Morekai Ministries International

Morekai Ministries International We are dedicated to help you encounter God through Jesus Christ, grow into relationship with God and being reconciled with God

SOMA KWA UMAKINI MKUBWA SANA UJUMBE HUU.Watu wengi walijiapiza kwa kitu fulani kwa wema au kwa ubaya juu Yako kuwa usipa...
06/09/2025

SOMA KWA UMAKINI MKUBWA SANA UJUMBE HUU.

Watu wengi walijiapiza kwa kitu fulani kwa wema au kwa ubaya juu Yako kuwa usipate kitu fulani au usifanikiwe mahali fulani je unajua jinsi ya kutangua?

Shetani amejiapiza juu Yako juu ya ndoa, KAZI, uchumi au ukuaji wako wa kiroho na kila eneo je unajua jinsi ya kuyashinda maapizo ya shetani?

Wengine walijiapiza kwa ujinga katika Mambo fulani yasiyofaa, je unajua jinsi ya kujinasua kwenye hiyo mitego ya maneno yako k**a biblia isemavyo kwenye mithali:6:2 isemayo “Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umek**atwa kwa maneno ya kinywa chako,”

Lengo la ibada hii ni kuuwezesha kuvunja viapo vyote vinavyokuzuia kuingia kwenye hatima yako.

Hii ni madhabahu ya hatima yako.
Liko pigo Moja ambalo Mungu huliachia kwa maadui zetu hasa tunapojua kutamka kwa usahihi neno lake.

Kwa uhakika kabisa, Andaa Imani Yako, Andaa mda wako wa utulivu wa kufika kwenye hii ibada, fanya jambo Moja tu. Tutembelee ibada hii uone kwa nini hii madhabahu ipo kwa ajili yako

Utatoka hapa na unabii wa maisha yako, ukiwa umefunguliwa kabisa.

Usikose kabisa

Ibada yetu inaanza saa tatu kamili asubuhi wahi mapema ukutane na Mungu na nguvu zake.

Ni hapa Dar es salaam Tanzania kimara bucha mataa au wasiliana nasi kupitia namba 0785973519.

23/08/2025

Ibada ya jumapili hii ni ibada maalumu na muhimu sana ya kinabii,
Mungu atasema na wewe Anza kujiandaa mapema kwa ibada hii kubwa na ya kipekee sana.

Ni ibada ya kihistoria, safari kwa ajili ya kumsikia Mungu akisema na wewe kwa ajili ya hatima yako

Mawasiliano zaidi jinsi ya kufika kanisani siku hiyo na ibada zetu za katikati ni 0785973519

Mtoto wa Mungu Bwana Yesu asifiwe sana. Upo hapa Dar es salaam, Siku ya kesho ni siku ya maombi na maombezi fika madhaba...
14/08/2025

Mtoto wa Mungu Bwana Yesu asifiwe sana. Upo hapa Dar es salaam, Siku ya kesho ni siku ya maombi na maombezi fika madhabahuni kuanzia saa kumi na nusu jionii.
Kanisa lipo kimara bucha mataa usawa wa mataa kabisa upande wa kushoto ukitokea ubungo. Utaona bango la kanisa lenye picha k**a hiyo kwenye Tangazo alafu kwa nyuma kanisa lipo.
Au kwa mawasiliano zaidi jinsi ya kufika tafadhali tumia namba hii 0678609283 utapokelewa mara Moja. Tutajisikia baraka sana kuabudu nawe. Nawe utafunguliwa na kubarikiwa, utakutana na Mungu na atasema na maisha Yako.
Karibu sana na Mungu akubariki sana.
Kwa wale walioko mikoani mtaungana nasi kwa njia ya YouTube channel yetu ya Morekai Television na Apostle Fadhili The Kemuel
Karibu sana na Mungu akubariki SANA

12/08/2025

Ni neema kuipata neema ambayo Mungu ameiweka ndani ya Mtumishi wake. Sitaki niseme juu ya gharama maana hakuna gharama inayozidi neema yenyewe maana nyuma yake Kuna damu ya msalaba. Huu ni utimilifu mkubwa wa THE RESTART. Nitakuletea unabii wa tukio hili wa miaka kadhaa iliyopita juu ya siku ya Leo.Ilipaswa yeye ainuke kwanza ili atamke neno kwa ajili yangu pia, just know this is my dearest brother hear what he said, hear the way he pray.Mimi nimechagua kuiamini neema hii, nasi tunashinda vita katika yeye atutiaye nguvu.

12/08/2025

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Morekai Ministries International posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category