Goal255

Goal255 Home for all football related posts and content

10/02/2026

Crescentius Magori ameweka wazi kuwa kadi mpya za wanachama wa Simba ni za kisasa zaidi,

10/02/2026

โ€œKesho ni kazi moja tu! ๐Ÿ’ชโšฝ Hakuna mechi rahisi kwenye Ligi Kuu. Tunawaheshimu KMC lakini tumejipanga, tuko tayari kupambana hadi dakika ya mwisho.

Mashabiki waendelee kuwa nasi โ€” nguvu yenu ni silaha yetu! ๐Ÿ–ค๐Ÿค ๐Ÿ—ฃDuchu

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

09/02/2026

Gamondi kabaki kusaini Stars ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟโšฝ

Serikali imemuidhinisha Miguel Gamondi kuwa kocha mkuu wa Taifa Stars baada ya mafanikio yake kwenye AFCON 2025 Morocco, ambako aliifikisha timu hatua ya 16 bora.

Waziri Paul Makonda amesema kilichobaki ni Gamondi kusaini mkataba, huku Serikali na TFF zikithibitisha kuwa zitaendelea naye na malipo yatasimamiwa na Serikali, kuelekea maandalizi ya AFCON 2027.

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Kombe la Shirikisho Afrika linaendelea leo ๐Ÿ”ฅMwakilishi wetu wa mwisho ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Singida Black Stars wanashuka dimbani pale New ...
08/02/2026

Kombe la Shirikisho Afrika linaendelea leo ๐Ÿ”ฅ
Mwakilishi wetu wa mwisho ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Singida Black Stars wanashuka dimbani pale New Amaan Complex, Zanzibar kuivaa CR Belouizdad.

Ni mechi ya kipekee huku kocha Sead ramovik akishuka kwenye uwanja anaoujua vyema, pamoja na ongezeko jipya Jean Charles Ahoua aliyesajiliwa kuleta tofauti.

โฐ Saa 1 usiku
โš”๏ธ Dakika 90 za moto โ€” tutajua nani mbabe! ๐Ÿ’ช๐Ÿ”ฅ

08/02/2026

Maona ya shabiki wa simba mandala baada ya yanga kufungwa na as far rabat

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

๐Ÿฏ MNAYMA LEO DIMBANI!Leo ni kazi moja tu ๐Ÿ”ฅ Simba SC anashuka dimbani kuikabili Petro de Luanda pale Estรกdio 11 de Novemb...
07/02/2026

๐Ÿฏ MNAYMA LEO DIMBANI!
Leo ni kazi moja tu ๐Ÿ”ฅ Simba SC anashuka dimbani kuikabili Petro de Luanda pale Estรกdio 11 de Novembro, saa 1:00 usiku โฐ

Hesabu zinaweza kuwa zimeisha, lakini heshima bado ipo mezani. Kinachosakwa leo ni kuonyesha kuwa Simba bado ni GIANT ๐Ÿฆ

Na hata k**a ni kuaga, basi iwe ni kuaga kwa ubabe, kwa mapambano ya kweli, na kwa ujumbe mzito: Simba haichezewi โ€” hata ugenini! ๐Ÿ’ช๐Ÿ”ฅ

๐Ÿ™ Tunawatakia ushindi wawakilishi wetu wa Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, Klabu ya Simba.

๐Ÿšจ YANGA LEO DIMBANI CAF CLYanga leo inashuka dimbani kuikabili AS FAR Rabat katika michuano ya CAF Champions League, mch...
07/02/2026

๐Ÿšจ YANGA LEO DIMBANI CAF CL
Yanga leo inashuka dimbani kuikabili AS FAR Rabat katika michuano ya CAF Champions League, mchezo utakaopigwa Uwanja wa Stade Olympique de Rabat โ€“ Morocco, saa 4:00 kamili usiku.

Kila timu inahitaji alama 3 kujiweka salama.
Leo ni kufa au kupona ndani ya dakika 90 โ€” chochote chaweza kutokea.

โœจ Kila la heri, tunawatakia ushindi wawakilishi wetu wa Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Yanga ๐Ÿ’›๐Ÿ’šโšฝ

๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช๐Ÿ”ฐ๐Ÿ”ฐ๐Ÿ†

๐Ÿšจ GSM AWEKA BIL 1 MEZANITaarifa kutoka ndani ya Yanga ni kwamba Bilionea wao Ghalib Said Mohamed โ€˜GSMโ€™ ameamua kuweka mz...
07/02/2026

๐Ÿšจ GSM AWEKA BIL 1 MEZANI

Taarifa kutoka ndani ya Yanga ni kwamba Bilionea wao Ghalib Said Mohamed โ€˜GSMโ€™ ameamua kuweka mzigo mezani wa Sh bilioni moja tu k**a watashinda mchezo wa leo dhidi ya AS FAR Rabat.

K**a wakishinda tu basi hamnahamna kila staa ataondoka na sio chini ya Sh40-50 milioni.

Cc

๐Ÿ’ช๐Ÿ’ช๐Ÿ”ฐ๐Ÿ”ฐ๐Ÿ† ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

07/02/2026

Msemaji mkuu wa simba Ahmed Ally akielezea kuelekea mchezo wa CAF Champions League leo dhidi ya petro Atlรฉtico utaopigwa saa moja ucku wa leo

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

07/02/2026

๐ŸŽถ๐Ÿฆ TUNDAMAN AWAJIBU WANASIMBA
Msanii wa muziki na shabiki wa damu wa Simba SC, Tundaman, ameibuka na msimamo wake kuhusu mashabiki wanaotaka MO aondoke Simba.

Kwa mujibu wa Tundaman, MO amekuwa mhimili muhimu wa mafanikio ya Simba kwa miaka ya hivi karibuni, hivyo suluhisho si kumfukuza bali kusimama pamoja k**a familia ya Simba.

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Mkataba wa Kibu Denis na Simba SC ukitarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu, taarifa mpya zinaeleza kuwa muda wowote...
06/02/2026

Mkataba wa Kibu Denis na Simba SC ukitarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu, taarifa mpya zinaeleza kuwa muda wowote kuanzia sasa klabu hiyo itakamilisha makubaliano ya kumuuza mshambuliaji huyo kwenda Al-Nasr ya Libya.

Inadaiwa klabu hiyo ya Libya imewasilisha dau la dola 300,000 (takribani Sh milioni 770 za Kitanzania), ambapo kwa sasa kinachoendelea ni kukamilisha hatua za mwisho za dili hilo.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Goal255 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Goal255:

Share