
07/10/2025
π₯ YANGA WAJA NA COMEBACK KALI!
Klabu ya Yanga imekubali mchezaji wao Jeanine Mukandiyisenga kupimwa kesho saa 2 asubuhi (Oktoba 8). β½π©Ί
Aidha, uongozi wa Yanga umetuma barua rasmi TFF ukiomba wachezaji 15 wa Simba Queens na 15 wa JKT Queens wapimwe pia.
CC
βοΈ