Goal255

Goal255 Home for all football related posts and content

๐Ÿšจ OFFICIALMudathir Saidโš”๏ธ ametambulishwa rasmi na Mashujaa FC ๐ŸŸกโšซ akitokea Mbeya City FC ๐Ÿ”ต๐ŸŸฃ!Kiungo huyo mwenye uzoefu mku...
04/08/2025

๐Ÿšจ OFFICIAL
Mudathir Saidโš”๏ธ ametambulishwa rasmi na Mashujaa FC ๐ŸŸกโšซ akitokea Mbeya City FC ๐Ÿ”ต๐ŸŸฃ!

Kiungo huyo mwenye uzoefu mkubwa ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ anajiunga kuongeza nguvu katika kikosi kuelekea msimu mpya wa NBC Premier League ๐Ÿ†.

  Kiungo wa zamani wa Simba SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, Sadio Kanoute ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ amerudi tena Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ na sasa atajiunga na AZAM FC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.Makubaliano...
04/08/2025


Kiungo wa zamani wa Simba SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, Sadio Kanoute ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ amerudi tena Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ na sasa atajiunga na AZAM FC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.
Makubaliano yote yamekamilika kati ya pande zote mbili โœ…๏ธ.
Karibu tena Kanoute! ๐Ÿ’™

๐Ÿšจ BREAKING NEWSYanga SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ wamefikia makubaliano ya kumuuza mshambuliaji wao chipukizi Clement Mzize ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ kwa klabu ya Al-...
04/08/2025

๐Ÿšจ BREAKING NEWS
Yanga SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ wamefikia makubaliano ya kumuuza mshambuliaji wao chipukizi Clement Mzize ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ kwa klabu ya Al-Sadd SC ๐Ÿ‡ถ๐Ÿ‡ฆ kwa ada ya usajili ya USD 900,000 (zaidi ya TSh 2.3 bilioni)! ๐Ÿ’ฐ๐ŸŸก๐ŸŸข

Hata hivyo, dili hilo bado halijakamilika rasmi kutokana na tofauti ya makubaliano ya maslahi binafsi ya mchezaji na klabu mpya.

๐Ÿ” Hali ilivyo kwa sasa:

Yanga SC wameridhia dili na tayari wamefungua mlango wa kumruhusu Mzize kwenda Qatar.

Wakala wa Mzize anataka mshahara wa USD 50,000 kwa mwezi kutoka kwa Al-Sadd.

Al-Sadd SC wapo tayari kutoa USD 30,000 kwa mwezi, kiwango ambacho bado hakijakubalika na upande wa mchezaji.

Hii inaashiria kuwa licha ya klabu kuridhiana, hatua ya mwisho ya kukamilisha uhamisho huu iko mikononi mwa mchezaji na wakala wake kuhusu makubaliano ya mshahara.

๐Ÿ“Œ Mzize amekuwa kwenye kiwango bora akiwa na Yanga SC, na hili linaweza kuwa dili kubwa zaidi kwa mchezaji chipukizi wa Tanzania katika historia ya karibuni.

Cc

๐Ÿ”ดโšช Elie Mpanzu ni mchezaji halali wa Simba SC mwenye mkataba wa miaka 2, ukiwa na kipengele cha kununuliwa kwa USD 1M ๐Ÿ’ฐ๐Ÿ“„...
04/08/2025

๐Ÿ”ดโšช Elie Mpanzu ni mchezaji halali wa Simba SC mwenye mkataba wa miaka 2, ukiwa na kipengele cha kununuliwa kwa USD 1M ๐Ÿ’ฐ

๐Ÿ“„ Mkataba wake hauna mianya (loopholes)!
Anatarajiwa kuungana na wachezaji wenzake wa Simba walioko kambini Misri kwa maandalizi ya msimu mpya. ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ๐Ÿฆ

๐Ÿ“ฃ Taarifa Rasmi kutoka JKT Tanzania FCKiungo mahiri Edwin Nangu ataendelea kusalia klabuni hadi mwaka 2028, kufuatia mka...
04/08/2025

๐Ÿ“ฃ Taarifa Rasmi kutoka JKT Tanzania FC
Kiungo mahiri Edwin Nangu ataendelea kusalia klabuni hadi mwaka 2028, kufuatia mkataba wake wa muda mrefu na timu. ๐Ÿ”’โœ๏ธ

Kupitia ukurasa rasmi wa klabu, JKT imeweka wazi kuwa Nangu ni mali ya JKT na kwa misimu yote hauzwi kwa gharama yoyote โ€“ hakuna mazungumzo wala dirisha lolote la kutoka. โŒ๐Ÿ’ฐ

Hii ni ishara ya imani kubwa waliyonayo kwa mchezaji huyu muhimu katika kikosi chao kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu. ๐Ÿ’ช๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

๐Ÿ”ฐ Rasmi: Mohamed Doumbia ametambulishwa k**a mchezaji mpya wa Yanga SC! ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎโœ๏ธKiungo mahiri kutoka Ivory Coast mwenye uzoe...
03/08/2025

๐Ÿ”ฐ Rasmi: Mohamed Doumbia ametambulishwa k**a mchezaji mpya wa Yanga SC! ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎโœ๏ธ

Kiungo mahiri kutoka Ivory Coast mwenye uzoefu barani Ulaya anajiunga na Wananchi kuimarisha safu ya kati kuelekea msimu mpya! ๐Ÿ’ช๐Ÿ’›๐Ÿ’š

Simba SC ๐ŸฆWachezaji wapya pamoja na wale wa zamani wa Simba SC wamejiunga rasmi na wenzao kambini nchini Misri kuendelea...
03/08/2025

Simba SC ๐Ÿฆ
Wachezaji wapya pamoja na wale wa zamani wa Simba SC wamejiunga rasmi na wenzao kambini nchini Misri kuendelea na maandalizi ya msimu mpya. Kikosi sasa kiko kamili, kazi inaendelea kwa kasi chini ya benchi la ufundi โ€” ukiachana na wale waliopo kwenye mashindano ya CHAN. ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ‹๏ธโ€โ™‚๏ธ

โค๏ธ .

๐ŸŽฉ  Feisal Salum "Feitoto" ameibuka Man of the Match baada ya mchezo mzuri usiku wa jana! ๐Ÿ”ฅMaestro huyo alithibitisha ubo...
03/08/2025

๐ŸŽฉ
Feisal Salum "Feitoto" ameibuka Man of the Match baada ya mchezo mzuri usiku wa jana! ๐Ÿ”ฅ
Maestro huyo alithibitisha ubora wake tena kwa kuongoza mchezo na kuonyesha kiwango cha juu! ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟโšฝ

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Taifa Stars wameanza vyema michuano ya CHAN kwa ushindi wa kishindo! ๐Ÿ’ฅWakitumia vyema uwanja wa nyumbani ๐ŸŸ๏ธ, waliones...
03/08/2025

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Taifa Stars wameanza vyema michuano ya CHAN kwa ushindi wa kishindo! ๐Ÿ’ฅ
Wakitumia vyema uwanja wa nyumbani ๐ŸŸ๏ธ, walionesha mchezo mzuri na kuichapa Burkina Faso ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ซ mabao 2-0! โšฝโšฝ
Ni mwanzo mzuri kwa Tanzania! ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ’ช

๐Ÿšจ OfficialMohamed Bajaber ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช ametambulishwa rasmi kuwa mchezaji mpya wa Simba SC ๐Ÿฆ kutoka Kenya Police FC ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช!๐Ÿ”ฅ Kiungo ki...
03/08/2025

๐Ÿšจ Official
Mohamed Bajaber ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช ametambulishwa rasmi kuwa mchezaji mpya wa Simba SC ๐Ÿฆ kutoka Kenya Police FC ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช!

๐Ÿ”ฅ Kiungo kijana mwenye kipaji amejiunga kuimarisha kikosi kuelekea msimu mpya!

๐ŸŸฅโฌœ

๐Ÿ”ฐUTAMBULISHO RASMIEcua Cรฉlestin โœ๐ŸพKiungo mshambuliaji hatari kutoka Ivory Coast ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ sasa ni sehemu ya Wananchi ๐Ÿ’›๐Ÿ’šAmejiung...
01/08/2025

๐Ÿ”ฐUTAMBULISHO RASMI
Ecua Cรฉlestin โœ๐Ÿพ
Kiungo mshambuliaji hatari kutoka Ivory Coast ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ sasa ni sehemu ya Wananchi ๐Ÿ’›๐Ÿ’š

Amejiunga kwa mkataba wa miaka 2 na kuja kuongeza moto kwenye safu ya ushambuliaji! ๐Ÿ”ฅ
Karibu sana Yanga SC โ€“ kazi ndio inaanza sasa! ๐Ÿ’ช๐Ÿพโšฝ

๐Ÿฆ Simba Yapata Moto Mpya!Jonathan Sowah ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ญ sasa ni Mnyama rasmi! Amekamilisha uhamisho kutoka Singida BS na kusaini mkat...
01/08/2025

๐Ÿฆ Simba Yapata Moto Mpya!

Jonathan Sowah ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ญ sasa ni Mnyama rasmi! Amekamilisha uhamisho kutoka Singida BS na kusaini mkataba wa miaka miwili na Simba SC.

Mfungaji bora aliyetikisa Ligi Kuu msimu uliopita kwa magoli 12 โ€“ sasa yuko tayari kuitumikia Msimbazi! ๐Ÿ”ฅ

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Goal255 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Goal255:

Share