10/08/2026
Recap: Kanuni ya roho ni neno. Ina maana neno unalisikia ndiyo linalozalisha roho. Nani anasema, 'Ikiwa ulikuwa unalisikia neno la Mungu, halileti woga, linaleta ujasiri, linaleta nguvu, linaleta udhalili.' Hii hofu tuliyonayo kwenye masoko, hofu tuliyonayo kwenye ndoa, watu wanajadiliana, wanajadiliana kwa achana. Wanaanza tu wanajadiliana kwa achana. Hii hofu watu waliyonayo kuhusu biashara, kuhusu kazi, ni kwa sababu ya maneno waliyoyasikia, na mahali walipohudhuria zaidi, na watu waliowapa kipaumbele zaidi. Hii mtu waoni anapokapaswa kwenda ni sawa, ni yale yaliyoya pa sikio