Goal255

Goal255 Home for all football related posts and content

πŸ’₯ YANGA WAJA NA COMEBACK KALI!Klabu ya Yanga  imekubali mchezaji wao Jeanine Mukandiyisenga kupimwa kesho saa 2 asubuhi ...
07/10/2025

πŸ’₯ YANGA WAJA NA COMEBACK KALI!
Klabu ya Yanga imekubali mchezaji wao Jeanine Mukandiyisenga kupimwa kesho saa 2 asubuhi (Oktoba 8). ⚽🩺

Aidha, uongozi wa Yanga umetuma barua rasmi TFF ukiomba wachezaji 15 wa Simba Queens na 15 wa JKT Queens wapimwe pia.

CC
✍️

07/10/2025

APA NIMEIBIWA…!!!


07/10/2025

TANO K**A UNYAMA IVI…!!!



πŸ“’ ZA NDANINDANI!🟒 Inasemekana Young Africans SC wamebakisha hatua chache tu kumtangaza Romuald Rakotondrabe kuwa kocha m...
07/10/2025

πŸ“’ ZA NDANINDANI!

🟒 Inasemekana Young Africans SC wamebakisha hatua chache tu kumtangaza Romuald Rakotondrabe kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo.

Mazungumzo yamefikia pazuri, na kinachosubiriwa sasa ni makubaliano ya mwisho na Shirikisho la Soka Madagascar (FMF).

Ni suala la muda tu βŒ› kabla ya rasmi kuvaa kijani na njano πŸ’šπŸ’›

✍️

πŸ”°βœ… πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ”°πŸ”°πŸ†

07/10/2025

Jeanine Mukandiyisenga πŸ—£οΈ: β€œHayo maneno yao nimeyazoea, siyo mara ya kwanza kunisema.” πŸ’…πŸ”₯
β €
Ameonyesha tena uimara wake mbele ya maneno ya watu πŸ‘
β €

07/10/2025

πŸ‡²πŸ‡¦βš½οΈ Hemed Morocco wako katika maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Zambia πŸ’ͺπŸ”₯. Ni mtihani muhimu kuelekea safari ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 πŸ†.

✍️

🚨⚽️ Mchezaji wa yanga princess raia wa Rwanda  Jeanine Mukandiyisenga amesimamishwa na TFF kupisha uchunguzi wa jinsia y...
07/10/2025

🚨⚽️ Mchezaji wa yanga princess raia wa Rwanda Jeanine Mukandiyisenga amesimamishwa na TFF kupisha uchunguzi wa jinsia yake baada ya sintofahamu kuibuka kuhusu jinsia yake.

✍️

🟒🟑 Romain Folz ameonekana leo akiwa anaendelea na kazi yake k**a kawaida πŸ‡ΏπŸ‡¦βš½οΈ, licha ya tetesi kuwa huenda akaachana na ...
06/10/2025

🟒🟑 Romain Folz ameonekana leo akiwa anaendelea na kazi yake k**a kawaida πŸ‡ΏπŸ‡¦βš½οΈ, licha ya tetesi kuwa huenda akaachana na Yanga SC. Inaonekana bado mambo hayajakaa wazi kati yake na viongozi wa Jangwani πŸ‘€πŸ”₯
✍️

06/10/2025

DAR JOTO SANA… Dondosha Namba yako apo!!!

#

06/10/2025

Nimelia sana!!!

06/10/2025

πŸŽ™οΈ Ahmed Ally asema muda umefika πŸ”₯

β€œSimba ni klabu kubwa, lazima tuwe na uwanja wetu! Hatuwezi kila siku kuwa wapangaji, tunahitaji makazi yetu halisi.” 🏟️🦁❀️

✍️

06/10/2025

πŸ˜‚ Ahmed Ally asema Simba walicheza akili kubwa kwenye usajili! 🧠πŸ”₯

β€œWale walifikiri tunaenda kwa Conte, kumbe tulikuwa tunaenda kwa Kante! 😎 Sasa angalia anavyokipiga akiwa Simba, ni darasa tu kila mechi!” 🦁❀️⚽

✍️

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Goal255 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Goal255:

Share