Morekai Ministries International

Morekai Ministries International We are dedicated to help you encounter God through Jesus Christ, grow into relationship with God and being reconciled with God

Maisha bila neema ya Mungu na kibali chake si kitu kabisa. Njoo tumlilie Mungu kwa siku hizi 35 na leo ninsiku yetu ya p...
11/06/2026

Maisha bila neema ya Mungu na kibali chake si kitu kabisa. Njoo tumlilie Mungu kwa siku hizi 35 na leo ninsiku yetu ya pili.

Kila siku TUTAKUWA TUNAKUTANA hapa Morekai kuanzia saa kumi na Moja kamili jioni, karibu sana na tuwaalike wengi.

Usisahau tunafunga kuanzia asubuhi na tunafungua baada ya maombi.

05/06/2026

Kwa Kila mtu uliye na maono makubwa Kukosa mentorship k**a hizi ni hasara kubwa sana.🙏
Connect na nenda YouTube katazame Tena.

Tupo mwanza kwa siku mbili naonana na mtu mmoja mmoja.

04/06/2026
Mwanza neema imewajilia sana.Tuko na siku mbili  Mkoa wa mwanza. Tunaanza na Mkesha huu wa ijumaa hii. sio wa kawaida ni...
04/06/2026

Mwanza neema imewajilia sana.
Tuko na siku mbili Mkoa wa mwanza.
Tunaanza na Mkesha huu wa ijumaa hii. sio wa kawaida nitakuwa NANYI kuanzia saa tatu usiku mpaka kunakucha. Kusudia kutufwatilia na kukesha pamoja na watu wa mwanza.

Na Day two itakuwa ni kongamano maalumu la WANAFUNZI WA VYUO VIKUU vyote. Saa Moja jioni mpaka saa tatu kamili usiku. Pale BMCC MWANZA. Hapa Thamani iliyofichwa ndani Yako itafunuliwa sana.

Sisi ni watu wa mbinguni tumetumwa na Mungu duniani Kutoka mbinguni ili kutimiza kusudi maalumu.

Mwambie habari hizi yeyote aliyepo mwanza kuwa pia MTUMISHI WA MUNGU ATAONANA NA MTU MMOJA MMOJA.
Mawasiliano zaidi. #+255678609283
WATU wa MWANZA jiandae kukutana na Mungu.


Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Morekai Ministries International posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category