Morekai Ministries International

Morekai Ministries International We are dedicated to help you encounter God through Jesus Christ, grow into relationship with God and being reconciled with God

10/08/2026

Recap: Kanuni ya roho ni neno. Ina maana neno unalisikia ndiyo linalozalisha roho. Nani anasema, 'Ikiwa ulikuwa unalisikia neno la Mungu, halileti woga, linaleta ujasiri, linaleta nguvu, linaleta udhalili.' Hii hofu tuliyonayo kwenye masoko, hofu tuliyonayo kwenye ndoa, watu wanajadiliana, wanajadiliana kwa achana. Wanaanza tu wanajadiliana kwa achana. Hii hofu watu waliyonayo kuhusu biashara, kuhusu kazi, ni kwa sababu ya maneno waliyoyasikia, na mahali walipohudhuria zaidi, na watu waliowapa kipaumbele zaidi. Hii mtu waoni anapokapaswa kwenda ni sawa, ni yale yaliyoya pa sikio

Usikose ibada k**a hiiKumbuka tunaanza saa tatu kamili asubuhi.Pia tunakuwa live YouTube.Uko mkoani? Join live YouTube.
08/08/2026

Usikose ibada k**a hii
Kumbuka tunaanza saa tatu kamili asubuhi.
Pia tunakuwa live YouTube.
Uko mkoani? Join live YouTube.

Ni makosa kukosa ibada k**a hii.Karibu sana.Jumapili hii chagua kuwepo hapa. Hakika utabarikiwa sana na UTAUONA mkono wa...
12/07/2026

Ni makosa kukosa ibada k**a hii.
Karibu sana.
Jumapili hii chagua kuwepo hapa. Hakika utabarikiwa sana na UTAUONA mkono wa MUNGU. Hakika ubarikiwe sana. Uzidi kustawi sana na kupanda viwango sana.

Ibada hii ni special kwa ajili ya baraka ya USO, mbaraka WA USO wako mbele ya Mungu na watu na kwa hatima Yako. USO wakonutaombewa na kubarikiwa sana.

10/07/2026

TANGAZO MUHIMU SANA KWAKO.
Shalom
Kwa Kila mtu unayeipenda huduma hii. Huu ni mwaliko maalumu wa kushiriki baraka hii ya ununuzi wa eneo la kumjengea Mungu madhabahu.

Kiasi kinachohitajika ni million 120 tu KWA AJILI ya jambo hili. Wale mnaoguswa sana na kubarikiwa sana na huduma hii nakukaribisha sana kushiriki kusapoti jambo hili.

Sambamba na hili Jumapili ya tarehe 19 jioni kuanzia saa kumi na Moja jioni TUTAKUWA na ibada maalumu ya kumtolea Mungu sadaka ya kununua eneo la kumjengea Mungu madhabahu.

Katika haya YOTE mawili unakaribishwa sana.
*UNAWEZA TUMA SADAKA ZAKO KWA KUTUMIA NAMBA;*
๐Ÿ‘‰ *0785 973 519 Airtel money*
๐Ÿ‘‰ *0758 056 178 M-Pesa*
๐Ÿ‘‰ *0152614088500 Crdb bank*
*FADHILI GABRIEL MWAMAHONJE*

Lipa namba vodacom
59340588
Morekai

kwa mawasiliano zaidi tumia namba hii 0678609283 (WhatsApp, call and sms)

Maisha bila neema ya Mungu na kibali chake si kitu kabisa. Njoo tumlilie Mungu kwa siku hizi 35 na leo ninsiku yetu ya p...
16/06/2026

Maisha bila neema ya Mungu na kibali chake si kitu kabisa. Njoo tumlilie Mungu kwa siku hizi 35 na leo ninsiku yetu ya pili.

Kila siku TUTAKUWA TUNAKUTANA hapa Morekai kuanzia saa kumi na Moja kamili jioni, karibu sana na tuwaalike wengi.

Usisahau tunafunga kuanzia asubuhi na tunafungua baada ya maombi.

15/06/2026

Mwaka Jana Siku k**a ya Leo baba yangu wa Kiroho aliondoka. SHUJAA. He trusted me and he gave me the chance to manifest what God has installed in me. Now here I am.

I thank God for the life of this man.
My spiritual father Dr Obed Sichembe

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Morekai Ministries International posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category