Faza_Nation_Tv

Faza_Nation_Tv Ukurasa Rasmi wa Faza_Nation_Tv Katika Mtandao wa Facebook | Tufuate Faza Nation World Wide | Burudani Asilia

Mchezaji wa England Marcus Rashford (27) , Atavaa jezi nambari 14 Katika kikosi cha FC Barcelona msimu Ujao.  ๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ       ...
23/07/2025

Mchezaji wa England Marcus Rashford (27) , Atavaa jezi nambari 14 Katika kikosi cha FC Barcelona msimu Ujao.

๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ ๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ

Vinรญcius Jr x Travis Scott x Camavinga  ๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ                         ๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ
23/07/2025

Vinรญcius Jr x Travis Scott x Camavinga

๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ ๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ

Klabu ya Soka ya Real Madrid imethibitisha kuwa Licha ya majeraha yanayomwandama kinda mbrazil Endrick (18) , Hawana mpa...
23/07/2025

Klabu ya Soka ya Real Madrid imethibitisha kuwa Licha ya majeraha yanayomwandama kinda mbrazil Endrick (18) , Hawana mpango wa kumwachia mchezaji huyo kwa Kuwa bado timu hiyo ina mipango ya muda mrefu na mshambuliaji huyo , Ambaye atakuwa nje ya Uwanja kwa zaidi ya wiki 8 akiuguza jeraha la misuli ya paja Linalomsumbua mara kwa mara.

๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ ๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ

RASMI! Kylian Mbappรฉ atavaa jezi nambari 10 Kuanzia msimu ujao pale Real Madrid.  ๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ                         ๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ
22/07/2025

RASMI! Kylian Mbappรฉ atavaa jezi nambari 10 Kuanzia msimu ujao pale Real Madrid.

๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ ๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ

Klabu ya Soka ya Young Africans Sports Club imekamilisha uhamisho wa Winga Offen Chikola ambaye msimu uliopita alihudumu...
22/07/2025

Klabu ya Soka ya Young Africans Sports Club imekamilisha uhamisho wa Winga Offen Chikola ambaye msimu uliopita alihudumu katika klabu ya Tabora United.

Sajili za Ndani zilizokamilika mpaka hivi sasa Pale Yanga SC , Kuelekea msimu ujao wa Mashindano wa mwaka 2025/26.

1. Aboubakar Nidhar

2. Abdulnassir Mohamed

3. Ofen Chikola

4. Zimbwe Jr

๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ ๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania  Kimeibuka na Ushindi wa goli 1 - 0 kwenye mchezo dhidi ya Uganda , Katika mashinda...
22/07/2025

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania Kimeibuka na Ushindi wa goli 1 - 0 kwenye mchezo dhidi ya Uganda , Katika mashindano ya CECAFA yanayoshirikisha Nchi tatu ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya fainali za CHAN 2024.

Full Time | 3 Nations Tournament

Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 1๏ธโƒฃ - 0๏ธโƒฃ ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ Uganda

โšฝ๏ธ Idd Naldo 13'

Neno moja kwa Taifastars.

๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ ๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ

RASMI! Klabu ya Soka ya Arsenal na Sporting Lisboa CP ya kule nchini Ureno , Wamefikia makubaliano ya uhamisho wa Streka...
22/07/2025

RASMI! Klabu ya Soka ya Arsenal na Sporting Lisboa CP ya kule nchini Ureno , Wamefikia makubaliano ya uhamisho wa Streka hatari barani Ulaya kwa hivi sasa Victor Gyรถkeres , Ambapo sasa mchezaji huyo Atasafiri kutoka nchini Portugal ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น mpaka Uingereza ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ kwa ajili ya Kukamilisha taratibu zote za kujiunga na The Gunners.

Gyokeres alikuwa anaitaka Arsenal pekee licha ya Manchester United kujaribu kumshawishi mara kadhaa Mchezaji huyo raia wa Sweden kujiunga na Miamba hiyo ya jiji la Manchester.

Ndoto ya Victor imetimia. โšช๐Ÿ”ด

๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ ๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ

Kupitia ukurasa wake Katika mtandao wa kijamii wa Instagram , Msanii wa muziki wa   Mkali Jay Melody amechapisha Picha h...
22/07/2025

Kupitia ukurasa wake Katika mtandao wa kijamii wa Instagram , Msanii wa muziki wa Mkali Jay Melody amechapisha Picha hizi akiwa na Mrembo ambaye bado haja mtambulisha rasmi , Kisha kuchapisha Ujumbe uliosomeka;

โ€œMizigo yako nitajitwika , Niko tayari mie kuanza safari.โ€ -

๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ ๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ

Katika mkataba wake na Roc Nation , Mwanadada Ayra Starr>Haruhusiwi kupata ujauzito>Haruhusiwi kumtangaza hadharani mpen...
22/07/2025

Katika mkataba wake na Roc Nation , Mwanadada Ayra Starr

>Haruhusiwi kupata ujauzito
>Haruhusiwi kumtangaza hadharani mpenzi wake , Kwani inaweza Kuathiri chapa yake (Brand)

Roc Nation ndiyo wataamua mambo yafuatayo:

> Msanii gani wa Kushirikiana nae kwenye muziki
> Atapangiwa Mambo ya kuchapisha kwenye kurasa zake Katika mitandao ya kijamii
> Nguo gani Atatakiwa Avae
> Atafundishwa masuala ya Kuzungumza akiwa hadharani au Katika mahojiano

๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ ๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ

Msanii wa muziki kutoka nchini Nigeria mwanadada Oyinkansola Sarah Aderibigbe (23) maarufu kwa Jina lake la kisanaa k**a...
22/07/2025

Msanii wa muziki kutoka nchini Nigeria mwanadada Oyinkansola Sarah Aderibigbe (23) maarufu kwa Jina lake la kisanaa k**a โ€œAyra Starrโ€ , Tayari amesaini rasmi Mkataba na ROC Nation ya Jay Z kwa kipindi cha miaka mitano (5) , Ambapo katika mkataba huu watakuwa wakisimamia:

- Matamasha na maonyesho yake ya kimataifa

- Mikataba ya Matangazo na biashara

- Uhusiano wa kimataifa na Vyombo vya habari

- Ushirikiano wa Kimataifa katika sekta ya Burudani

๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ ๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ

๐Ÿ“ธ Picha zikimuonesha Jamal Musiala ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช katika Uwanja wa mazoezi wa Bayern Munich siku ya Jana , Akiwa anatumia magongo ya...
21/07/2025

๐Ÿ“ธ Picha zikimuonesha Jamal Musiala ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช katika Uwanja wa mazoezi wa Bayern Munich siku ya Jana , Akiwa anatumia magongo ya kutembelea , Baada ya kuumia Vibaya katika mchezo dhidi ya PSG kwenye michuano ya Kombe la Dunia la Vilabu , Iliyomalizika wiki chache Zilizopita huko nchini Marekani.

๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ ๐ŸŒ๐ŸŒŽ๐ŸŒ

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255711414289

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Faza_Nation_Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Faza_Nation_Tv:

Share