Habarika media

Habarika media PATA HABARI ZOTE NA MATUKIO YOTE YANAYOJIRI KIGANJANI MWAKO

-Tuna husika na :-1) KUPAKA RANGI ZA MAJUMBA 2) UJENZI ( plaster )3) BRANDARING NA KUFUNIKA  BOARD4) UREMBO WA MAJUMBA (...
27/09/2024



-Tuna husika na :-

1) KUPAKA RANGI ZA MAJUMBA
2) UJENZI ( plaster )
3) BRANDARING NA KUFUNIKA BOARD
4) UREMBO WA MAJUMBA (mchanga na cement)
5) KUJENGA TILES
6)KUCHOMEA (madilisha na milango ya chuma)
7) KUPAUA
8) Plumbing (bomba

maelezo zaidi tunapatikana........KINONDONI/DAR ES SALAAM

Au tupigie
-SIMU no. 0716 197609
0686 201899

-Email address:-
[email protected]

Kwa picha zaidi za Kazi zetu,,,

-To follow Instagram:-

Visit our catalog
https://wa.me/c/255686201899

Ronaldo Nazario 🆚 Cristiano Ronaldo:▶️ Games 616 - 1203▶️ Goals: 414 - 872▶️ Assists: 126 - 249▶️ Trophies: 18 - 35▶️ Ba...
29/12/2023

Ronaldo Nazario 🆚 Cristiano Ronaldo:

▶️ Games 616 - 1203
▶️ Goals: 414 - 872
▶️ Assists: 126 - 249
▶️ Trophies: 18 - 35
▶️ Ballon d'Ors: 2 - 5

Legends. ❤️

NATAKA TAMKO LA KANISA KATOLIKI TANZANIA ILI NIFANYE MAAMUZI SAHIHI...
19/12/2023

NATAKA TAMKO LA KANISA KATOLIKI TANZANIA ILI NIFANYE MAAMUZI SAHIHI...

22/05/2023
Huyu jamaa amek**atwa jana msikitini sehemu ya kuswalia akina mama. Ameiba simu 5 na vipima joto vi3 ..kwabahati mbaya a...
19/11/2022

Huyu jamaa amek**atwa jana msikitini sehemu ya kuswalia akina mama. Ameiba simu 5 na vipima joto vi3 ..kwabahati mbaya alionekana kwenye kamera za msikiti na akak**atwa wakati anatoka nje ili akimbie na vitu vya wizi..

-Tuna husika na :-1) KUPAKA RANGI ZA MAJUMBA   a)Conmix   b)drewa   nk.2) UJENZI ( plaster )3) BRANDARING NA KUFUNIKA GY...
17/11/2022



-Tuna husika na :-

1) KUPAKA RANGI ZA MAJUMBA
a)Conmix b)drewa nk.
2) UJENZI ( plaster )
3) BRANDARING NA KUFUNIKA GYPSUM BOARD
4) KUBANDIKA WALLPAPER
5) UREMBO WA MAJUMBA
6) KUJENGA TILES
7)KUCHOMEA (madilisha na milango ya chuma)
8) OFFICE PARTISION
9) KUPAUA

maelezo zaidi tunapatikana........KINONDONI/DAR ES SALAAM

Au tupigie
-SIMU no. 0716 197609
0686 201899

-Email address:-
[email protected]

Kwa picha zaidi za Kazi zetu,,,

-To follow Instagram:-





KARIBU KUFANYA KAZI NASI KWANI GHARAMA ZETU NI NAFUU SANA


-Tuna husika na :-1) KUPAKA RANGI ZA MAJUMBA   a)Conmix   b)drewa   nk.2) UJENZI ( plaster )3) BRANDARING NA KUFUNIKA GY...
19/09/2022



-Tuna husika na :-

1) KUPAKA RANGI ZA MAJUMBA
a)Conmix b)drewa nk.
2) UJENZI ( plaster )
3) BRANDARING NA KUFUNIKA GYPSUM BOARD
4) KUBANDIKA WALLPAPER
5) UREMBO WA MAJUMBA
6) KUJENGA TILES
7)KUCHOMEA (madilisha na milango ya chuma)
8) OFFICE PARTISION
9) KUPAUA

maelezo zaidi tunapatikana........KINONDONI/DAR ES SALAAM

Au tupigie
-SIMU no. 0716 197609
0686 201899

-Email address:-
[email protected]

Kwa picha zaidi za Kazi zetu,,,

-To follow Instagram:-





KARIBU KUFANYA KAZI NASI KWANI GHARAMA ZETU NI NAFUU SANA


Mzigo Mpya Umeingia DukaniWallpaper pc 1 - 25,000Gundi box.  10,000Ufundi pc 1 - 15,000Unafikishiwa mpaka ulipo kwa ghar...
30/07/2022

Mzigo Mpya Umeingia Dukani

Wallpaper pc 1 - 25,000
Gundi box. 10,000
Ufundi pc 1 - 15,000

Unafikishiwa mpaka ulipo kwa gharama nafuu kabisaa

Tupigie /watsaap 0716197609 au 0686201899

Jarubuni sana..

18/04/2022

I love you mama

07/12/2021


///: GHOROFA LAPOROMOKA NA KUUA WANNE GOBA

Jengo la Gofora lililokuwa likiendelea kujengwa katika Eneo la Goba kwa Awadhi Jijini Dar es Salaam limeanguka na kuangukia nyumba ya jirani leo Desemba 6,2021

Tukio hilo limesababisha vifo vya watu wanne na Kuwajeruhi wengine 17.

Waliofariki ni wanaume wawili ambao walikuwa ni mafundi na wanawake wawili ambao walikuwa majirani.

Endelea Kufuatilia Kurasa Zetu kwa Taarifa zaidi


26/11/2021

HATA TUSIPO PATA TONE LA MAJI TUTAZALISHA UMEME...

12/09/2021

MUHIMU SANA ISOME HADI MWISHO
Binti wa miaka 19 ambaye aliacha shule baada ya baba na mama kufa katika ajali mbaya na ndugu kutompa msaada aliamua kuondoka nyumbani na kwenda kuishi na kijana mmoja. Miaka 10 sasa amekuwa anakaa na rafiki yake wa kiume avutaye bangi katika ghetto.
Amekuwa anapewa fedha kidogo kutoka kwa huyo mpenzi wake ili anunulie chakula na kula na marafiki wa kaka huyo baada ya kutumika kimapenzi kwa wiki zima huku akiuza maji ya kunywa.
Baada ya muda akajikuta ni mjamzito na huyo kijana akamwambia watoe tu mimba hiyo.Akampa fedha kidogo na kumwambia aongeze nyingine ambazo amekuwa akimpa ili akatoe mimba bila kukumbuka kuwa fedha hizo zimekuwa zikitumika kwa ajili ya chakula.
Siku ya pili yake akiwa anatoka chumbani mwao kwenda kutoa mimba, akpita kwenye korido ambako akakanyanga sakafu ambayo ina maji na kuteleza. yule kijana akamwona wakati anaangukia tumbo pale sakafuni na akasema, “ amini au usiamini hii ndio njia rahisi niliyoitaka uitumie kutoa mimba hiyo”
Kijana akamchukua binti wakati huo damu nyingi zikimtoka na kumwambia aende bafuni akanawe.Lakini kwa nguvu za mwenyezi Mungu yule dada alipona ingawa mimba ilitoka na akaumwa kwa zaidi ya wiki bila msaada wowote ule..
Siku moja akiwa anauza maji akakutana na muuza magazeti na kumpa maji pakiti moja bure na kumwambia, “leo ni miaka kumi tangu baba na mama yangu wafariki katika ajali mbaya, hivyo sitajali mchumba wangu atasemaje au kunifanya nini kwa kutoa maji haya bure, ila mimi nitatoa maji bure k**a kumbukumbu ya siku hii yenye simanzi kwangu”.
Akiwa anataka kuondoka yule muuza magazeti akamwambia kuwa kuna nafasi ya kazi sehemu na kuwa atamsaidia kuandika barua ya kuomba. Yule dada ailishukuru na akawa anampigia mara kwa mara yule muuza magazeti mpaka siku akaitwa kwenda kwenye usaili.
Siku ya usaili akiwa njiani anaelekea huko akakutana na mama mmoja akiwa na gari aina ya BMW likiwa nimeishiwa mafuta. Yule dada akamuuliza mama, Je unahitaji msaada gani?
yule mama akamwambia nimeishiwa mafuta na sijui cha kufanya hapa. Dada akachukua kidumu na kwenda mbio kumnunulia mafuta yule mama na akarudi na kumpa.
Yule mama alipotaka kumpa hela, dada akakataa akasema nimekuona nikamkumbuka mama yangu hivyo nimefurahi kukusaidia, k**a hutajali naomba niwahi sehemu.
Kufika kwenye usaili dada akashangaa kuona kumbe yule mama mwenye BMW ndio boss wa ile kampuni na akafanyiwa usahili na kuanza kazi na sasa anajimudu kifedha na ana biashara zake.
Na sasa hakai tena na yule kijana mvuta bangi wakati nusu ya utajiri wake anaupeleka kwenye vituo vya kulelea watoto yatima.
Nami leo nakuombea unayeisoma habari hii, Mungu akujalie na kukufungulia milango ya mafanikio katika kila jaribu unalolipitia na ukumbuke kuwasaidia wanao hitaji msaada wako.
Comment neno “Amen”
na kisha share
Huwezi jua madhara ya kuupuuzia ujumbe huu

Follow group hili 👇👇k**a unampenda 🥰 Mungu
https://fb.watch/7ZhB0OqM1V/

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255716197609

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Habarika media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Habarika media:

Share