, mashabiki wao wanatarajia kuona mpira wa kasi na mashambulizi ya kuvutia dhidi ya Ugiriki.

Kundi G linaanza mapema zaidi, ambapo Finland watawakaribisha Lithuania saa 19:00, kabla ya Netherlands kuingia dimbani dhidi ya Malta saa 21:45. Oranje wanakuja na rekodi nzuri, lakini Malta wanaweza kutumia uwanja wa nyumbani kuleta mshangao. Kwa wanaopenda kubashiri matokeo ya haraka, Meridianbet ina odds za kuvutia kwa mashabiki wa soka wenye ujasiri.

Rais wa Yanga amabye pia ni Mwenyekiti wa Klabu Afrika(ACA), Hersi Said, ameteuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Duni...
07/10/2025

Rais wa Yanga amabye pia ni Mwenyekiti wa Klabu Afrika(ACA), Hersi Said, ameteuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) kuwa Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ngazi ya klabu kwa upande wa wanaume duniani kwa kipindi cha miaka minne (2025-2029)

Kwa mujibu wa taarifa ya FIFA, uamuzi wa uteuzi huo umefanyika Oktoba 2, 2025.

Kwa taarifa za kimichezo na makala maalumu Follow Instagram Link https://www.instagram.com/dofusports?

Follow Facebook Link https://www.facebook.com/Dofusports

Follow Tiktok Link https://www.tiktok.com/?

TAARIFA Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeridhia klabu ya Fountain Gate kufanya usajilinje ya dirisha...
07/10/2025

TAARIFA
Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeridhia klabu ya Fountain Gate kufanya usajili
nje ya dirisha la usajili

kutokana na sababu za kiufundi.
Fountain Gate ilifungiwa na FIFA pamoja na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TEF) kusajili

kutokana na kudaiwa na waliokuwa wachezaji wake wawili wa kigeni. Ili iondolewe adhabu ya kufungiwa, Fountain Gate ilitakiwa kwanza iwe imewalipa wachezaji hao.

Klabu hiyo ilikamilisha malipo ya mchezaji wa mwisho tarehe 1 Septemba 2025, na siku hiyo hiyo FIFA iliondoa adhabu hiyo kwa barua. Baada ya kufungiwa kwenye mfumo, Fountain Gate haikuwa na uwezo wa kusajili wachezaji wapya isipokuwa kuhuisha (renew) wale waliokuwa wanaendelea nao kutoka msimu uliopita.

Licha ya kutuma barua hiyo, lakini FlFA haikuwa imefungua (unlock) akaunti ya usajili ya Fountain Gate hadi dirisha la usajili lilipofungwa tarehe 7 Septemba 2025, hivyo kuifanya klabu hiyo kushindwa kusajili wachezaji wapya.

Kutokana na hali hiyo, TFF ililazimika kuiandikia FIFA kuiomba iruhusu klabu hiyo iingize wachezaji wake kwenye mfumo kwa vile changamoto ilikuwa upande wake. Baada ya FIFA kuridhia ombi hilo, na kwa kuzingatia kifungu cha 65(14)

cha Kanuni za Ligi Kuu,
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TEF ilikutana kwa dharura tarehe 6 Oktoba 2025
ambapo ilipitisha usajili wa wachezaji wapya wa klabu hiyo.

Kwa taarifa za kimichezo na makala maalumu Follow Instagram Link https://www.instagram.com/dofusports?

Follow Facebook Link https://www.facebook.com/Dofusports

Follow Tiktok Link https://www.tiktok.com/?

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dofu Sports posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

DIRECTOR DOFU

K2GA VIP WAZEE TUFUMUE KITU KIPYA