11/06/2026
Maisha bila neema ya Mungu na kibali chake si kitu kabisa. Njoo tumlilie Mungu kwa siku hizi 35 na leo ninsiku yetu ya pili.
Kila siku TUTAKUWA TUNAKUTANA hapa Morekai kuanzia saa kumi na Moja kamili jioni, karibu sana na tuwaalike wengi.
Usisahau tunafunga kuanzia asubuhi na tunafungua baada ya maombi.