Mlimani tv

Mlimani tv Owned by University of Dar es Salaam

ZITO KAMBE ANACHAMBUA BAJETI YA SERIKALI MUDA HUU
17/06/2023

ZITO KAMBE ANACHAMBUA BAJETI YA SERIKALI MUDA HUU

Address

Kinondoni

Opening Hours

Monday 08:00 - 22:00
Tuesday 08:00 - 22:00
Wednesday 08:00 - 22:00
Thursday 08:00 - 22:00
Friday 08:00 - 22:00
Saturday 08:00 - 22:00
Sunday 08:00 - 22:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mlimani tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Mohamed Sarah mchezaji bora wa CAF 2017

Nyota wa timu ya Liverpool ambaye ni raia wa Misri, Mohamed Salah ametangazwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika wa mwaka 2017 Shirikisho la soka barani Afrika (CAF).

Salah alikuwa akishindana na Pierre-Emerick Aubameyang, na Sadio Mane na akaibuka bora zaidi kwa wingi wa kura na ubora awapo kiwanjani.

Mane na Salah walihudhuria sherehe za kutangazwa kwa washindi mjini Accra, Ghana saa 24 kabla ya mechi ya Kombe la FA Ijumaa ambapo klabu yao ya Liverpool itacheza dhidi ya Everton.